Jamani hali ni ngumu sana ila tuwe makini na mafanikio kiganga

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Uganga na uchawi upo tangia enzi, tunaweza kuona katika maandiko ni jinsi gani waganga wa farao walivyoweza badilisha fimbo zikawa nyoka.

Kwa kila maombi na hitaji la kiroho huwa panaambatanishwa na sadaka itokayo kwa yule anae ombwa.

Sasa Mganga hawezi kukueleza kila kitu, kwa maana mafanikio utaweza kuyapata lakini at what cost wewe ndio hutaelewa

Mganga ataomba "uwepo huo" ukusaidie katika mishe zako, kumaanisha mishe zako zinakuwa under supervision ya uwepo huo, lakini uwepo huo hauwezi kukwambia unahitaji nini in return.

Sasa ndio pale ushangaa mimba za mke wako zinatoka mara kwa mara, mtoto wa kwanza kufa, kuzaa mtoto zezeta, mtoto wako wa kike kuwa chakula yao ya kuzimu, kifo cha ghafla na mapema, kuzaa watoto wote wanaharibika na mambo ya dunia, magonjwa makali yasioisha nyumbani kwako, kufa kwa kila mke utakaeoa, etc.

So at some point, kuna sadaka utatoa kwa uwepo hule bila wewe kujijua and it will be painful, na muda mwingine utachukia utajiri huo wa kiganga.

94270c2824f488e5cff1bcce3a0969f0.jpg
 
Uganga na uchawi upo tangia enzi, tunaweza kuona katika maandiko ni jinsi gani waganga wa farao walivyoweza badilisha fimbo zikawa nyoka.

Kwa kila maombi na hitaji la kiroho huwa panaambatanishwa na sadaka itokayo kwa yule anae ombwa.

Sasa Mganga hawezi kukueleza kila kitu, kwa maana mafanikio utaweza kuyapata lakini at what cost wewe ndio hutaelewa

Mganga ataomba "uwepo huo" ukusaidie katika mishe zako, kumaanisha mishe zako zinakuwa under supervision ya uwepo huo, lakini uwepo huo hauwezi kukwambia unahitaji nini in return, ndio pale ushangaa mimba za mke wako zinatoka mara kwa mara, mtoto wa kwanza kufa, kuzaa mtoto zezeta, mtoto wako wa kike kuwa chakula yao ya kuzimu

Kiingilio cha madhabahu za giza

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kiingilio cha madhabahu za giza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante mkuu
 
Uchawi upo maana hata maandiko matakatifu yameeleza.

Kuna wanaobeza na kusema pesa za uchawi hakuna mbona waganga wao ni maskini. Jibu ni rahisi: wao wanajua kwa masharti yale hawatoboi, hivyo wanabaki kuwa makuhani tu.
Hahahaha

Kwakweli mkuu.
 
Uchawi upo maana hata maandiko matakatifu yameeleza.

Kuna wanaobeza na kusema pesa za uchawi hakuna mbona waganga wao ni maskini. Jibu ni rahisi: wao wanajua kwa masharti yale hawatoboi, hivyo wanabaki kuwa makuhani tu.
Kazi ya mganga huwa ni kumkutanisha mteja na hao wanaotoa mafanikio kwahyo yeye ni mtu kati anatafsiri lugha za kuzim kisha anakuambia wewe. Sasa kwann wao ni masikin?? Na mimi ndo najiuliza mpaka saiv
 

Kiingilio cha madhabahu za giza

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatariiiii
 
Back
Top Bottom