Prof Muhongo ni muongo hayuko sahihi. Ili kujua nani anamiliki how much ni mpk re-calculation ifanyike. Kusema pesa zote ni za IPTL si sahihi pia (nimekusamehe hapa mzee warioba) kwani ni sawa na kusema kuwa hakukuwa na disputes btn tanesco na iptl ambayo ni wrong pia.
Katika michango yangu mingi kwenye hili swala la Escrow nimezungumzia sana kuwa hawa jamaa wamesurvive kwa vile repot ya PAC ilikuwa too weak. Pamoja na ushahidi kuwa overwhelming kuliko wa Richmond bado walishindwa kuja na report ya nguvu. Hiyo report ilikuwa ndiyo uwezo wao pamoja na kukesha. Niliwashangaa kuwakaribisha watu kama wakina Kingwang'ala badala ya design za akina Mwakyembe. Nawaelewa walitaka kupandisha profile yao kuwa vijana wanaweza but it backfired big time. FF aliiona mapema akatahadharisha watu lakini only few people understood her. Halafu kuna tu kesho atakuja dai eti Zitto ni presidential material ....................what a joke!!
Nani kawalinda akina mbowe dola hii ya bongo, acha bange
Ilikuwa ni ripoti ya MENGI kumsulubu Mhjongo, ripoti ya UKAWA kutaka kumrudisha ZITTO kundini na ZITTO kutaka huruma ya UKAWA, ripoti vita ya KANDA YA KASKAZINI vs KANDA YA ZIWANi kweli. Ripoti ile imewaehalilisha sana wabunge.
Ilikuwa ni ripoti ya MENGI kumsulubu Mhjongo, ripoti ya UKAWA kutaka kumrudisha ZITTO kundini na ZITTO kutaka huruma ya UKAWA, ripoti vita ya KANDA YA KASKAZINI vs KANDA YA ZIWA
Ila kiukweli RAIS hawezi kubariki ujinga wa akina mengi, nchi haiwezi kuendeswa na remote ya wafanyabiashara matajiriAhsante Baba Warioba kwa kusema ukweli na kukuweka huru, hapa inazidi kujidhihirisha ni kwa namna gani Kamati ya PAC ilivyotumika kuwapiga na kuwashambulia Mawaziri watendaji kwa shinikizo la pesa za kina Regnald Mengi, Nimrod Mkono na Edward Lowassa.
Shame on you Zitto Kabwe, Filikunjombe and your company
Ilikuwa ni ripoti ya MENGI kumsulubu Mhjongo, ripoti ya UKAWA kutaka kumrudisha ZITTO kundini na ZITTO kutaka huruma ya UKAWA, ripoti vita ya KANDA YA KASKAZINI vs KANDA YA ZIWA
With due respect mwanajamvi, kulinganisha report ya PAC na ile ya Mwakyembe ni sawa na kulinganisha embe na papai kwavile tu yote ni matunda. Siyo sahihi. Ya Mwakyembe ilikuwa kamati teule kwa ajili ya kufanya uchunguzi na uchambuzi, wakati ya PAC ilikuwa kupitia report ya CAG kwa niaba ya bunge!!
Ilikuwa ni ripoti ya MENGI kumsulubu Mhjongo, ripoti ya UKAWA kutaka kumrudisha ZITTO kundini na ZITTO kutaka huruma ya UKAWA, ripoti vita ya KANDA YA KASKAZINI vs KANDA YA ZIWA
Ila kiukweli RAIS hawezi kubariki ujinga wa akina mengi, nchi haiwezi kuendeswa na remote ya wafanyabiashara matajiri
Ahsante Baba Warioba kwa kusema ukweli na kukuweka huru, hapa inazidi kujidhihirisha ni kwa namna gani Kamati ya PAC ilivyotumika kuwapiga na kuwashambulia Mawaziri watendaji kwa shinikizo la pesa za kina Regnald Mengi, Nimrod Mkono na Edward Lowassa.
Shame on you Zitto Kabwe, Filikunjombe and your company