FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Nilisema sakata la escrow halijaisha ndio linaanza, hamkunielewa.
Nilisema ripoti ya Zitto ni hovyo na majungu matupu, hamkunielewa.
Nilisema, mwanasheria mahiri anazipangua hoja za Zitto zote ndani ya nusu saa, hamkunielewa.
Tuendelee na sakata la escrow.
Nilisema ripoti ya Zitto ni hovyo na majungu matupu, hamkunielewa.
Nilisema, mwanasheria mahiri anazipangua hoja za Zitto zote ndani ya nusu saa, hamkunielewa.
Tuendelee na sakata la escrow.