Jaji Warioba: Ripoti ya PAC ni dhaifu

Jaji Warioba: Ripoti ya PAC ni dhaifu

Tuoneshe wapi kwenye ripoti ya CAG, TAKUKURU inapoonesha Mhongo kafanya makosa.

Ropoti ya CAG ...Muhongo alihalalilsha transfer of shares kwa kampuni fake ya PAP...

PCCB mchakato mzima unagubikwa na rushwa....parent ministry ikiwa ya Muhongo
 
It looks like you have some difficulties in understanding ........................... he's trying to say that the dudes survived because the report was too weak!! Can't you get it.......!!.

leave alone that twit...s/he not ready to understand the lesson.
 
nilishawahi kusema na narudia tena, delivery ya PAC ilikua below standard, ilikua ya kitoto mnoo, nilitegemea nisimame kwenye kiti lakini ilikua kama kawimbo tu kakunilaza, hamna kitu pale, zito jitahidi kua mwandishi mzuri wa hotuba, ulichemsha.
 
dah i feel sorry for u and warioba
a person who can't find any positives in any situation always defensive

its a sign of depression and serious mental disorders

don't get carried away with emotion babu zitto and his kamati nawapa credits what u wud u do in zitto place??

is it a sin to voice the negative side of the report? no one has said the report deserves nothing but the issue is that it was not 100% perfect. this's what warioba is lamenting. understand?
 
Katika michango yangu mingi kwenye hili swala la Escrow nimezungumzia sana kuwa hawa jamaa wamesurvive kwa vile repot ya PAC ilikuwa too weak. Pamoja na ushahidi kuwa overwhelming kuliko wa Richmond bado walishindwa kuja na report ya nguvu. Hiyo report ilikuwa ndiyo uwezo wao pamoja na kukesha. Niliwashangaa kuwakaribisha watu kama wakina Kingwang'ala badala ya design za akina Mwakyembe. Nawaelewa walitaka kupandisha profile yao kuwa vijana wanaweza but it backfired big time. FF aliiona mapema akatahadharisha watu lakini only few people understood her. Halafu kuna tu kesho atakuja dai eti Zitto ni presidential material ....................what a joke!!

Jaji Joseph WARIOBA ana uelewa mpana sana katika masuala mbali mbali na mara zote yupo realistic
 
Last edited by a moderator:
Mzee warioba naona kachanganyikiwa sasa, udhaifu wa ripoti ya PAC ukwap? na wakati wao wametohoa data za CAG? Hebu acheni kukatisha watu tamaa.

kama unachangia kwa kutumia mahaba na ASHKI kwa chama chako utaelewaje?
 
Asome nini wakati umetuwekea kichwa cha habari na habari yenyewe imepigwa password? Ndio maana kila mtu ana guess opinions za Warioba.

Mkuu CORAL, kwanza kabisa sio mie niliyeanzisha uzi, hivyo sihusiki na habari kupigwa password! Pili kitendo cha "ku-guess opinions" za mtu na kuanza kumshambulia hakiashirii ü-GT hata kidogo, na ndio maana nikakiita kitendo hicho "Ghasia style"!
 
Katika michango yangu mingi kwenye hili swala la Escrow nimezungumzia sana kuwa hawa jamaa wamesurvive kwa vile repot ya PAC ilikuwa too weak. Pamoja na ushahidi kuwa overwhelming kuliko wa Richmond bado walishindwa kuja na report ya nguvu. Hiyo report ilikuwa ndiyo uwezo wao pamoja na kukesha. Niliwashangaa kuwakaribisha watu kama wakina Kingwang'ala badala ya design za akina Mwakyembe. Nawaelewa walitaka kupandisha profile yao kuwa vijana wanaweza but it backfired big time. FF aliiona mapema akatahadharisha watu lakini only few people understood her. Halafu kuna tu kesho atakuja dai eti Zitto ni presidential material ....................what a joke!!

hivi kina mwakyembe walisoma na kuchambua ripoti za wengine ama walienda Field wenyewe??
 
Hebu jamani tuelimisheni, Kazi ya PAC ilikuwa ni kuichambua repoti ya CAG au PAC kuingia Mtaani n kufanya uchunguzi(ukaguzi)?, Km kutajwa hao kina Saada n Kigoda ni CAG Ndio alikuwa awataje ili PAC wao weandelee n uchambuzi
 
kama unachangia kwa kutumia mahaba na ASHKI kwa chama chako utaelewaje?

yaani kwa jinsi navyo ona mara nyingi unavyocomment it is 100 % ni msukule wa kisiasa,, misukule ya kisiasa huwa very limited katika uwezo wa ku accept maoni ya wengine hasa kinzani
 
is it a sin to voice the negative side of the report? no one has said the report deserves nothing but the issue is that it was not 100% perfect. this's what warioba is lamenting. understand?


give credit were credit is due

the basis of PAC report is from respectively CAG and TAKUKURu reports

if there's any weakness why blame it on PAC

warioba wants us to believe he's the only one in Tz who can do a job better lol

huyu babu kenge kweli
 
Kama ni dhaifu tengeneza yakwako tumfukuze rais

Unajitaka au hujitaki? ofisi kuu usiingize hapa kwenye mambo ya sijui crow au scrow. Kama Warioba ni jasiri na anataka nimuingize ikulu kwa kura yangu 2015, ajipe ujasiri wa kusema kile anachokiamini. Ni hatari sana
 
watanzania ktk ubora wetu......tunaikataa kazi yote waliyofanya PAC kwa chuki zetu binafsi....

kama ripoti ilikuwa dhaifu....wabunge wa upinzani walikatazwa kuiboresha ktk michango yao au kupitia maazimio

kama ripoti ya PAC ilikuwa dhaifu...kwann msemaji wa kambi ya upinzani aliiunga mkono

kama ripoti ilikuwa dhaifu kwann wabunge hawakutoa maazimio yenye nguvu zaidi kuliko yale ya PAC

tuache chuki.... ripoti ya PAC ilikuwa thabiti...na walifanya kazi nzur

hapa anatafutwa ZZK aonekane mbaya hakuna jipya
Hivi mtaendelea kudanganyika na usafi bandia wa Mbowe mpaka lini?ZZK na Mbowe wote wanahusishwa na kadhia hii ya ESCROW, Kufa kwa kashfa ya ESCROW ndiyo kupona kwake kisiasa!
 
MZee hajakosea..Mimi nilioona kabisa report ilikuwa ikitushambulia watu fulani na kuacha fulani.Hiwezekani bank chache zikatajwa na kutaka zishambulia bila kuweka angalizo kwanini nyingine hazikuwekwa.Yule dada waziri wa fedha siamini kwanini kaachwa.Ila ni rahisi sana establish pattern ktk report ya Zitto na ukizingatia tabia yake tangu mwanzo hakuna ubishi huyu jamaa upuuzi hajaacha. KITENDO CHA ZITTO KUSUPPORT "PHRASE YA FISADI CHENGE " Niliona ubaya za zitto ktk kujifanya anajua kuwa kasuku,Baadae akachomekea kwa nidhamu mbaya kabisa kuwa sasa kachoka.Hapa ZItto alijua kuwa alichosema chenge kingekubalika Blindly na UKAWA then ingefikia kwa WEREMA NA PINDA basi mafisadi wangekuwa washindi na Zitto km kibaraka wao angekuwa shujaa.This boy was another kamikaze stuntman in the HOUSE.

And yet wazee wa m4c hawawezi move on bila ya huyo kamikaze stuntman aka AL-qaida . very interested
 
It looks like you have some difficulties in understanding ........................... he's trying to say that the dudes survived because the report was too weak!! Can't you get it.......!!.
Ha ha ha ha ha haaaaaah, mkuu wengine wanachangia kwa kukurupuka bila kuangalia maudhui ya thread
 
Warioba ni wa chama kipi?

In context ya wajumbe wengi ni type ya kisangi Mshana na fujo ukiachia kidogo Malamud wa mwenyekiti wa Hiyo kamati na ndio Maana kwenye mjadala tumeona michango ya wajumbe mwingine ikiwa objective na wengine akshi na wengine ilimradi walichangia
 
Huyu mzee nae kaltazama hlo,n muda wa PAC kujrekebsha na kufanya v2 kwa uhakka zaid.
 
Back
Top Bottom