Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Sio jaji warioba.aliyesema hayo ni kada Wa ccm Wa muda mrefu bwn.warioba.haiwezekani hata siku moja jaji akurupuke kwa ushuzi Wa kisiasa kama ule.
 
Mzee Warioba hakuwa mwenyekiti wa tume ya maoni ya wananchama wa CCM kuhusu katiba, ila alikuwa ni mwenyekiti wa tume ya kitaifa, ila kumbuka jana mzee Warioba alisimama kama mwanachama wa CCM, jaribu kuangalia hiyo tofauti

Alikuwa kwaajili ya masilahi ya ccm na ndiyo maana anawapigia debe eti atushawishi sisi Malofa tuwachague.
Kama ni Katiba aliyeisigina ni Samia Suluhu, sasa tutapata katiba kweli.
 
....warioba makofi mawili tu kaomba poo bhahahhahhaaaaaaa....
 
Huyu mzee sio bure, kunakitu nyuma ya pazia. Tusubiri tutakuja kuona. Ila njaa mbaya sana!
 
....mleta uzi, kama hukumshangaa Lowassa kupokelewa CHADEMA huna sababu ya kumshangaa Warioba. Mkuki kwa Nguruwe...

Lowasa ana haki ya kuhamia chama chochote.
Inaonyesha Lowasa ana wachanganya sana kuliko kitu chochote.
Mtasema yote mpaka siku ya mwisho mtakuwa wapinzani.
 
Ukawa ni wapumbavu na malofa sumaye anawadharau kisha mnampkea sio kila kinachon'gaa ni dhahabu mengine mavi mtanyooka tu

Ukishindwa lazima utukane. Tumeshituka haturudi nyuma ccm out out out this year.
We need change if we haven get in ccm we shall get out side ccm.
Ni wakati wa mabadiliko
 
Ikumbukwe kuwa Jaji Warioba alikuwa akizunguka kutoa elimu ya uraia pamoja na kueleza wananchi jinsi maoni yao yalivyotupwa kwenye rasimu ya katiba jambo ambalo lilifanya atukanwe, adhihakiwe, adharauliwe na hata kudaiwa kupigwa.

Kilichonishangaza ni yeye kusimama jana na kupiga kampeni kwa wagombea, wakati kwanza chama hicho ndo kilihusika kusigina maoni ya wananchi, pili mmoja wa wagombea alikuwa makamu mwenyekiti bunge la katiba sasa Mh. Warioba ulikuwa unazunguka kufanya nini kwa wananchi ikiwa leo una wanadi waliosigina maoni ya wananchi?

Sikutegemea kwa kweli, sasa vipi ile rasimu ya wananchi ndo huitetei tena? Nimewaza kwa sauti wajamaeni.


Hao ni wana CCM wanaoamini mabadiliko ndani ya CCM na si lazima uwe Rais.
 
Hata mimi amenishangaza sana.Kwa kukipigia chapuo chama hiki ambacho kilimdhalilisha kupindukia,amejishushia sana hadhi kwa wananchi na kuonyesha kwamba hana msimamo. Ni vema angekaa pembeni akawa muangaliaji tu.Nani atamwamini tena.
Ikumbukwe kuwa Jaji Warioba alikuwa akizunguka kutoa elimu ya uraia pamoja na kueleza wananchi jinsi maoni yao yalivyotupwa kwenye rasimu ya katiba jambo ambalo lilifanya atukanwe, adhihakiwe, adharauliwe na hata kudaiwa kupigwa.

Kilichonishangaza ni yeye kusimama jana na kupiga kampeni kwa wagombea, wakati kwanza chama hicho ndo kilihusika kusigina maoni ya wananchi, pili mmoja wa wagombea alikuwa makamu mwenyekiti bunge la katiba sasa Mh. Warioba ulikuwa unazunguka kufanya nini kwa wananchi ikiwa leo una wanadi waliosigina maoni ya wananchi?

Sikutegemea kwa kweli, sasa vipi ile rasimu ya wananchi ndo huitetei tena? Nimewaza kwa sauti wajamaeni.

 
Inasikitisha kuona mtu mzima kupiga u turn kiasi hiki. Mungu jalia kizazi hiki kiwe cha msimo,tuondoshe unafiki wa walio tuzidi.
 
Inasikitisha kuona mtu mzima kupiga u turn kiasi hiki. Mungu jalia kizazi hiki kiwe cha msimo,tuondoshe unafiki wa walio tuzidi.

Warioba amepiga U turn katika kitu gani?

Kaikataa katiba aliyoiwakilisha?

Alijiunga na chama cha upinzani na sasa karudi CCM?

Kwa nini mnapenda ku assume assume sana?
 
Alikuwa kwaajili ya masilahi ya ccm na ndiyo maana anawapigia debe eti atushawishi sisi Malofa tuwachague.
Kama ni Katiba aliyeisigina ni Samia Suluhu, sasa tutapata katiba kweli.

wapi alikuwa kwa ajili ya maslahi ya CCM na wapi alikuwa kwa masilahi ya Taifa, kuwa mjumbe wa kamati ya katiba - isn"t a guarantee to become mwanaukawa.
kuwa mpenzi wa simba haikuzuii kuangalia ama kucheza Taifa stars
 
Sikiliza kuanzia dakika ya 3.00 anaungana na waliokata kazi yake/maoni ya wananchi ndani ya Katiba Pendekezwa aliyowasilisha kama Mwenyekiti wake.

Shukurani kwa kiweka video, kitu kinachomaliza ubishi.

Wapi kasema hivyo? Nimeangalia hapo dakika 3:00 sojaona hilo unalosema.

Mbona unataka kusikia ambalo halijasemwa na lililosemwa usisikie?

Warioba kasema msimamo wake ni ule ule, kwamba anataka katiba inayowakilisha maoni ya wananchi. Katiba ambayo itapitia mchakato wa bunge la katiba.

Kuna mambo ambayo ametaja kwamba hakubaliani na UKAWA. Amesema hayawakilishi maoni ya wananchi. Moja ya mambo haya ni "Muungano wa Mkataba".

Ninekuwa nikisema siku nyingi sana hapa kwamba wanaosema wanataka "Muungano wa Mkataba" , kina Jussa na CUF, wanasema hivyo tu kwa sababu hawawezi kusema "tuvunje muungano" moja kwa moja Tanzania. Kwa sababu kwanza hiyo ni treason. Uhaini.Ni kama kusema wazi kwamba unataka kuipindua serikali. Kwa hiyo kwa kuogopa sheria, wanatumia euphemism na code words kama "muungano wa mkataba".

Muungano wa mkataba gani wakati muungano ni mkataba tayari?

Nimefurahi sana kuona Jaji Warioba ana wa call out kwamba hawa wanaosema wanataka "muungano wa mkataba" hawana lolote zaidi ya kutaka kuuvunja muungano tu.

Mimi sijali sana kuhusu muungano, kama wanataka kuuvunja na wauvunjilie mbali. Lakini huu ulaghai wa kusema "tunataka muungano wa mkataba" ndio siutaki. Kama mtu anataka kuvunja muungano, auvunje tu.

Sasa Warioba katofautiana kimsingi kabisa na UKAWA katika mambo kama haya, bado unamtegemea aungane na UKAWA?

UKAWA this Frankenstein monster that was patched together for the mere greed of getting power?

CHADEMA nao walikuwa na kipaumbele cha kuuvunja muungano?

Warioba apigie kampeni kitu ambacho hakiamini?Kwa kisa gani?

Kwa sababu watu mmeshindwa kumsoma na kuona kwamba pale aliposimamia katiba ya kutokana na maoni ya wananchi, na kukosana na CCM, mkaona kwamba kasha jiunga na UKAWA?

Tatizo mna assume sana bila upembuzi kamili.
 
Mzee wetu angetulia nyumbani tungezidi kumueshimu zaidi hizi siasa amefanya miaka mingi angepumzika kwa matusi na dharau aliyofanyiwa kwenye binge la katiba,mzee kazingua kwelikweli
 
Mzee wetu angetulia nyumbani tungezidi kumueshimu zaidi hizi siasa amefanya miaka mingi angepumzika kwa matusi na dharau aliyofanyiwa kwenye binge la katiba,mzee kazingua kwelikweli

Sasa unataka kumnyima uhuru wake wa kikatiba?

Hutaki mtu mwenye mawazo tofauti na yako aeleze mawazo yake na kufanya kampeni za kisiasa kumuunga mkono mtu anayefikiri kwamba anafaa?

Ndiyo mabadiliko yenyewe mnayoyataka haya ya kufungana midomo?

Kwani ni lazima wewe umuheshimu kakwambia?
 
Shukurani kwa kiweka video, kitu kinachomaliza ubishi.

Wapi kasema hivyo? Nimeangalia hapo dakika 3:00 sojaona hilo unalosema.

Mbona unataka kusikia ambalo halijasemwa na lililosemwa usisikie?

Warioba kasema msimamo wake ni ule ule, kwamba anataka katiba inayowakilisha maoni ya wananchi. Katiba ambayo itapitia mchakato wa bunge la katiba.


Sasa Warioba katofautiana kimsingi kabisa na UKAWA katika mambo kama haya, bado unamtegemea aungane na UKAWA?

UKAWA this Frankenstein monster that was patched together for the mere greed of getting power?

CHADEMA nao walikuwa na kipaumbele cha kuuvunja muungano?

Warioba apigie kampeni kitu ambacho hakiamini?Kwa kisa gani?

Kwa sababu watu mmeshindwa kumsoma na kuona kwamba pale aliposimamia katiba ya kutokana na maoni ya wananchi, na kukosana na CCM, mkaona kwamba kasha jiunga na UKAWA?

Tatizo mna assume sana bila upembuzi kamili.


Bado na heshimu uwezo wako wa kuona mambo!

UKAWA imetokana na nini?
Nini alikuwa anapinga Warioba kilichofanywa na Chama chake dhidi ya Katiba Mpya na je kwa sasa hicho kimeisha?
Yaani Mchakato wa Katiba ya wananchi kupitia wale wale waliomkejeli na makumshika masharti?



Sidhani kama watu walitegemea aje UKAWA lakini kama mtu mzima na heshima zake alitakiwa kuendelea kulikemea kilichofanywa na Chama chake-lakini kala matapishi yake na huo ndio huru wa Demokrasia na Fikra.

Sijui hili unaliwaza kwa staili ya Mwanachama Mwaminifu wa CCM au anayefikiri kwa uhuru wake?
Kwani CCM siwamekaa miaka 50 magogoni sasa nguvu zote hizi za kung'ang'ania na kuendelea kutawala hamzioni na siyo Tamaa?

UKAWA this Frankenstein monster that was patched together for the mere greed of getting power?
 
Bado na heshimu uwezo wako wa kuona mambo!

UKAWA imetokana na nini?
Nini alikuwa anapinga Warioba kilichofanywa na Chama chake dhidi ya Katiba Mpya na je kwa sasa hicho kimeisha?
Yaani Mchakato wa Katiba ya wananchi kupitia wale wale waliomkejeli na makumshika masharti?




Sidhani kama watu walitegemea aje UKAWA lakini kama mtu mzima na heshima zake alitakiwa kuendelea kulikemea kilichofanywa na Chama chake-lakini kala matapishi yake na huo ndio huru wa Demokrasia na Fikra.

Sijui hili unaliwaza kwa staili ya Mwanachama Mwaminifu wa CCM au anayefikiri kwa uhuru wake?
Kwani CCM siwamekaa miaka 50 magogoni sasa nguvu zote hizi za kung'ang'ania na kuendelea kutawala hamzioni na siyo Tamaa?

Nimeeleza tofauti za Warioba na UKAWA hata pale Warioba alipokuwa anapingana na uongozi wa CCM.

Umeamua kutoziona tofauti hizo.

Unajuaje kwamba Warioba hakemei chama chake ndani ya vikao vyao? Unajuaje kwamba Warioba hatafuti influence ndani ya CCM kuubadilisha msimamo wa chama kihusu katiba kutoka ndani ya chama? Unajuaje matumaini ya mabadiliko haya ya uongozi katika irais na baadaye uenyekiti wa CCM yanavyomaanisha kwa saiti za watu kama kina Warioba kusikilizwa zaidi?

Mbona hujajibu kuhusu tofauti za msingi kabisa kati ya Warioba na UKAWA?

Kwa nini mnataka kumpangia mtu chama cha kukiunga mkono, na asipounga mkono kama mnavyofikiri nyinyi mnamuita kila jina?

Nimeuliza kama mnajua iraribwa mambo yote mazuri na mabaya alivyoyapima Warioba, kipaumbele chake na alivyopima kwa kulinganisha UKAWA na CCM, hujanipa jibu la swali hilo.

Kama hujanipa jibu la swali hilo, huna haki ya kimpangia Warioba aunge mkono chama gani.

UKAWA si wana Lowassa na Sumaye tayari, hao hawatoshi?
 
USISAHAU KUTIZAMA MATOKEO au kupiga KURA ya maoni ya watanzania inayoendelea hadi 24/10/2015 kuhusu nani awe Rais 2015 kwa kubonyeza hii linki hapa chini:
👇
www.mayocoo.com/vote
☝☝
Tafadhari watumie ujumbe huu Watanzania wengine wenye simu yoyote yenye INTERNET AU WHATSAPP AU GROUP bila kujali uko chama gani.👊
 
Back
Top Bottom