Nahisi JK baada ya uraisi wake lazima atakua msanii wa Rap! Nyie angalieni tu mara JK kapiga picha na JumaNature mara kapiga picha na Chege mara Boyz II Men sasa hapa yuko na 50cents! tusubiri.
Mpeni heshima yake muheshimiwa rais,mbona mambo madogo tu kwenye ulimwengu wa kisiasa,naamini kapiganae picha tu kama mtu wa kawaida tu na sio kama 50cnt,kama atakavyopiga na ww au mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.