Mikwara tuu; nchi hauwezi kusambaratika wala nini. Baadhi ya watu wanatumia excuse hiyo kwa sababu wanazozijua wao wenyewe.Kama waliomleta Seth tayari wanajulikana nchi itasabaratikaje wakati wahusika wanajulikana? Kuna lipi jipya ambalo watu hawajui kuhusiana na Escrow?
In the modern era of technology na kupashana habari horizontally rather than vertically (ambavyo tulizoea huko nyuma) huwezi kusema kuwa nchi itasambaratika kwa kusambaa kwa habari. Kwa sababu tayari watu wengi wanajua in and out ya Escrow na wahusika wote na kilichotokea.
Kwa maana nyingine the problem is not about not having the information, but not acting on that information. Watu wana info zote; sema zinawafanya wajisikie sad for what is going on. They aren't angry yet.
As Malcolm X once said "Usually when people are sad, they don't do anything. They just cry over their condition. But when they get angry, they bring about a change." Ninachotaka kusema ni kuwa watu wanawajua wahusika almost wote. But they are just sad of what is happening.
They are not angry yet and, hence, they aren't about to bring any change. Ndo maana hata ukisoma maandiko ya watu juu ya hili sakata, wengi wanaonyesha kusikitika juu ya kilichotokea. They arent' angry.
But if you are sad you would like to keep things as they are. Just few things to fix na mambo yatakuwa fine as usual. Lakini kama ukiwa na hasira and really want to bring about change, then hutajali kama nchi itasambaratika. What you really want is change and change only, not repair the damn thing which have caused you loads of problems.
Ni sawa na a married woman aliyezaa na mumewe. Mume hasn't been performing well for a number of years now. He has left the woman unsatisfied. She is sad, but not angry with her husband kutomfikisha atakapo. She may want to stay with him by fixing the problem with him, but next next day she is all over him b'se he has done exactly the same thing he promised that he won't.
She is indecisive. She can't decide what to do. She doesn't know what will happen if she breaks up with him. She is scared to be alone. Will she find a man out there? She isn't sure. She has got kids to take care of na hii inamwongezea wasiwasi.
Hii imesababishwa na kuishi na mume wake kwa miaka mingi. He has been the only man in her life . She doesn't know how other men test like and she is afraid of testing them, just in case they end up testing like him. May be, they may want her just for sex, whilst she wants more in the relationship.
Lakini inaweza kufikia siku ambayo huyo mwanamke ataamka na kunusa kikombe cha cappuccino na kumwambia mumewe, enough is enough. My husband, you were magnificent, thank you very much for what you have done to me, including these children, but please we have to move on. We have got to have change.
It will be a heartbreaking divorce, but a divorce that has to be. Akishafikia stage hiyo, i.e. kuwa na hasira na ndoa yake hataogopa kama ndoa itasambaratika. Atasema potelea mbali liwalo na liwe. I have had enough. Na sitegemei mwanaume aka chama kuishi ninavyotaka. Au siyo
everlenk?