Jamani Lowassa ana "nyota"

Jamani Lowassa ana "nyota"

kuongea ndiyo nn kwako wewe ? Kama kuchonga ni dili basi kibajaji angekuwa katibu mkuu wa un !!

hivi unaweza kuandika kujibu mtihani kichwani hauna kitu?
Unaweza kuonge kitu usichokijua ? Elimu yako mkuu ni kiwango gani mkuu,

maana ninavyojua unaonge na kutenda kwa kile kilichoko kichwani sijui wew unaelewaje mkuu,
 
Nilikuwepo hadi nkkaogopa, wanawake kwa vijana na wazee waliujaza uwanja wa town school
 
Jitahidi ujue maana ya neno UTAKATIFU LIMETOKANA NA NENO MTAKATIFU AMBAYE NI MUNGU WA MBINGUNI
Ikulu siyo mahali pa TAKATIFU maana hapajawekwa wakfu kwa ajili ya ibada ya MUNGU wa kweli.

Dili zote zilizoangamiza nchi yetu zimetengenezwa ikulu,sasa unataka uite ni mahali PATAKATIFU?

kwa kukaririshwa? Ungesema ikulu ni mahali pa heshima acheni kumtania Mungu
 
Hapa Igunga tangazo lilipopita likitangaza ujio wa Lowasa hiyo kesho yaani sasa hivi vijana kwa wazee na akina mama ni shangwe wengi wameonekana wakishangilia ninachojiuliza je akiingia Igunga hali itakuwaje?
 
ahahahaaa hana nyota msijidanganye watu wanakwenda kuangalia mgonjwa afya yake ikoje
 
Mkuu.huo utafiti ulifanywa na uvccm na sample size ilikuwa watu 15 na kundi lililochaguliwa kwa ajili ya mahojiano ni familia ya kikwete (watu 12), Nchimbi, Serukamba na Mwigulu. Ndo maana walipata 85%.

Mkuu hapo mtoe Nchimbi sina imani nae weka kinana.
 
jitahidi ujue maana ya neno takatifu.

Ikulu siyo mahali pa takatifu maana hapajawekwa wakfu kwa ajili ya ibada ya mungu wa kweli.

Dili zote zilizoangamiza nchi yetu zimetengenezwa ikulu,sasa unataka uite ni mahali patakati

kwa kukaririshwa? Ungesema ikulu ni mahali pa heshima acheni kumtania mungu

unahuakika hapajawekwa wakfu na viongozi wa dini tangu enzi ya nyerere kama hauna uhakika kaa kimia,
 
I have made up my mind I will vote for lowassa basi na leo unimewapa ukawa umeme wa bure watangaze sera
 
Tanzania mpya inakuja chini ya raisi mtarajiwa kipenzi cha watanzania Lowasa.
 
Inayo m beba EL siyo nyota bali anaitumia vema fursa ya kwamba bado watz wengi wamelala na bado ni wavivu wa kufikiri
 
Sifa mnazompa kutokea huku Dar zinawafanya wavutike kumsikiliza.Bahati mbaya wakifika mikutanoni kumsıkiliza anawaungusha.Wengne wanaenda kumwona mkuu wa Mafisadi jinsı alivyo.Alaikı kubwa ya Tabora haikuwa na hamasa licha ya wingı wao.

Kawaida Ya Wasukuma Na Wanyamwezi Huwa Hawashangilii Ovyo, Halafu Wakkuipuuzia Hautawaona Hata Kwenye Mkutano Na Wakimkubali Mtu Wanajazana Kumuona Kama Wameridhika Nae Huwa Hawanahaja Ya Kusikia Sera N Ndio. Wanamkubali Lowasa Japo Sio Wote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom