Jamani, kwani lazima?

Jamani, kwani lazima?

Aiseeeee jamani poleni sana mtandao wa tigo umenifanyia yote haya nimejiunga bando la mwezi sasa toka alhamis network inasumbua sana sijui kuna shida gani nisameheni bure tu

Daud unaona sasa ,nilikwambia mimi stela hafai ha ha ha ha nimefurahije
 
Ndomana vitabu vya dini, mashekhe na mapadri wanatufundisha kuwa na subira ni kitu muhimu sana atujuhi tuh sis wanadamu........
Mmmmmh! kuwa na subira muhimu ila kwa staili ya paulina kugawa papuchi kama njugu tutaisha
 
Jaman Daudi 1bado tuu me kila muda nachungulia sioni yaani nataman nione hiyo reaction ya mozie kwa stella
 
Back
Top Bottom