Baby dady Drama: Ni ngumu sana kushindana na baba wa mtoto ukianzisha mahusiano na single maza, ngumu sana!

R-K-O

JF-Expert Member
Jun 27, 2023
482
2,138
Unaweza ukajipa moyo kwamba waliachana kwa ugomvi na pengine baba wa mtoto hakutoa chochote tangu asikie mwanamke kapata mimba, waweza kudhani jamaa ndio basi tena kahsribu hawezi kuwa tatizo.

Kiufupi ni ngumu sana mwanamke kumuacha kirahisi mwanaume aliemtunga mimba hasa ya kwanza ile inayompa status ya kuitwa mama flani , hadi kaamua kuchukua maamuzi alee mimba miezi 9 si kitu kidogo.

Kuna kipindi itafika tu ataanza kuomba ruhusa ampeleke mtoto kwa baba yake, tena nae mtoto anaweza kuanza kukuita uncle ama kwa jina lako ila baba ni jina atalomtunzia huyo babake wa kibailojia, hii hasa kwa watoto wa kiume.

Mambo yanayoendelea huko pindi wakiwa wao bila uwepo wako ndio sumu inayoweza kuleta simanzi kwenye mahusiano yenu
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
 
Kwa Afya ya Kulinda Kizazi chako, Oeni mwanamke ambaye hajazaa.


Wakati huo huo tambueni kua siku hizi walooa mwanamke ambaye hajazaa, Huwa wanalea watoto wa wengine.


Ikitokea Umeoa Mwanamke mwenye mtoto, itapendeza kama alozaa naye awe amekufa, kama hajafa,, mwambie mtoto wake huyo ampeleke kwao na alozaa naye , Kama anataka kuishi naye, MPE MASHARITI MAGUMU MAGUMU, MPE MASHARITI NA AYAELEW NA AJUE WAZIWAZI, KUA SIKU AKIFANYA UPUMBAVU KWA MGONGO WA MTOTO, SIKU HIYOHIYO NDIO UTAKUA MWISHO WA NDOA !

Hatari nayoiona Sasa, Kwa Sasa mabinti wengi wanazalia kwao , na wengi wao wanazaa na wanaume ambao hawaoani Kwa sababu za Maisha tu ,,, hali hiii inapelekea Singo Maza Asilimia kubwa, KUTAFUTA MWANAUME AA KUWAOA KWA KUJIEGESHHA TU ILI YEYE NA MWANAWE WAISHI VIZURI !!.


hata Ivo, Suala la kuoa, Nafikiri ni Kuomba Mungu upate Mke mwema tu ,anayejielew !!.
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
Ila anaonyesha jitihada uwe sehem ya mtoto na yeye, bors wewe una msimamo, wengine hapa wanarudi na kuanza kupasha viporo
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
Usichokiweza wewe haimanishi wengine hawawezi
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
Ipo siku!
 
Kiufupi ni ngumu sana mwanamke kumuacha kirahisi mwanaume aliemtunga mimba hasa ya kwanza ile inayompa status ya kuitwa mama flani , hadi kaamua kuchukua maamuzi alee mimba miezi 9 si kitu kidogo.
To yeye ule utamu wa kwanza umeusahau kweli?
 
Unaona kabisa kiwanja kina mgogoro na wewe unanunua lazima tabu ikukute. Hakuna mechi inaanza 1-0
Ipo Mzee inaitwa Handicap wale wa kubet wanajua hilo kwa hio ukiingia kwenye mahusiano na single mother maana yake unabet mda wowote itachezea za uso
 
Haya mambo ni magumu aisee. Mimi ninae dada yangu mkubwa alizaa nyumbani muda mrefu sana akiwa form 1 tu na bahati mbaya alizaa na mume wa mtu tena jirani na maskani ila jamaa alikataa kabisa ile mimba. Dada aliendelea na shule baada ya kuzaa na mtoto amelelewa nyumbani mpaka amekuwa mkubwa na yeye ameoa kwa sasa ( sio mkubwa sana ila tu balehe zinawasumbua vijana akaoa mapema sana). Dada na yeye alishaolewa baada ya kumaliza masomo yake na ana watoto wengine huko kwa mume wake ila sasa wamekuwa wanazinguana sana na mumewe kwa muda sasa mpaka ikafikia kipindi sisiter akaondoka kwa mumewe akaenda kukaa mwenyewe
Aisee kumbe yule mwanaume aliyezaa nae alimtafuta na wakaombana msamaha huko na wamepanga huyo mwanaume aje nyumbani rasmi kwaajili ya kujitambulisha kuwa ndiye baba wa mtoto ( huyu mwanaume bahati mbaya alifiwa na mkewe kwahiyo yupo single analea tu wanae).
Migogoro yote inayoendelea kwenye ndoa ya sisiter kumbe chanzo ni ni huyu mwanaume na inaonekana walishaanza kupasha kiporo siku nyingi. Imekua ni aibukubwa kwa familia
MWANAUME USIOE SINGO MAMA IKIWA ALIEMZALISHA BADO ANAISHI.
 
Mimi naona hizo ni assumptions za watu wachache wanaotaka sisi tuliowapa mimba wadada na kuwaacha kwamba hatuachani. Mimi binafsi toka tulipoachana na mama wa mtoto wangu sijawahi kufikiria kumla tena baada ya yeye kuolewa yaani hata simu tu asipopiga yeye eiza niongee na mtoto au kuna tatizo lolote nahitajika kulikwamua siwezi kumupigia simu hata kidogo.
Sawa SP
 
Kwa Afya ya Kulinda Kizazi chako, Oeni mwanamke ambaye hajazaa.


Wakati huo huo tambueni kua siku hizi walooa mwanamke ambaye hajazaa, Huwa wanalea watoto wa wengine.


Ikitokea Umeoa Mwanamke mwenye mtoto, itapendeza kama alozaa naye awe amekufa, kama hajafa,, mwambie mtoto wake huyo ampeleke kwao na alozaa naye , Kama anataka kuishi naye, MPE MASHARITI MAGUMU MAGUMU, MPE MASHARITI NA AYAELEW NA AJUE WAZIWAZI, KUA SIKU AKIFANYA UPUMBAVU KWA MGONGO WA MTOTO, SIKU HIYOHIYO NDIO UTAKUA MWISHO WA NDOA !

Hatari nayoiona Sasa, Kwa Sasa mabinti wengi wanazalia kwao , na wengi wao wanazaa na wanaume ambao hawaoani Kwa sababu za Maisha tu ,,, hali hiii inapelekea Singo Maza Asilimia kubwa, KUTAFUTA MWANAUME AA KUWAOA KWA KUJIEGESHHA TU ILI YEYE NA MWANAWE WAISHI VIZURI !!.


hata Ivo, Suala la kuoa, Nafikiri ni Kuomba Mungu upate Mke mwema tu ,anayejielew !!.
hata Ivo, Suala la kuoa, Nafikiri ni Kuomba Mungu upate Mke mwema tu ,anayejielew !!.

Hapo mkuu umemaliza kila kitu
 
Haya mambo ni magumu aisee. Mimi ninae dada yangu mkubwa alizaa nyumbani muda mrefu sana akiwa form 1 tu na bahati mbaya alizaa na mume wa mtu tena jirani na maskani ila jamaa alikataa kabisa ile mimba. Dada aliendelea na shule baada ya kuzaa na mtoto amelelewa nyumbani mpaka amekuwa mkubwa na yeye ameoa kwa sasa ( sio mkubwa sana ila tu balehe zinawasumbua vijana akaoa mapema sana). Dada na yeye alishaolewa baada ya kumaliza masomo yake na ana watoto wengine huko kwa mume wake ila sasa wamekuwa wanazinguana sana na mumewe kwa muda sasa mpaka ikafikia kipindi sisiter akaondoka kwa mumewe akaenda kukaa mwenyewe
Aisee kumbe yule mwanaume aliyezaa nae alimtafuta na wakaombana msamaha huko na wamepanga huyo mwanaume aje nyumbani rasmi kwaajili ya kujitambulisha kuwa ndiye baba wa mtoto ( huyu mwanaume bahati mbaya alifiwa na mkewe kwahiyo yupo single analea tu wanae).
Migogoro yote inayoendelea kwenye ndoa ya sisiter kumbe chanzo ni ni huyu mwanaume na inaonekana walishaanza kupasha kiporo siku nyingi. Imekua ni aibukubwa kwa familia
MWANAUME USIOE SINGO MAMA IKIWA ALIEMZALISHA BADO ANAISHI.
Duh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom