Jamani hivi wenzangu huwa mnatongozaje?

Jamani hivi wenzangu huwa mnatongozaje?

Kila mtu ana study yake ya kutongoza ukitaka kujua mimi natongoza vipi itakuwa ngumu sana wewe kufahamu.
Mistari yangu ni mikali sana. Siku ya kwanza tu nampa mistari kisha nampotezea huku demu nikimuacha kwa mshangao mkubwa haipiti wiki atanitafuta mwenyewe.
Haya kazi kwako au subiri mwengine nae akupe study yake

Sasa mkuu mpaka unafikia hatua ya yeye kukupa fursa ya kumpa mistari huwa unafanyaje? Baadaye ukamlizishe na mistari yako hiyo afikie hatua ya yeye kukutafuta huwa inakuwaje hapo?
 
We aliyekuambia kunakutongoza siku hizi nani wewe, mbona unaongeza uwingi wa "thread" tu!!! Kila kukicha, hadi humu JF, watu wanaongelea mkwanja. Tafuta hela Meku!
 
Jaribu hii itakusaidia na kuonyesha mafanikio chanya kwa haraka


"ukikutana nae tu, chomoa mashine kwenye mkoba wake, muonyeshe, mwambie unataka kumzawadia milele"
 
hahah usingizi umekata napoteza tima hapa ila atleast amenifurahisha machine inaweza kufanya kazi maana usawa huu na wafuasi wa kameruni wako wengi

Kama mwanamme hauna hela hata upangilie mashairi yako vyema kuliko hata Mzee Sudi Amir Andanenga"Sauti ya Kiiza"bado kwa wasichana utaonekana mwehu tu!

Mambo ni pesa tu haya ya kutongoza ni makelele tu!!
 
1.Una umri gani?
2.Elimu yako?
3.Hali ya kifedha yako?
4.Mama's boy?
 
Wewe shida yako kubwa unaogopa mavazi,mtu asikudanganye wanawake wote hawajapishana katika tabia za msingi. Wanawake wanapenda kusifiwa,kuheshimiwa na kuwajali,ukizingatia hivo vitu unaweza ukamuingia mwanamke yeyoye. Lakini ukiwa na dharau na maneno ya kashfa hata sumu utawekewa ufe kabisa.
 
Ha haa! Kwa hiyo unataka 'technical know how'? Ni hivi chacha! Ushawahi kuangalia tangazo la wadhamini lets say ITV. huwa tangazo reefu ni la sekunde thelasini. Ila wanakuwa wameshapangilia vitu vyao na ndani ya sekunde hizo thelasini ujumbe unakuwa umeshafika kwa jamii. Embu nenda kaangalie yale matangazo jinsi wanavyopangilia na kufupisha mtiririko wa mambo ujifunze... Ukiweza ku master hiyo art, then utakuwa mbaya kwenye hiyo sekta...
 
kama unatembea uko njiani ukishamfikia msalimu halafu mchunguze kama kavaa saa(wengi hawavai kutokana na simu) kama hajavaa na ukute mstaarabu atatoa simu yake aangalie then utaanzia stori hapo hapo simu yako nzuri blah blah utachomekea akupe No second kama kavaa saa ataangalia muda kwenye saa atakwambia hapo itabidi ujifanye mgeni uliza chochote mfano jengo, kituo na mengineyo then stori zitaanzia hapo mengine utajiongeza

we ni balaa hizo ndo swaga nitakazoanza kutumia
 
kama unatembea uko njiani ukishamfikia msalimu halafu mchunguze kama kavaa saa(wengi hawavai kutokana na simu) kama hajavaa na ukute mstaarabu atatoa simu yake aangalie then utaanzia stori hapo hapo simu yako nzuri blah blah utachomekea akupe No second kama kavaa saa ataangalia muda kwenye saa atakwambia hapo itabidi ujifanye mgeni uliza chochote mfano jengo, kituo na mengineyo then stori zitaanzia hapo mengine utajiongeza

Daah inaonesha unakauzoefu kidogo mkuu
 
Madhara ya punyeto na kununua machangudoa hiyo!

Utaumiza vipi kichwa kutongoza wakati una K yako mwenyewe mkononi? Kwanin usumbuke wakati unaweza kujimaliza mwenyewe? Kwann uhangaike wakati unaweza kwenda mahali na kubageini price chap na ukapata K bila usumbufu na maneno mengi na kujuana?

Tongozo ni kama dialogue! Huwezi ku practice dialogue ukiwa mwenyewe! Sasa ufundishwe vipi tongozo I'll hali hatujui huyo dada ukimpa tu salam ataitikia vipi? Na je ukimsalimu asipoitikia hizo verse ulizopanga kichwani utazipeleka wap?

Ushauri tu, kama ni mtu wa punyeto na kununua acha kabisa hizo mambo! Then utapata courage ya kutosha kumfata msichana unaemuhitaji. Pia kutongoza si lazima ukubaliwe na usife moyo, ili mradi tu usiwe mtu wa kutongoza hovyo kila sketi unayoiona!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums

Huyu anatuzuga tu. Hakuna mtu siku hizi anayeshindwa kutongoza. Na ikitokea ukawa hauelekei kutongoza, basi amini usiamini wadada watakutongoza wao.
 
Aise!! unajua naweza nikawa nimeplan kabisa kwamba namwanzia hivi na vile, lakini nikishamfikia tu plani zote zinapote.

unabadilika kutokana na mazingira coz kila mtu yupo tofauti ujue
 
Back
Top Bottom