ninayo e173 hii wamekaza noma hta hyo inagoma niambie unatumiajetumia sola gsm calc
ninayo nikiweka line nyingine niki unlock inasema unlocked bt nikitaka ku connect inagoma nipe njia yako wewevp umejaribu kuitafutia ktk google?
Naomben mnisaidie jaman na modem model e153u-2 ya airtel kume kuwepo program ya kuichakachua kwa mda tu na sijui nifanyeje huku niliko vodacom kidogo ndio afadhali airtel ipo weak sana. Naomben msaada wenu wataalamu
uninstall ile program ya kwanza alafu install iyo mpya baada ya kuunlockninayo nikiweka line nyingine niki unlock inasema unlocked bt nikitaka ku connect inagoma nipe njia yako wewe
Hizi modem zinachakachulika permanetly . moja kwa moja. ukiachia dc unlocker ambao wao bei zao ni ghali sana kuna web zengine kidogo bei rahisi. kama unamjua fundi simu mwenye unlock box ya octopus kwake yeye kuchakachua permanetly ni bureee. muombe akusaidie. hii box inauzwa dola 49. kwa ajili ya ku unlock both simu na modems hasa hizi ziloshindikana ndio hata hazichukui mda.
box ilikuwepo zamani tu . unajua box ni hardware na software yake ndio imekuwa updated may 31 mwaka 2012. kwa maelezo zaidi soma hii Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type. na kila fundi simu anayo box yake wanachofanya zikitoka simu mpya wanachukua firmware (software ya hardware) from internet na ku update software zao tu.Airtel ni customized software iliotoka mwaka 2012 mwezi february hamna software wala box yoyote yenye uwezo wa kuichakachua ambayo ni ya nyuma zaidi ya hapo
Lazma huyo fundi au mwenye dc unlocker awe ana version mpya ya karibuni.
For what i know nimeona forum yao hao box kwa sasa hawasuport unlock ya airtel tanzania ila wamefanya patnership na dc unlocker ukinunua box 1 unapewa credit ya ku unlock modem 1 bure.
Tusubiri itoke dc **** ya bure ya version mpya ya dc unlocker maybe tutaweza unlock maana hata temporary hizi modem hazkubali
Ungekuwa karibu na mimi nimngekufungulia bureeeee.Airtel ni customized software iliotoka mwaka 2012 mwezi february hamna software wala box yoyote yenye uwezo wa kuichakachua ambayo ni ya nyuma zaidi ya hapo
Lazma huyo fundi au mwenye dc unlocker awe ana version mpya ya karibuni.
For what i know nimeona forum yao hao box kwa sasa hawasuport unlock ya airtel tanzania ila wamefanya patnership na dc unlocker ukinunua box 1 unapewa credit ya ku unlock modem 1 bure.
Tusubiri itoke dc **** ya bure ya version mpya ya dc unlocker maybe tutaweza unlock maana hata temporary hizi modem hazkubali
box ilikuwepo zamani tu . unajua box ni hardware na software yake ndio imekuwa updated may 31 mwaka 2012. kwa maelezo zaidi soma hii Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type. na kila fundi simu anayo box yake wanachofanya zikitoka simu mpya wanachukua firmware (software ya hardware) from internet na ku update software zao tu.
pia hizi box zipo za aina nyingi, kila flash box ina uwezo wake tofauti. sijui weye unazungumzia box ya kampuni gani?
pia kuna website inaziunlock kwa bei rahisi chini ya elfu kumi. (online unlocking without box). kuna jamaa hataki kusema ni website gani na yeye anataka elfu kumi kuiunlock modem yoyote ya hapa tz permanetly.
Ungekuwa karibu na mimi nimngekufungulia bureeeee.
au nije kwako ili uamini?
nipe moja nikutolee bureeeee, halafu uje hapa uwaeleze watu that nothing is imposible.
calvinpower 2012
mkwawa strusture for what? do you know about partition table ya qualcom?Hebu nipe tips yoyote hata kwa pm ntastrugle myself
i am impressed mkuu. umewatumia octopus wameshindwa. weye mwenyewe umeweza. sound great. hebu tupe maelezo zaidi umewatumia lini wameshindwa na weye ukaweza kuanzia tarehe gani. na unaitoleaje maelezo hii link ya may 31 2012. hii hapa Octopus Suite v1.0.6 - added Write Firmware for Huawei E153 and E173 with new security type.Ungekuwa karibu na mimi nimngekufungulia bureeeee.
au nije kwako ili uamini?
nipe moja nikutolee bureeeee, halafu uje hapa uwaeleze watu that nothing is imposible.
calvinpower 2012