SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Wewe umemtaja inatoshaMpaka sasa hajatajwa marehemu humu, wanachama bado wamelala?
Wewe umemtaja inatoshaMpaka sasa hajatajwa marehemu humu, wanachama bado wamelala?
Ukweli tuulize sisi huyo yupo kwenye mtandao wa kidunia kabisa ni wale wanaoitwa e litedrug dira ....neno lenyewe sijui linaandikwaje maana mimi siyo mzuri kwenye kiswahili wala kingerezaHizo hadithi sio kweli hakuwa na njaa ya kujiingiza kwenye biashara hizo.
Wanasemaga kutakatisha pesa huwa maana yake ni nini ??Bila babake leo hii angekuwa Naibu Waziri? Hata huo ubunge angeupata? Tuanzie hapo kwanza.
Pengine ni kweli ana hela zake lakini kuwezi kumtenga na kufaidika kwake na system.
Jibu swali Shahidi acha kuuliza swali kabla hujajibu swali...Ni hayo tu.Nani alikwambia ni yangu?
Eti anamponda Baba kisha anamfagilia Mwana !! Duh !! Inji hii alisemaga Mrema Lyatonga Wapo watu wanaishi kama wapo Peponi na wapo wengine wanaishi kama wapo Motoni !!! Tusubiri tuone what is coming next kama tutajaaliwa uhai !! Anatuandaa kisaikolojia !! Au vipi ??"Mtoa posti unaanza kuuaminisha umma mapema asubuhi kabisa ukiwa na maana unatuandaa tusije kushangaa hongera zako umeshaeleweka"
Umetumwa kuandika haya?Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
Tunajua sana ni kuuza ngada maarufu kwa hisani ya system kupitia baba yake. Juzi tu ilikamatwa ngada ya 4B waliyoikamata wengine ni marehemu sasa. Na waliohusika kusaka walio mega mzigo wakati unakamekamatwa ni watu wa system.Issue ipo wazi “shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza”.
Jakaya Kikwete ni mstaafu na hajiingizi kwenye siasa kwa sababu ya njaa. Wala mwanawe hanufauki kwa uwepo wake.
Ridhiwani uwaziri ni prestige tu lakini sio kimaslahi ila halipo tayari ni tajiri; siku mkijua anamiliki nini wengi mnaweza dhani hizo mali kazi pata baada ya uwaziri.
Issue inakuja kwa watu kama Nape na January hawana tangible investment awawezi kuwekeza kwenye biashara ambapo Jakaya Kikwete inabidi awabebe watoto wa rafiki zake kila siku kupata mwanya wa kuiba serikalini au ndani ya CCM.
Ndugu ,Mbona unaongea Kama mtu wa darasa la saba B?Hizo Mali zote Ridhiwani kazipata wapi katika muda mfupi?Au ndio hiyo ya viongozi wa Africa kujitajirisha kwa Mali za walala hoi?Na ww kwa kuwa ni zero brain unakuja hapa kutuambia huo upuuzi tena kwa kujisifia.Labda nikwambie tu,utajiri wa kweli ni wa kina Azam tu hapa Tanzania.Wengine wote hao ni wizi na ufisadi mkubwa .Yaan JK ametajirika na ukoo wake kwa kuwa tu amekuwa Rais.Hiyo ni aibu kubwa Sana kwa familia yake .Ipo siku ,wajukuu zake watalia na kuumia kwa ajili ya huo utajiri wa kuiba na kudhurumu Mali za walala hoi.Issue ipo wazi “shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza”.
Jakaya Kikwete ni mstaafu na hajiingizi kwenye siasa kwa sababu ya njaa. Wala mwanawe hanufauki kwa uwepo wake.
Ridhiwani uwaziri ni prestige tu lakini sio kimaslahi ila halipo tayari ni tajiri; siku mkijua anamiliki nini wengi mnaweza dhani hizo mali kazi pata baada ya uwaziri.
Issue inakuja kwa watu kama Nape na January hawana tangible investment awawezi kuwekeza kwenye biashara ambapo Jakaya Kikwete inabidi awabebe watoto wa rafiki zake kila siku kupata mwanya wa kuiba serikalini au ndani ya CCM.
Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto y
Utakuwa unawashwa weweMpaka sasa hajatajwa marehemu humu, wanachama bado wamelala?
Utakuwa unawashwa wewe
Nimejua tuNani alikwambia ni yangu?
Tujifanye tumekubali kuwa Ridhiwani alipata 'mtaji' kutoka kwenye ubunge. Vipi utajiri wa Miraji ameutoa wapi? (Sijazungumzia chochote kuhusu pesa zilizotolewa benki kwa viroba).Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
Ila ukitaka kujua kiongozi gani ana miliki nini ni rahisi tu, nenda Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma, jaza fomu, lipia gharama za ku - search habari utakazo ILA utatakiwa kuieleza Tume hizo taarifa unazo tafuta za kiongozi husika NI KWA AJILI YA NINI!Issue ipo wazi “shibe mwana malevya, njaa mwana malegeza”.
Jakaya Kikwete ni mstaafu na hajiingizi kwenye siasa kwa sababu ya njaa. Wala mwanawe hanufauki kwa uwepo wake.
Ridhiwani uwaziri ni prestige tu lakini sio kimaslahi ila halipo tayari ni tajiri; siku mkijua anamiliki nini wengi mnaweza dhani hizo mali kazi pata baada ya uwaziri.
Issue inakuja kwa watu kama Nape na January hawana tangible investment awawezi kuwekeza kwenye biashara ambapo Jakaya Kikwete inabidi awabebe watoto wa rafiki zake kila siku kupata mwanya wa kuiba serikalini au ndani ya CCM.