only83
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 5,343
- 2,525
Akiongea katika mkutano wa kufungua mpango mkakati wa TARJA, Jaji Warioba ameongea maneno yanayokanganya na kutilia shaka uweledi wake pale alipo sema haoini shida na sababu za kwanini tusiwalipe DOWANS pesa zao. Akaendelea kusema kama mahakama ambacho ndio chombo cha kutafsiri sheria kimeamua hivyo nani anayepasa kupinga?
Maoni Yangu
Huyu Mzee anaanza kupoteza weledi na anajishushia heshima yake mbele ya watanzania.
Maoni Yangu
Huyu Mzee anaanza kupoteza weledi na anajishushia heshima yake mbele ya watanzania.