Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Japo alichokisema ktk misingi ya ksiheria yupo sahihi lakini nachelea kupingana naye kwa kuwa wananch ndo walipaji wakuu wa deni hlo kupitia kodi zetu na siku zote katiba ambayo imebeba sheria zote ipo haipo juu ya wananchi hvyo kupitia umoja wetu tunaweza kuzuia malipo haya dhalimu kwa mafisadi wachache wa nchi hii.HUu ni mtizamo wangu finyu wa mawazo ambao haufungamani na upande wa kisheria kwenye shubiri hii ya dowans