Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,344
Hali hii huzidi kuwa mbaya sana bongo pale marais wanapokuwa wanamalizia awamu zao.
Sijui kwa nini?!
Wanaandaa maisha ya kustaafu but kwa JK hali imezidi mno...
Mtoto wake anashiriki mambo ya hovyo kiasi cha kuyumbisha serikali Leo nimewasikia live wapambe wa kina maswi wakijitapa Maswi hawezi fanywa lolote labda riz asiwepo ndo nangoja niuone ujasiri Wa JK kukubali mgogoro na bunge kwaajili ya mwanae....
Bado tunatabiri PAP&SIMBA TRUST itaangusha CCM....