Jaji Warioba: Ripoti ya PAC ni dhaifu

"" #FEDHA_SI_ZAUMMA ""

Hata Warioba amelielezea vyema jambo hilo. Sasa wanaokaza kuwa ni za umma,wanasimamia ktk kigezo/msingi gani?

Mimi naamini fedha si ya umma hadi kesho. Na siasa imefachukua part kubwa ktk sakata hili.
 
And yet wazee wa m4c hawawezi move on bila ya huyo kamikaze stuntman aka AL-qaida . very interested
Zitto na Maccm ndio wanajisugua na CDM ..CDM hawan Muda nae....ktk mwanasiasa aliye busy pamoja na Kitila ktk kudandia kila event,kufanya kila drama ili asipotee ktk ramani ni Zitto.
 
Mkuu ktk yote unaonekana unachuki mno na Zitto.... Lazima tukubali maaskofu wanastahili jitakasa ktk hili.... Usimlaumu ZZK kumwambia mdini wakati wao walichambua kile walicholetewa na CAG ...
Kwanini nisimchukie mtu mwenye tabia za mbaya hivi, anayejisema wazi kile anachokomaa kupost humu kupitia wapambe na IDs zake feki.kimsikiliza Live lazima upate tone ya anachopost JF na media za Hovyo.....Alijifanya kachoka..NA mapozi yake kuwa ni mtu wa calibre ingine ,ila laitamka kuwa kachoka kitoto sana..baada ya kuona Issue ya Chenge imebuma
 
Kwa wanachi tulio wengi, sakata la Escrow, hasa kwenye ripoti,bado haijaeleweka, sababu kubwa ni makaratasi yaliyo mengi ya ripot hiyo, na watanzania wengi suala la kusoma hata vitabu ni shida, hivyo naamini ripoti hii ya escrow hajasomwa na wengi hasa watanzania.Kilicho baki hapo ni ushabiki tu, ooo pesa imeliwa,ooo hata chenge naye tena, aaaa mbona fulani hayupo, hayo vile vile yatatucost hata kwenye katiba inayopendekezwa, watanzania wenzangu, tusiwe mashabiki wa kitu bila kutafuta chanzo chake kwa umakini..!!
 
Mikwara tuu; nchi hauwezi kusambaratika wala nini. Baadhi ya watu wanatumia excuse hiyo kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.Kama waliomleta Seth tayari wanajulikana nchi itasabaratikaje wakati wahusika wanajulikana? Kuna lipi jipya ambalo watu hawajui kuhusiana na Escrow?

In the modern era of technology na kupashana habari horizontally rather than vertically (ambavyo tulizoea huko nyuma) huwezi kusema kuwa nchi itasambaratika kwa kusambaa kwa habari. Kwa sababu tayari watu wengi wanajua in and out ya Escrow na wahusika wote na kilichotokea.

Kwa maana nyingine the problem is not about not having the information, but not acting on that information. Watu wana info zote; sema zinawafanya wajisikie sad for what is going on. They aren't angry yet.

As Malcolm X once said "Usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change." Ninachotaka kusema ni kuwa watu wanawajua wahusika almost wote. But they are just sad of what is happening.

They are not angry yet and, hence, they aren't about to bring any change. Ndo maana hata ukisoma maandiko ya watu juu ya hili sakata, wengi wanaonyesha kusikitika juu ya kilichotokea. They arent' angry.

But if you are sad you would like to keep things as they are. Just few things to fix na mambo yatakuwa fine as usual. Lakini kama ukiwa na hasira and really want to bring about change, then hutajali kama nchi itasambaratika. What you really want is change and change only, not repair the damn thing which have caused you loads of problems.

Ni sawa na a married woman aliyezaa na mumewe. Mume hasn't been performing well for a number of years now. He has left the woman unsatisfied. She is sad, but not angry with her husband kutomfikisha atakapo. She may want to stay with him by fixing the problem with him, but next next day she is all over him b'se he has done exactly the same thing he promised that he won't.

She is indecisive. She can't decide what to do. She doesn't know what will happen if she breaks up with him. She is scared to be alone. Will she find a man out there? She isn't sure. She has got kids to take care of na hii inamwongezea wasiwasi.

Hii imesababishwa na kuishi na mume wake kwa miaka mingi. He has been the only man in her life . She doesn't know how other men test like and she is afraid of testing them, just in case they end up testing like him. May be, they may want her just for sex, whilst she wants more in the relationship.

Lakini inaweza kufikia siku ambayo huyo mwanamke ataamka na kunusa kikombe cha cappuccino na kumwambia mumewe, enough is enough. My husband, you were magnificent, thank you very much for what you have done to me, including these children, but please we have to move on. We have got to have change.

It will be a heartbreaking divorce, but a divorce that has to be. Akishafikia stage hiyo, i.e. kuwa na hasira na ndoa yake hataogopa kama ndoa itasambaratika. Atasema potelea mbali liwalo na liwe. I have had enough. Na sitegemei mwanaume aka chama kuishi ninavyotaka. Au siyo everlenk?

Haswaaa!! The time will tell....... ipo siku tolerance limit itakuwa 0 hapo ndipo kila aliyemzalendo atajua mwenyewe nini cha kufanya bila mihemko yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Hawajaligusa kwa sababu inatakiwa tutambue uchafu huu umefanyika wakati waziri wa fedha Dr Mgimwa akiwa tayari wamemlisha SUMU na akiwa mgonjwa na kupelekwa South Africa nikimaanisha mwezi Sept. - Dec 2013 kwa hiyo waziri kamili alikuwa Mgonjwa na aliyekuwepo ni huyu naibu Nkuya ambaye kiuhalisia na jinsi alivyo dhaifu nafikiri na inawezekana hakuhusishwa kabisa kwani hapo alipo ni boya tu hajui mbele wala nyuma.

Mkuu wewe ndio ni mekusoma na kukuelewa zaidi.
 
ni kweli Ripoti ya PAC ina udhaifu kwa sababu inaendeleza mambo yale yale ya akina mwakyembe,ya kuogopa kutaja baadhi ya watu eti nchi itatikisika.kwa uoga huo ndio maana mzimu IPTL unaendelea kulitafuna Taifa letu.
Ni wazi hizo Bank nyingine zingeguswa basi Ikulu na Imani nyingine zingeguswa kinyume na malengo yao marefu.
 
And yet wazee wa m4c hawawezi move on bila ya huyo kamikaze stuntman aka AL-qaida . very interested
Ninachojua wake wa Wazee wa Kiswahili huishi kwa porojo za waume zao,kuwa wamedhulumiwa,sijui nani kafanikiwa ila hana amani km wao, sijui fulani hela si zake ni fulani ,sijui ni za uchawi...Mtabaki kutoa SABABU NYINGI SANA ZA ZITTO KUWA KM ALIVYO MTALIZANA NAE SANA.ILA TUNACHOJUA NI KWAMBA YEYE NDIE ANAJIULIZA KWANINI YUPO NJE YA NDOA.KWANINI ALIE KUWA YEYE NDIE VICTIM,HALAFUA AJIITE MASTER PLANNER?MASTER PLANNER AMBAYE HAJITAMBUI WALA KUJUA NINI PLAN SAHIHI KWAKE KABLA YA KUPLAN KWA WENGINE. Mtabaki na yaleyale kuwa chuji sijui boban ni majembe..hadi waishie walipoishia wavuta bangi na wala unga wengine. WASWAHILI MNAJICHELEWESHA SANA KTK UJINGA.MNGEOMBA SANA MUNGU AWAFUNDISHIE KUNG`AMUA SHIDA NA KUIKUBALI ILI MUACHANE NAYO.HADI LEO KUNA KIMA KM WEWE WANAAMINI JK BADO HAJAANZA KAZI,HUKU MKIIMBA CHORUS KUWA ANAHUJUMIWA.NA SI KUWA SIMPLY HAWEZI KAZI NA HATA MWENYEWE KAISHIWA NA EXCUSE ZA ZA KUWAPA WATZ
 
Back
Top Bottom