Hii imekaaje kisheria na itanibana kwa kipengele gani, na nijiandae na nini?

MGODOLO

JF-Expert Member
Oct 23, 2020
209
172
Naombeni wana sheria na wadau mliopitia hizi changamoto mnisaidie!

Habari zenu wana Jf, nina changamoto na mzazi mwenzangu ambaye nia yangu ilikua ni kumuoa lakini kwa mabadiliko yake kuwa mabaya, nia ikatoweka na sitaki hata mtoto.

Nitazungumzia kwa ufupi ili kufupisha maelezo.

Mimi(28) Nilianza mahusiano na Bint mmoja(24) ambaye nilimpenda sana, lengo ni kumuoa binti huyo.

Kwakua alikua hataki kuchezewa kimapenzi, tuliyapanga kisha nikamwagiza awaeleze wazazi wake kua kapata mchumba hivyo aje ajitambulishe.

Ndugu wadau, nilikua na kakibunda kangu kalikokuwa kananipa kiburi cha kuoa, na hata hivyo nilikua na nia.

Bint huyo anaishi na mama yake mdogo, lakini mama huyo alipofikishiwa taarifa hizo, alikataa, hata aliporudia kuongea naye alikataa katukatu alijibu (SITAKI KUSIKIA SWALA HILO).

Kwa bahati mbaya, mama yangu aliugua kijijini, kale kapesa kote, kakaishia huko. Kwa bahati mbaya shetani kapita, nasi tukaambatana naye.

Ilikua ni mwezi wa 9 mwaka jana
Mwezi wa kumi mwishoni, binti akalalamika kua ana ujauzito, na anataka kuutoa kwasababu wazazi wake wakijua itakua tabu.

Nikamsihi asitoe kwakua mimi nipo, sikua na wasiwasi wowote kwasababu nia ya kumuoa bado ipo palepale.

Mimba iliendelea kukua, changamoto ni kwamba binti anaogopa kuwaeleza wazazi wake kuhusu hali aliokua nayo.

Ilifikia hatua binti katoroka mara kadhaa kuja kwangu, ilimradi wazazi wake wasijue kua kapatia mimba pale.

Kwa busara, nikamuomba na kumrudisha kwao na mabegi yake, mimi nayeye tukashirkiana kutumia njia mbalimbali ili mama yake huyo ajue kua mtoto wake ni mjamzito.

Tukafanikiwa Mama yake akaamua kumwambia (MWITE HUYO KIJANA)

Nakumbuka ilikua ni mwezi wa pili tarehe za katikati mwaka huu, tuliongea mengi kuhusu malengo juu ya binti yao, nia yangu ikabaki palepale, nataka kumuoa ila kwa sasa hali yangu sio nzuri(kuhusu mahari).

Wakaniambia, wiki ijayo nilete mzazi wangu waongee naye, nikapuuza lile swala. Baada ya wiki hiyo kuisha nikashangaa binti kaja kwangu asubuhi, akasema kafukuzwa kwao.

Nikatoka mpaka kwao kujua kulikoni, wakasema huyo binti akae huko mpaka utakapo tuletea mzazi wako. Ikabidi nishirikishe familia sasa, ila kwakua nilikua na lengo na yule binti, kiukweli tulifurahi kwa kufukuzwa kwake!

Baada ya wiki kufika siku ya kikao cha familia zote, wakazungumza mahari zao walizotaka, tukakubali lakini tuka waambia kwa sasa hali sio nzuri hatuna hata mia(kuhusu mahari).

Mmoja wa mjomba wake, akataka kutufungisha ndoa siku ileile, lakini sheria za dini zikatubana, kua hatuwezi kufunga ndoa ilihali mwanamke ni mjamzito. Na huyo binti atoke huko kwako aje hapa kwa wazazi wake akisha jifungua ndipo tuwafungishe ndoa, na binti huyo akisha rudi, hutapangiwa matumizi ya kuleta, ila chochote ulicho nacho lete.

Kwa mimi na huyo binti, hatukupenda kauli ya mjomba, Kuwa binti arudi kwao, hata binti hakupenda kurudi kwao, ila kwa amri ya wakubwa ikabidi iwe hivyo kishingo upande(nilikaa naye wiki moja kwangu).

Nguo zake zote zilianza kumbana kadri mimba ilivyozidi kukua. Nikampeleka mjini, akakusanya kile alicho ona hana, magauni ya ujauzito, nguo za ndani, viatu na kadhalika, ishu za hospitali zote natoa pesa.

Familia ile ilikua ikikazania nitoe mahari angalau hata kidogo ili wajomba na yule mama yake atulie, nikawaambia nikitoa mahari na ilihali hali ya ujauzito inazidi kukua, je nani atawajibika?

Hawakua na la kujibu, na najua fika wasingeweza ishu ya uzazi kwa yule binti(hawako poa kimaisha). Nguo za uzazi zote walizo taka nilisha nunua.

Mimi ni dereva, 17/05/2022 nilipata ajali(traffic case) nikawekwa ndani kuanzia siku hio(hata kwao wanajua) mpaka tarehe 20/05/2022, saa tisa alasiri, nafungua simu nikakutana na ujumbe wa yule binti kua kapelekwa hospitali saa tano ya siku hio(alipata uchungu).

Nikarudi nyumbani, nikaoga kisha nikaenda hospitali husika alipo pelekwa, nikawakuta wazazi wake wapo nje ya hospitali hio wakinisubiri. Nikaingia na kuonana na nesi amwangalie huyo binti mpaka atakapo jifungua.

Kipesa nilicho kiwekeza kwa ajili ya uzazi wake, kikaishia kwenye kesi na hakikutosha, kampuni ikamalizia palipobaki(deni)

Mungu mkubwa, tarehe 21/05/2022 alijifungua salama salimini.

Ndani sina hata mia ya ngama, Nilikwenda kazini kwangu, nikakopa kiasi fulani cha pesa ambacho kingeweza kukidhi mzunguko mzima wa uzazi (KUMBUKA HAPO NINA DENI NA KAMPUNI, AFU NIKAKOPA TENA)

Namshukuru Mungu uzazi ulianza salama.

Katikati ya arobaini, binti akaanza kudai kua anataka nguo mpya za kuvaa, anataka nguo za mtoto. Hapo nilipo sina hata mia, na hata nyama zenyewe nimefanya kueka oda buchani ili nilipe kwa wiki. Nikamwambia wacha arobaini iishe, pengine nitapata pesa.

Ndugu zangu changamoto zikaanzia hapo, hela na wao, wao na hela. Nilikua nakwenda ukweni kila siku jioni kuwajulia hali ila kila baada ya siku mbili, wanataka pesa na hapo nilisha nunua kila kitu kinacho husu uzazi. Kila nikipiga simu niwajulie hali, hiyo simu mpaka najuta hata kupiga, wanataka hela tu.

Kazini kwangu mshahara unakatwa mara tatu... kama unavyo elewa mishahara ya kibongo, ni miambili hutaki kazi acha.

Nakatwa NSSF, nakatwa ule msaada wakesi na nakatwa mkopo niliyokopa kwa ajili ya uzazi.

Yaani nikipokea kile kilicho baki, hata hakinitoshi maana ni nusu ya mshahara ndio napokea. Pamoja na hayo, chochote kinacho pungua kule nanunua hata kwa kukopa mahali, ila wao hawajui.

Ndugu zangu, nilishindwa hata kununua vinguo vya mwanangu, maana wao wanalia, familia yangu nayo kijijini inanitegemea mimi, hivyo kwakua yule yupo nyumbani na wazazi wake wapo, nikawa natoa chochote kitu haswa elfu 20 kwa wiki au hata mbili, lakini nikijua yupo nyumbani.

Arobaini imaisha, Nikasema Afadhali hata nipumue wanipe mke wangu nikaishi nae.

Naona tena kimyaaa, nikimuuliza binti anasema wananisubiri mimi, lakini kwa jinsi tunavyojua taratibu za kitanzania, familia ya mke ndio inatakiwa kumwita kijana na kumpa mkewe, ila sio kijana akadai mke kwa nguvu ilihali hakuna alichotoa(mahari).

Wiki moja baada ya arobaini nilikwenda nikawaeleza matatizo yangu na jinsi kipato changu kilivyo kwa sasa. Ila nikawaambia kama mtanipa mke wangu sitashindwa kuishi naye, ila kama hamtonipa kwakuwa sikutoa chochote, basi nisubirieni mpaka nitakapo pata.

Changamoto iliopo ni kwamba, wanao ishi nae hawana maamuzi kamili juu ya bint huyo, wenye maamuzi ni wajomba na hawaishi hapo, wakaniambia tutafikisha ujumbe.

Wakati huo bado namujitaji yule binti, japokuwa yule binti naye keshaanza kubadilika, ananijibu anavyotaka hata anapohitaji matumizi anapandisha sauti ya juu, kana kwamba alikua akitumwa kudai pesa kwangu, alikua akinijibu anavyo jisikia.

Lakini nikawa na moyo wa subira, sasa nikawa nataka mtoto wangu nimtafutie cheti cha kizaliwa, mana kila nikiongea na mama mtoto, naona majibu hayako sawa. Baba yake binti akasema fuatilia mwenyewe, yaani mimi maongezi haya yalifanyika kwao tarehe 30/07/2022 usiku wa saa mbili, siku ya Jumamosi.

Tarehe 01/08/2022, Nilipo toka kuripoti kituoni (bado naripoti kwa ile kesi) nikapitia hospitali aliojifungulia kuulizia taratibu za kupata cheti cha mtoto, wakasema niende na kadi ya ujauzito na kadi ya mtoto. nikampigia simu yule binti atume hizo kadi kwa dereva toyo, nitamlipa mimi. Binti akasema nikachukue mwenyewe.

Ikabidi nikaenda mpaka kwao, nikawaambia wanipatie hizo kadi. Ndugu zangu, watu wale waligoma kunipa kadi za mtoto wangu!

Nikamwambia yule binti, mimi natoka, ila jua kuwa sina mtoto hapa. Nikaondoka, na kuanzia siku hio sikupiga simu wala kutuma chochote.

Tarehe 10/08/2022, binti akapiga simu, aliuliza tu ukimya wangu, nikamjibu sina wakumjulia hali, maana nikiwa kama baba nikanyimwa kadi za mtoto wangu je, nitamjulia hali mtoto wa nani(maongezi ni mengi na majibu yake ya karaha).

Tarehe 22/08/2022, akapiga simu, maongezi ni yaleyale ukimya wangu sijui atalea na nani mtoto, maana baba ndio mimi. Majibu yangu ni yaleyale kwanini waninyime kadi za mwanangu kuna nini kilicho endelea? Kosa langu ni kukosa pesa, ndio chanzo.

DHUMUNI LA KUANDIKA HAYA.

Kwa ninavyo waona, lazima watafuata sheria, sasa ombi langu kwa wana sheria na wadau mliopitia changamoto hizi, mnisaidie.

1) Je, sheria itanibana kwa lipi?

2) Je, nijiandae na nini?

3) Nataka niwaachie mtoto kisheria je, inawezekana, nifuate njia gani?

Naombeni msaada wenu tafadhali, kwasasa nia ya kumuoa huyo binti sina tena, kwani hafai tena kuwa mke.

Nawasilisha uzi huu, karibuni, kama una swali uliza, nitakujibu.
 
Hapo hakuna mke,bahati mbaya hata ndugu zake hawajielewi!
Nenda ustawi wa jamii,wakupangie pesa ya matunzo ya mtoto wako kulingana na kipato chako.

Achana na huyo MWANAMKE,amekuzidi umri,hutokuja umuweze,atakuendesha Sana kwani anawasikiliza nduguze kuliko Baba mtoto wake.

Achana na familia za kishirikina mkuu.
 
Hapo hakuna mke,bahati mbaya hata ndugu zake hawajielewi!
Nenda ustawi wa jamii,wakupangie pesa ya matunzo ya mtoto wako kulingana na kipato chako.

Achana na huyo MWANAMKE,amekuzidi umri,hutokuja umuweze,atakuendesha Sana kwani anawasikiliza nduguze kuliko Baba mtoto wake.

Achana na familia za kishirikina mkuu.
24>28!!?? Kwa maelezo hayo, sijaona sababu ya kuacha mtoto wako! Na hata binti, labda kuna mengine unaficha.
 
24>28!!?? Kwa maelezo hayo, sijaona sababu ya kuacha mtoto wako! Na hata binti, labda kuna mengine unaficha.
Kaka, binti kawa kiburi mkuu, japo mwanzo hakua hivyo lakini sasa kawa wamoto kaka.. Na sifa ya mke bora ni kuvumiliana kwa shida na raha, sasa yeye hataki kusikia neno sina... Huoni watanipa shida hao mkuu??
 
Hapo hakuna mke,bahati mbaya hata ndugu zake hawajielewi!
Nenda ustawi wa jamii,wakupangie pesa ya matunzo ya mtoto wako kulingana na kipato chako.

Achana na huyo MWANAMKE,amekuzidi umri,hutokuja umuweze,atakuendesha Sana kwani anawasikiliza nduguze kuliko Baba mtoto wake.

Achana na familia za kishirikina mkuu.
Kweli kabisa kaka,.. Na ubaya wa yule binti hata nikiwasiliana naye mimi kama mimi, lazima mama yake ajue... Yaani ni muoga ukimuuliza kitu anasema vyote habakizi
 
Acha kukimbia majukumu tuma matumizi
Kaka, changamoto sio majukumu, mana huyu binti nilikua na malengo naye, ila kwa utaratibu wao wa kutaka kunyenyekewa, suwezi... Ukizingatia nina matatizo yangu, sasa kwanini wanikimbize mjini, bora niwape mtoto wao
 
Msamehe. Untunze Mtoto Tu. Mpka aaatakapofika Umri Wa Kwenda Kwa Baba.
Kama ingelikua kamshahara kangu nakachukua kote, aaaaahhh hilo swala dogo sana mkuu, ila ni changamoto baba na hataki kusikia neno sina
 
Naombeni wana sheria na wadau mliopitia hizi changamoto mnisaidie

Habari zenu wana Jf? Nina changamoto na mzazi mwenzangu ambaye nia yangu ilikua ni kumuoa lakini kwa mabadiliko yake kuwa mabaya, Nia ikatoweka na sitaki hata mtoto

Nitazungumzia kwa ufupi ili kufupisha maelezo

Mimi (age 28) Nilianza mahusiano na Bint mmoja (age 24) ambaye nilimpenda sana, lengo ni kumuoa binti huyo

Kwakua alikua hataki kuchezewa kimapenzi, tuliyapanga kisha nikamwagiza awaeleze wazazi wake kua kapata mchumba hivyo aje ajitambulishe

Ndugu wadau? Nilikua na kakibunda kangu kalikokua kananipa kiburi cha kuoa, na hata hivyo nilikua na nia

Bint huyo Anaishi na mama yake mdogo, Lakini mama huyo alipofikishiwa taarifa hizo, alikataa, hata Aliporudia kuongea naye alikataa katukatu alijibu (SITAKI KUSIKIA HILO SWALA)

Kwa bahati mbaya, mama yangu aliugua kijijini, kale kapesa kote, kakaishia huko

Kwa bahati mbaya shetani kapita nasi tukaambatana naye, ilikua ni mwezi wa 9 mwaka jana

Mwezi wa kumi mwishoni, binti akalalamika kua ana ujauzito, na anataka kuutoa kwasababu wazazi wake wakijua itakua tabu

Nikamsihi asitoe kwakua mimi nipo, Sikua na wasiwasi wowote kwasababu nia ya kumuoa bado ipo palepale

Mimba iliendelea kukua, Changamoto ni kwamba Binti anaogopa kuwaeleza wazazi wake kuhusu hali aliokua nayo

Ilifikia hatua binti katoroka mara kadhaa kuja kwangu, Ilimradi wazazi wake wasijue kua kapatia mimba pale.

Kwa busara, nikamuomba na kumrudisha kwao na mabegi yake, mimi nayeye tukashirkiana kutumia njia mbalimbali ili mama yake huyo ajue kua mtoto wake ni mjamzito...

Tukafanikiwa Mama yake akaamua kumwambia (MWITE HUYO KIJANA)

Nakumbuka ilikua ni mwezi wa pili tarehe za katikati mwaka huu

Tuliongea mengi, kuhusu malengo juu ya binti yao, nia yangu ikabaki palepale, nataka kumuoa ila kwa sasa hali yangu sio nzuri (kuhusu mahari)

Wakaniambia, wiki ijayo nilete mzazi wangu waongee naye, Nikapuuza lile swala, Baada ya wiki hio kuisha nikashangaa binti kaja kwangu asubuhi, akasema kafukuzwa kwao

Nikatoka mpaka kwao kujua kulikoni, wakasema huyo binti akae huko mpaka utakapo tuletea mzazi wako,... Ikabidi nishirikishe familia sasa, ila kwakua nilikua na lengo na yule binti, kiukweli tulifurahi kwa kufukuzwa kwake

Baada ya wiki kufika siku ya kikao cha familia zote, wakazungumza mahari zao walizotka, tukakubali lakini tuka waambia kwa sasa hali sio nzuri hatuna hata mia (kuhusu mahari)

Mmoja wa mjomba wake, akataka kutufungisha ndoa siku ileile, lakini sheria za dini zikatubana, kua hatuwezi kufunga ndoa ilihali mwanamke ni mjamzito... Na huyo binti atoke huko kwako aje hapa kwa wazazi wake akisha jifungua ndipo tuwafungishe ndoa, na binti huyo akisha rudi, hutapangiwa matumizi ya kuleta, ila chochote ulicho nacho lete

Kwa mimi na huyo binti, hatukupenda kauli ya Mjomba, Kua binti arudi kwao, hata binti hakupenda kurudi kwao, ila kwa amri ya wakubwa ikabidi iwe hivyo kishingo upande (nilikaa naye wiki moja kwangu)

Nguo zake zote zilianza kumbana kadri mimba ilivyozidi kukua,.. Nikampeleka mjini, akakusanya kile alicho ona hana, Magauni ya ujauzito, Nguo za ndani, Viatu na kadhalika, ishu za hospitali zote natoa pesa..

Familia ile ilikua ikikazania nitoe mahari angalau hata kidogo ili wajomba na yule mama yake atulie, nikawaambia nikitoa mahari na ilihali hali ya ujauzito inazidi kukua, je nani atawajibika?

Hawakua na lakujibu, na najua fika wasingeweza ishu ya uzazi kwa yule binti (hawako poa kimaisha).. Nguo za uzazi zote walizo taka nilisha nunua

Mimi ni dereva,... 17/05/2022 nilipata ajali (traffic case) nikawekwa ndani kuanzia siku hio, (HATA WAO WANAJUA) mpaka tarehe 20/05/2022, Saa tisa alasiri, nafungua simu nikakutana na ujumbe wa yule binti kua kapelekwa hospitali saa tano ya siku hio (alipata uchungu)

Nikarudi nyumbani, nikaoga kisha nikaenda hospitali husika alipo pelekwa, Nikawakuta wazazi wake wapo nje ya hospitali hio wakinisubiri, nikaingia na kuonana na nesi amwangalie huyo binti mpaka atakapo jifungua

Kipesa nilicho kiwekeza kwa ajili ya uzazi wake, kikaishia kwenye kesi na hakikutosha, kampuni ikamalizia palipobaki (DENI)

Mungu mkubwa, tarehe 21/05/2022, Alijifungua salama salimini

Ndani sina hata mia ya ngama, Nilikwenda kazini kwangu, nikakopa kiasi fulani cha pesa ambacho kingeweza kukidhi mzunguko mzima wa uzazi (KUMBUKA HAPO NINA DENI NA KAMPUNI, AFU NIKAKOPA TENA)

Namshukuru Mungu uzazi ulianza salama.

Katikati ya arobaini, Binti akaanza kudai kua anataka nguo mpya za kuvaa,.. Anataka nguo za mtoto... Hapo nilipo sina hata mia, Na hata nyama zenyewe nimefanya kueka oda buchani ili nilipe kwa wiki. Nikamwambia wacha arobaini iishe, pengine nitapata pesa.

Ndugu zangu changamoto zikaanzia hapo, hela na wao, wao na hela... Nilikua nakwenda ukweni kila siku jioni kuwajulia hali ila kila baada ya siku mbili, wanataka pesa na hapo nilisha nunua kila kitu kinacho husu uzazi... Kila nikipiga simu niwajulie hali, hio simu mpaka Najuta hata kupiga, wanataka hela tu

Kazini kwangu mshahara unakatwa mara tatu... kama unavyo elewa mishahara ya kibongo, Ni miambili hutaki kazi acha

Nakatwa NSSF
Nakatwa ULE MSAADA WA KESI
Nakatwa MKOPO NILIOKOPA WA UZAZI

Yaani nikipokea kile kilicho baki, Hata hakinitoshi mana ni nusu ya mshahara ndio napokea,.. Pamoja na hayo, chochote kinacho pungua kule nanunua hata kwa kukopa mahali, ila wao hawajui

Ndugu zangu, nilishindwa hata kununua vinguo vya mwanangu, mana wao wanalia, familia yangu nayo kijijini inanitegemea mimi, hivyo kwakua yule yupo nyumbani na wazazi wake wapo, nikawa natoa chochote kitu haswa elfu 20 kwa wiki au hata mbili, lakini nikijua yupo nyumbani

Arobaini imaisha, Nikasema Afadhali hata nipumue wanipe mke wangu nikaishi nae

Naona tena kimyaaa... Nikimuuliza binti anasema wananisubiri mimi, lakini kwa jinsi tunavyojua taratibu za kitanzania, familia ya mke ndio inatakiwa kumwita kijana na kumpa mkewe, ila sio kijana akadai mke kwa nguvu ilihali hakuna alichotoa (mahari)

Wiki moja baada ya Arobaini nilikwenda nikawaeleza matatizo yangu na jinsi kipato changu kilivyo kwa sasa,.. Ila nikawaambia kama mtanipa mke wangu sitashindwa kuishi naye, ila kama hamtonipa kwakuwa sikutoa chochote, basi nisubirieni mpaka nitakapo pata

Changamoto iliopo ni kwamba, wanao ishi nae hawana maamuzi kamili juu ya Bint huyo, wenye maamuzi ni wajomba na hawaishi hapo, wakaniambia tutafikisha ujumbe

Wakati huo bado namujitaji yule binti, japolua yule binti naye keshaanza kubadilika, ananijibu anavyotaka hata anapohitaji matumizi, anapandisha sauti ya juu, kana kwamba alikua akitumwa kudai pesa kwangu, alikua akinijibu anavyo jisikia

Lakini nikawa na moyo wa subira, Sasa nikawa nataka mtoto wangu nimtafutie cheti cha kizaliwa, mana kila nikiongea na mama mtoto, naona majibu hayako sawa, baba yake binti akasema fuatilia mwenyewe, yaani mimi maongezi haya yalifanyika kwao tarehe 30/07/2022 usiku wa saa mbili, siku ya Jumamosi...

Tarehe 01/08/2022, Nilipo toka kuripoti kituoni (BADO NARIPOTI KWA ILE KESI) nikapitia hospitali aliojifungulia kuulizia taratibu za kupata cheti cha mtoto, wakasema niende na KADI LA UJAUZI, NA KADI LA MTOTO, nikampigia simu yule binti atume hizo kadi kwa dereva toyo, nitamlipa mimi... Binti akasema nikachukue mwenyewe...

Ikabidi nikaenda mpaka kwao,... Nikawambia nipeni hizo kadi... Ndugu zangu, watu wale waligoma kunipa kadi za mtoto wangu

Nikamwambia yule binti, mimi natoka, ila jua kua sina mtoto hapa.. Nikaondoka, na kuanzia siku hio sikupiga simu wala kutuma chochote

Tarehe 10/08/2022, Binti akapiga simu, Aliuliza tu ukimya wangu, nikamjibu sina wakumjulia hali, mana nikiwa kama baba nikanyimwa kadi za mtoto wangu, je nitamjulia hali mtoto wa nani (maongezi ni mengi na majibu yake ya karaha)

Tarehe 22/08/2022, Akapiga simu, Maongezi ni yaleyale ukimya wangu sijui atalea na nani mtoto, mana baba ndio mimi,.. majibu yangu ji yaleyale kwanini waninyime kadi za mwanangu kuna nini kilicho endelea

Kosa langu ni kukosa pesa ndio chanzo

DHUMUNI LA KUANDIKA HAYA.

Kwa ninavyo waona, lazima watafuata sheria, Sasa ombi langu kwa wana sheria na wadau mliopitia changamoto hizi, mnisaidie,

JE, SHERIA ITANIBANA KWA KIPI?

NA JE NIJIANDAE NA NINI?

Wazo langu, NATAKA NIWAACHIE MTOTO KISHERIA.. je? Inawezekana? Na nifuate njia gani?

NAOMBENI MSAADA WENU TAFADHALI, kwasasa nia ya kumuoa huyo binti sina tena, kwani hafai tena kua mke

NAWASILISHA UZI HUUU... KARIBUNI

KAMA UNA SWALI ULIZA NIKUJIBU
Uko sahihi kabisa kadi ndio kitambulisho cha kisheria na nyaraka muhimu ya kukutambulisha kama baba halali wa mtoto.. Kunyimwa kupewa haki ya kuiona hiyo nyaraka ni kunyimwa haki ya kumtambua mtoto kisheria kama mwanao..!
Una haki ya kwenda polisi dawati kudai haki ya kunyimwa nyaraka rasmi ya kukutambulisha mwanao
 
Uko sahihi kabisa kadi ndio kitambulisho cha kisheria na nyaraka muhimu ya kukutambulisha kama baba halali wa mtoto.. Kunyimwa kupewa haki ya kuiona hiyo nyaraka ni kunyimwa haki ya kumtambua mtoto kisheria kama mwanao..!
Una haki ya kwenda polisi dawati kudai haki ya kunyimwa nyaraka rasmi ya kukutambulisha mwanao
Kaka napata changamoto, na mbaya zaidi sheria zetu za tz, hutetea sana upande wa mwanamke, yaani najua watanibana tu kivyovyote
 
Aisee kweli uanaume kazi. Hongera bwana dereva, nimependa unajua sana kujieleza.

Mi ushauri wangu, hao viburi waletee nao jeuri hivyo hivyo, ila nakuomba endelea kutuma hizo elfu 10/20 kwa wiki kulingana na kipato chako kilivyo, halafu tunza msg za miamala.

Tuma pesa kwa namba ya huyo dada halafu kaa kimya, usiulize kama amepata wala usiulize chochote.

Siku mkienda kwenye sherehe angalau una backup.
 
Naombeni wana sheria na wadau mliopitia hizi changamoto mnisaidie

Habari zenu wana Jf? Nina changamoto na mzazi mwenzangu ambaye nia yangu ilikua ni kumuoa lakini kwa mabadiliko yake kuwa mabaya, Nia ikatoweka na sitaki hata mtoto

Nitazungumzia kwa ufupi ili kufupisha maelezo

Mimi (age 28) Nilianza mahusiano na Bint mmoja (age 24) ambaye nilimpenda sana, lengo ni kumuoa binti huyo

Kwakua alikua hataki kuchezewa kimapenzi, tuliyapanga kisha nikamwagiza awaeleze wazazi wake kua kapata mchumba hivyo aje ajitambulishe

Ndugu wadau? Nilikua na kakibunda kangu kalikokua kananipa kiburi cha kuoa, na hata hivyo nilikua na nia

Bint huyo Anaishi na mama yake mdogo, Lakini mama huyo alipofikishiwa taarifa hizo, alikataa, hata Aliporudia kuongea naye alikataa katukatu alijibu (SITAKI KUSIKIA HILO SWALA)

Kwa bahati mbaya, mama yangu aliugua kijijini, kale kapesa kote, kakaishia huko

Kwa bahati mbaya shetani kapita nasi tukaambatana naye, ilikua ni mwezi wa 9 mwaka jana

Mwezi wa kumi mwishoni, binti akalalamika kua ana ujauzito, na anataka kuutoa kwasababu wazazi wake wakijua itakua tabu

Nikamsihi asitoe kwakua mimi nipo, Sikua na wasiwasi wowote kwasababu nia ya kumuoa bado ipo palepale

Mimba iliendelea kukua, Changamoto ni kwamba Binti anaogopa kuwaeleza wazazi wake kuhusu hali aliokua nayo

Ilifikia hatua binti katoroka mara kadhaa kuja kwangu, Ilimradi wazazi wake wasijue kua kapatia mimba pale.

Kwa busara, nikamuomba na kumrudisha kwao na mabegi yake, mimi nayeye tukashirkiana kutumia njia mbalimbali ili mama yake huyo ajue kua mtoto wake ni mjamzito...

Tukafanikiwa Mama yake akaamua kumwambia (MWITE HUYO KIJANA)

Nakumbuka ilikua ni mwezi wa pili tarehe za katikati mwaka huu

Tuliongea mengi, kuhusu malengo juu ya binti yao, nia yangu ikabaki palepale, nataka kumuoa ila kwa sasa hali yangu sio nzuri (kuhusu mahari)

Wakaniambia, wiki ijayo nilete mzazi wangu waongee naye, Nikapuuza lile swala, Baada ya wiki hio kuisha nikashangaa binti kaja kwangu asubuhi, akasema kafukuzwa kwao

Nikatoka mpaka kwao kujua kulikoni, wakasema huyo binti akae huko mpaka utakapo tuletea mzazi wako,... Ikabidi nishirikishe familia sasa, ila kwakua nilikua na lengo na yule binti, kiukweli tulifurahi kwa kufukuzwa kwake

Baada ya wiki kufika siku ya kikao cha familia zote, wakazungumza mahari zao walizotka, tukakubali lakini tuka waambia kwa sasa hali sio nzuri hatuna hata mia (kuhusu mahari)

Mmoja wa mjomba wake, akataka kutufungisha ndoa siku ileile, lakini sheria za dini zikatubana, kua hatuwezi kufunga ndoa ilihali mwanamke ni mjamzito... Na huyo binti atoke huko kwako aje hapa kwa wazazi wake akisha jifungua ndipo tuwafungishe ndoa, na binti huyo akisha rudi, hutapangiwa matumizi ya kuleta, ila chochote ulicho nacho lete

Kwa mimi na huyo binti, hatukupenda kauli ya Mjomba, Kua binti arudi kwao, hata binti hakupenda kurudi kwao, ila kwa amri ya wakubwa ikabidi iwe hivyo kishingo upande (nilikaa naye wiki moja kwangu)

Nguo zake zote zilianza kumbana kadri mimba ilivyozidi kukua,.. Nikampeleka mjini, akakusanya kile alicho ona hana, Magauni ya ujauzito, Nguo za ndani, Viatu na kadhalika, ishu za hospitali zote natoa pesa..

Familia ile ilikua ikikazania nitoe mahari angalau hata kidogo ili wajomba na yule mama yake atulie, nikawaambia nikitoa mahari na ilihali hali ya ujauzito inazidi kukua, je nani atawajibika?

Hawakua na lakujibu, na najua fika wasingeweza ishu ya uzazi kwa yule binti (hawako poa kimaisha).. Nguo za uzazi zote walizo taka nilisha nunua

Mimi ni dereva,... 17/05/2022 nilipata ajali (traffic case) nikawekwa ndani kuanzia siku hio, (HATA WAO WANAJUA) mpaka tarehe 20/05/2022, Saa tisa alasiri, nafungua simu nikakutana na ujumbe wa yule binti kua kapelekwa hospitali saa tano ya siku hio (alipata uchungu)

Nikarudi nyumbani, nikaoga kisha nikaenda hospitali husika alipo pelekwa, Nikawakuta wazazi wake wapo nje ya hospitali hio wakinisubiri, nikaingia na kuonana na nesi amwangalie huyo binti mpaka atakapo jifungua

Kipesa nilicho kiwekeza kwa ajili ya uzazi wake, kikaishia kwenye kesi na hakikutosha, kampuni ikamalizia palipobaki (DENI)

Mungu mkubwa, tarehe 21/05/2022, Alijifungua salama salimini

Ndani sina hata mia ya ngama, Nilikwenda kazini kwangu, nikakopa kiasi fulani cha pesa ambacho kingeweza kukidhi mzunguko mzima wa uzazi (KUMBUKA HAPO NINA DENI NA KAMPUNI, AFU NIKAKOPA TENA)

Namshukuru Mungu uzazi ulianza salama.

Katikati ya arobaini, Binti akaanza kudai kua anataka nguo mpya za kuvaa,.. Anataka nguo za mtoto... Hapo nilipo sina hata mia, Na hata nyama zenyewe nimefanya kueka oda buchani ili nilipe kwa wiki. Nikamwambia wacha arobaini iishe, pengine nitapata pesa.

Ndugu zangu changamoto zikaanzia hapo, hela na wao, wao na hela... Nilikua nakwenda ukweni kila siku jioni kuwajulia hali ila kila baada ya siku mbili, wanataka pesa na hapo nilisha nunua kila kitu kinacho husu uzazi... Kila nikipiga simu niwajulie hali, hio simu mpaka Najuta hata kupiga, wanataka hela tu

Kazini kwangu mshahara unakatwa mara tatu... kama unavyo elewa mishahara ya kibongo, Ni miambili hutaki kazi acha

Nakatwa NSSF
Nakatwa ULE MSAADA WA KESI
Nakatwa MKOPO NILIOKOPA WA UZAZI

Yaani nikipokea kile kilicho baki, Hata hakinitoshi mana ni nusu ya mshahara ndio napokea,.. Pamoja na hayo, chochote kinacho pungua kule nanunua hata kwa kukopa mahali, ila wao hawajui

Ndugu zangu, nilishindwa hata kununua vinguo vya mwanangu, mana wao wanalia, familia yangu nayo kijijini inanitegemea mimi, hivyo kwakua yule yupo nyumbani na wazazi wake wapo, nikawa natoa chochote kitu haswa elfu 20 kwa wiki au hata mbili, lakini nikijua yupo nyumbani

Arobaini imaisha, Nikasema Afadhali hata nipumue wanipe mke wangu nikaishi nae

Naona tena kimyaaa... Nikimuuliza binti anasema wananisubiri mimi, lakini kwa jinsi tunavyojua taratibu za kitanzania, familia ya mke ndio inatakiwa kumwita kijana na kumpa mkewe, ila sio kijana akadai mke kwa nguvu ilihali hakuna alichotoa (mahari)

Wiki moja baada ya Arobaini nilikwenda nikawaeleza matatizo yangu na jinsi kipato changu kilivyo kwa sasa,.. Ila nikawaambia kama mtanipa mke wangu sitashindwa kuishi naye, ila kama hamtonipa kwakuwa sikutoa chochote, basi nisubirieni mpaka nitakapo pata

Changamoto iliopo ni kwamba, wanao ishi nae hawana maamuzi kamili juu ya Bint huyo, wenye maamuzi ni wajomba na hawaishi hapo, wakaniambia tutafikisha ujumbe

Wakati huo bado namujitaji yule binti, japolua yule binti naye keshaanza kubadilika, ananijibu anavyotaka hata anapohitaji matumizi, anapandisha sauti ya juu, kana kwamba alikua akitumwa kudai pesa kwangu, alikua akinijibu anavyo jisikia

Lakini nikawa na moyo wa subira, Sasa nikawa nataka mtoto wangu nimtafutie cheti cha kizaliwa, mana kila nikiongea na mama mtoto, naona majibu hayako sawa, baba yake binti akasema fuatilia mwenyewe, yaani mimi maongezi haya yalifanyika kwao tarehe 30/07/2022 usiku wa saa mbili, siku ya Jumamosi...

Tarehe 01/08/2022, Nilipo toka kuripoti kituoni (BADO NARIPOTI KWA ILE KESI) nikapitia hospitali aliojifungulia kuulizia taratibu za kupata cheti cha mtoto, wakasema niende na KADI LA UJAUZI, NA KADI LA MTOTO, nikampigia simu yule binti atume hizo kadi kwa dereva toyo, nitamlipa mimi... Binti akasema nikachukue mwenyewe...

Ikabidi nikaenda mpaka kwao,... Nikawambia nipeni hizo kadi... Ndugu zangu, watu wale waligoma kunipa kadi za mtoto wangu

Nikamwambia yule binti, mimi natoka, ila jua kua sina mtoto hapa.. Nikaondoka, na kuanzia siku hio sikupiga simu wala kutuma chochote

Tarehe 10/08/2022, Binti akapiga simu, Aliuliza tu ukimya wangu, nikamjibu sina wakumjulia hali, mana nikiwa kama baba nikanyimwa kadi za mtoto wangu, je nitamjulia hali mtoto wa nani (maongezi ni mengi na majibu yake ya karaha)

Tarehe 22/08/2022, Akapiga simu, Maongezi ni yaleyale ukimya wangu sijui atalea na nani mtoto, mana baba ndio mimi,.. majibu yangu ji yaleyale kwanini waninyime kadi za mwanangu kuna nini kilicho endelea

Kosa langu ni kukosa pesa ndio chanzo

DHUMUNI LA KUANDIKA HAYA.

Kwa ninavyo waona, lazima watafuata sheria, Sasa ombi langu kwa wana sheria na wadau mliopitia changamoto hizi, mnisaidie,

JE, SHERIA ITANIBANA KWA KIPI?

NA JE NIJIANDAE NA NINI?

Wazo langu, NATAKA NIWAACHIE MTOTO KISHERIA.. je? Inawezekana? Na nifuate njia gani?

NAOMBENI MSAADA WENU TAFADHALI, kwasasa nia ya kumuoa huyo binti sina tena, kwani hafai tena kua mke

NAWASILISHA UZI HUUU... KARIBUNI

KAMA UNA SWALI ULIZA NIKUJIBU
Kama kuna wanaume wajinga na wapumbavu, basi mleta mada huenda ni mmoja wapo. Yaani umetafuta kamba mwenyewe, ukatengeneza kitanzi na sasa unahangaika kujinyonga!

Unajihangaisha bure, wakati suluhisho kamili liko mbele yake. KAA KIMYA, KATA KABISA MAWASILIANO NA HUYO BINTI AU NDUGU ZAKE, NENDA ZAKO KAPAMBANE NA MAISHA YAKO. ACHANA NAYE NA ACHANA NAO.

Kuhusu mtoto wako, hilo usiumize kichwa kabisa. Mtoto yupo kwa mama yake (binti uliyezaa naye) na binti uliyezaa naye yuko kwao. Hiyo maana yake ni kuwa mtoto wako yuko kwenye mikono sahihi, salama salimini, utatunzwa na kukua, akikua na kupata akili atakutafuta. Usihangaike hata kutoa senti tano ya matunzo. Narudia tena usitoe hata senti tano. Be a man.
 
Kaka napata changamoto, na mbaya zaidi sheria zetu za tz, hutetea sana upande wa mwanamke, yaani najua watanibana tu kivyovyote
Hapana utabanwa kwa lipi sasa.. Kwani kudai nyaraka ya umiliki ni kosa kisheria? Kwani umefanya fujo?
Nilishawahi kukutana na kesi tatu za namna hiyo moja ikiwa ya rafiki yangu kabisa
Mtoto alikuwa na kadi tatu za kliniki.. Kwa maana ya kwamba mimba mpaka mtoto alikuwa na umiliki wa baba watatu... Na wote walikuwa wanahudumia mtoto mmoja bila kujuana
Ukweli ulikuja kujulikana baada ya wawili akiwemo rafiki yangu kufumaniana halafu ikaja kuthibitika kadi walizokuwa wakioneshwa zilikuwa feki.. Yaani wote wawili walibambikiwa mtoto kwenye upande wa matumizi

 
Aisee kweli uanaume kazi. Hongera bwana dereva, nimependa unajua sana kujieleza.

Mi ushauri wangu, hao viburi waletee nao jeuri hivyo hivyo, ila nakuomba endelea kutuma hizo elfu 10/20 kwa wiki kulingana na kipato chako kilivyo, halafu tunza msg za miamala.

Tuma pesa kwa namba ya huyo dada halafu kaa kimya, usiulize kama amepata wala usiulize chochote.

Siku mkienda kwenye sherehe angalau una backup.
Poa sana mkuu, nashukuru sana kwa ushauri
 
Kama kuna wanaume wajinga na wapumbavu, basi mleta mada huenda ni mmoja wapo. Yaani umetafuta kamba mwenyewe, ukatengeneza kitanzi na sasa unahangaika kujinyonga!

Unajihangaisha bure, wakati suluhisho kamili liko mbele yake. KAA KIMYA, KATA KABISA MAWASILIANO NA HUYO BINTI AU NDUGU ZAKE, NENDA ZAKO KAPAMBANE NA MAISHA YAKO. ACHANA NAYE NA ACHANA NAO.

Kuhusu mtoto wako, hilo usiumize kichwa kabisa. Mtoto yupo kwa mama yake (binti uliyezaa naye) na binti uliyezaa naye yuko kwao. Hiyo maana yake ni kuwa mtoto wako yuko kwenye mikono sahihi, salama salimini, utatunzwa na kukua, akikua na kupata akili atakutafuta. Usihangaike hata kutoa senti tano ya matunzo. Narudia tena usitoe hata senti tano. Be a man.
Toka tarehe 01/08/2022 nilisitisha hilo zoezi,.. Pia dhumuni la uzi huu, ni kwamba kwa muonekano wao watakwenda ustawi wa jamii, kwa jinsi ninavyo waona ujio wao, hivyo lengo ni kupata ushauri juu ya hili, mana lengo langu halikua kutelekeza, ila wamezingua nami nimezingua, ishu nilitaka kujua kisheria hii imekaaje mkuu
 
Hapana utabanwa kwa lipi sasa.. Kwani kudai nyaraka ya umiliki ni kosa kisheria? Kwani umefanya fujo?
Nilishawahi kukutana na kesi tatu za namna hiyo moja ikiwa ya rafiki yangu kabisa
Mtoto alikuwa na kadi tatu za kliniki.. Kwa maana ya kwamba mimba mpaka mtoto alikuwa na umiliki wa baba watatu... Na wote walikuwa wanahudumia mtoto mmoja bila kujuana
Ukweli ulikuja kujulikana baada ya wawili akiwemo rafiki yangu kufumaniana halafu ikaja kuthibitika kadi walizokuwa wakioneshwa zilikuwa feki.. Yaani wote wawili walibambikiwa mtoto kwenye upande wa matumizi

Duuuuuuuuuu hio noma mzee
 
Back
Top Bottom