samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,176
nitajieni nchi moja duniani ambayo mtoto wa Rais ni kapuku aka rofa aka masikini...
Wakiwa matajiri tunapiga kelele, wakiwa viongozi tunapiga kelele..sasa tunatakaje jamani kama sio roho za umasikini hizi....
Watoto wa maRais au viongozi nao ni binadamu wanaohitaji kuishi kama wengine tunavyoishi, kama kuna mahala kuna opportunity nao wanahitaji kuzitumia pia...kama kuna mahala...
Baba yako akiwa Rais huruhusiwi kuwa Waziri, RC au Tajiri ?....
Wakiwa matajiri tunapiga kelele, wakiwa viongozi tunapiga kelele..sasa tunatakaje jamani kama sio roho za umasikini hizi....
Watoto wa maRais au viongozi nao ni binadamu wanaohitaji kuishi kama wengine tunavyoishi, kama kuna mahala kuna opportunity nao wanahitaji kuzitumia pia...kama kuna mahala...
Baba yako akiwa Rais huruhusiwi kuwa Waziri, RC au Tajiri ?....