Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Nimeeleza togauti za Warioba na UKAWA hata pale Warioba alipokuwa anapingana na uongozi wa CCM.

Umeamua kutoziona tofauti hizo.

Unajuaje kwamba Warioba hakemei chama chake ndani ya vikao vyao? Unajuaje kwamba Warioba hatafuti influence ndani ya CCM kuubadilisha msimamo wa chama kihusu katiba kutoka ndani ya chama? Unajuaje matumaini ya mabadiliko haya ya uongozi katika irais na baadaye uenyekiti wa CCM yanavyomaanisha kwa saiti za watu kama kina Warioba kusikilizwa zaidi?

Mbona hujajibu kuhusu tofauti za msingi kabisa kati ya Warioba na UKAWA?

Kwa nini mnataka kumpangia mtu chama cha kukiunga mkono, na asipounga mkono kama mnavyofikiri nyinyi mnamuita kila jina?

Nimeuliza kama mnajua iraribwa mambo yote mazuri na mabaya alivyoyapima Warioba, kipaumbele chake na alivyopima kwa kulinganisha UKAWA na CCM, hujanipa jibu la swali hilo.

Kama hujanipa jibu la swali hilo, huna haki ya kimpangia Warioba aunge mkono chama gani.

UKAWA si wana Lowassa na Sumaye tayari, hao hawatoshi?

Wakati ule anapromoshewa Matusi vikao vya ndani vilikuwa vimepigwa mafuruku ndani ya CCM?

Je kwa maoni yako CCM watarudi nyuma na kuanza upya Mchakato wa Katiba mpya siyo?

Nimeweka wazi kuwa hakuna anayesema aje UKAWA muhimu azungumze wazi wazi kama alivyofanya awali kinyume na hapo ni suala la Masilahi Binafsi tu.

Kumbe unahofu kwanini uleta madai ya fulani na fulani wanatosha kwani kuna mwisho wa idadi ya Wanachama?


 
Wakati ule anapromoshewa Matusi vikao vya ndani vilikuwa vimepigwa mafuruku ndani ya CCM?

Je kwa maoni yako CCM watarudi nyuma na kuanza upya Mchakato wa Katiba mpya siyo?

Nimeweka wazi kuwa hakuna anayesema aje UKAWA muhimu azungumze wazi wazi kama alivyofanya awali kinyume na hapo ni suala la Masilahi Binafsi tu.

Kumbe unahofu kwanini uleta madai ya fulani na fulani wanatosha kwani kuna mwisho wa idadi ya Wanachama?



Alipoporomoshewa matusi yeye ndiye alijiporomoshea matusi?

Tunamjadili nani hapa? Warioba au waliomporomoshea matusi?

Unaniuliza maoni yangu kwani mimi ndiye niliyeenda kuipigia kampeni CCM?

Tunamjadili Kiranga au Warioba? Mbona unaacha kujadili maoni ya Warioba unarukia ya Kiranga?

Unasema azungumze wazi wazi kwani kazungumza kwa kificho? Kuna video hapo juu, kazungumza wazi wazi. Utasemaje azungumze wazi wazi wakati mtu kaweka msimamo wake wazi katika mkutano wa hadhara?

Uwazi gani zaidi unaoutaka wewe?

Nina hofu gani? Mimi wala hata sioni tofauti kubwa ya UKAWA na CCM. Hususan sasa UKAWA ilivyokubali makapi ya CCM na kuwa kimsingi CCM B. Wote naona matapeli. Sina chama wala walii wa ngama.

Hofu nitoe wapi?
 
Watu tukiwaita WAJINGA wanakasirika.
Kwangu mimi namuona MZEE WARIOBA ni MSALITI wa wananchi.
 
Watu tukiwaita WAJINGA wanakasirika.
Kwangu mimi namuona MZEE WARIOBA ni MSALITI wa wananchi.

Amesaliti kipi? Kivipi?

Umemsikiliza na kumuelewa?

Amesema nini?

Mtu akitofautiana na unachoamini wewe hilo tayari linamfanya kuwa msaliti?
 
Warioba kalambishwa rupia ndo basi tena hajielewi
 
Amesaliti kipi? Kivipi?

Umemsikiliza na kumuelewa?

Amesema nini?

Myu alitofautiana na unachoamini wewe hilo tayari linamfanya kuwa msaliti?

Nakusoma!nakusoma!Kaazi kweli kweli.
 
Alipoporomoshewa matusi yeye ndiye alijiporomoshea matusi?

Nina hofu gani? Mimi wala hata sioni tofauti kubwa ya UKAWA na CCM. Hususan sasa UKAWA ilivyokubali makapi ya CCM na kuwa kimsingi CCM B. Wote naona matapeli. Sina chama wala walii wa ngama.

Hofu nitoe wapi?

Maswali yako mengine bora kuyaweka pembeni hayana maana.
Hili la mwisho ndiyo umezungumza -Vipi na lile kapi lingine la zamani lilokuwa KATIBU Mkuu?


 
Maswali yako mengine bora kuyaweka pembeni hayana maana.
Hili la mwisho ndiyo umezungumza -Vipi na lile kapi lingine la zamani lilokuwa KATIBU Mkuu?



Kwa nini bora kuyaweka pembeni maswali yangu mengine? Kwa sababu huwezi kuyajibu?

Unafahamu kwamba kuongelea waliomtukana Warioba kutotumia vikao vya chama kama issue katika thread inayojadili integrity ya Warioba ni kuonyesha kukosa logic na kutoweza kufuatilia hoja?

Kapi gani lililokuwa Katibu Mkuu? Be clear. Clarity does not bite.
 
Kwa nini bora kuyaweka pembeni maswali yangu mengine? Kwa sababu huwezi kuyajibu?

Unafahamu kwamba kuongelea waliomtukana Warioba kutotumia vikao vya chama kama issue katika thread inayojadili integrity ya Warioba ni kuonyesha kukosa logic na kutoweza kufuatilia hoja?

Kapi gani lililokuwa Katibu Mkuu? Be clear. Clarity does not bite.

Naona unakosa au kupoteza kumbukumbu au kwa makusudi umeamua kupindisha mjadala.Kwa maana hii unamaanisha sasa wale waliokuwa wanamtukana sasa hawapo au anatafuta namna ya kuwaelewesha?

Onyofu wa Warioba uko wapi kwenye hili kama ameweza kupanda jukwani na kuwaunga Mkono CCM kwenye hoja ya Katiba Mpya huku akijua waliitupilia mbali Maoni ya Wananchi kwenye Katiba Mpya na kuipitisha hata kwa Kura ya wasiokuwapo ,kipi chenye mantiki ambalo unataka kutushawishi kuwa haina mahusiano na matusi ya wana CCM dhidi yake.

Nyekundu jibu unalo !

 
Naona unakosa au kupoteza kumbukumbu au kwa makusudi umeamua kupindisha mjadala.Kwa maana hii unamaanisha sasa wale waliokuwa wanamtukana sasa hawapo au anatafuta namna ya kuwaelewesha?

Onyofu wa Warioba uko wapi kwenye hili kama ameweza kupanda jukwani na kuwaunga Mkono CCM kwenye hoja ya Katiba Mpya huku akijua waliitupilia mbali Maoni ya Wananchi kwenye Katiba Mpya na kuipitisha hata kwa Kura ya wasiokuwapo ,kipi chenye mantiki ambalo unataka kutushawishi kuwa haina mahusiano na matusi ya wana CCM dhidi yake.

Nyekundu jibu unalo !



Kwa nini unafikiri ni muhimu kwa Warioba ku focus kwa wale waliomtukana ambao wanaondoka kwenye madaraka na wanaokuja bado hawajajulikana wala muelekeo wa chama chini ya Magufuli haujajulikana vizuri?

Wapi Warioba amewaunga mkono CCM kwenye katiba mpya?

Nimesema kuna video hapo juu ya alichoongea Warioba, hiki si kitu cha kuchukua nukuu za magazeti ambazo inawezekana zikawa zimekosewa, kuna video hapa. Ni wapi Warioba kawaunga mkono CCM kwenye katiba mpya katika kipengele ambacho yeye Warioba kabadilisha msimamo wake wa awali?

Naomba unipe kipengele hicho kwa maneno yake halisi na specific subject, sio kwenda jumla jumla tu kama ng'ombe wa mnadani.

Kwa nini mtu mwenye principles za ku focus kwenye ideas na kutofocus kwenye personalities a focus kwenye matusi dhidi yake wakati anaona ana nafasi ya kuwa na influence ya kushape the direction of an entire party kutoka asikoamini kinafaa kwenda anakoamini kunafaa? Hususan kama waliomtukana wanaondoka madarakani na anayekuja anamuhitaji?

Nyekundu jibu ninalo vipi wakati hujanieleza unamkusudia nani?
 
Kwa nini mtu mwenye principles za ku focus kwenye ideas na kutofocus kwenye personalities a focus kwenye matusi dhidi yake wakati anaona ana nafasi ya kuwa na influence ya kushape the direction of an entire party kutoka asikoamini kinafaa kwenda anakoamini kunafaa? Hususan kama waliomtukana wanaondoka madarakani na anayekuja anamuhitaji?

Mengine naya acha si kwamba sina jibu na ni hitimishe kwa kusema endelea kuwa na matumaini na Warioba na Chama chake kuleta mabadiliko -Chama kilichomshinda J.Kambarage Nyerere leo hii Warioba chini ya Magufuli ndiyo alete Mabadiliko?

 
Mengine naya acha si kwamba sina jibu na ni hitimishe kwa kusema endelea kuwa na matumaini na Warioba na Chama chake kuleta mabadiliko -Chama kilichomshinda J.Kambarage Nyerere leo hii Warioba chini ya Magufuli ndiyo alete Mabadiliko?


Tutajuaje kwamba unayaacha tu na huyaachi kwa sababu huna jibu?

Nani kakwambia nina matumaini na kiongozi yeyote wa siasa Tanzania, au chama chochote, sembuse Warioba?

Kwa nini unafikiri matumaini ni kitu muhimu hivyo kwangu?

Niishi kwa matumaini kwani mimi muathirika wa virusi vya UKIMWI?

Inaonekana hata argument yangu hujaielewa.

Siwezi kushangaa ukishindwa kumuelewa Warioba.
 
Amepata bahati ya mtende ili ajisafishe asiendelee kupigwa na kutukanwa na wanaccm waaliochukizwa na msimamo wake, na pia msimamo wa Walioba haukuwa wa UKAWA kuiondoa ccm madarakani.
Wanaccm pia hawakumwelewa walioba kwani hakuwa anawaunga mkono UKAWA bali alikuwa anapingana na bunge la katiba kubadili maonni ya wananchi na kuandaa yale ccm na wapande wake waliona yanawalinda kuendelea kukaa madarakani.
 
Tutajuaje kwamba unayaacha tu na huyaachi kwa sababu huna jibu?

Nani kakwambia nina matumaini na kiongozi yeyote wa siasa Tanzania, au chama chochote, sembuse Warioba?

Kwa nini unafikiri matumaini ni kitu muhimu hivyo kwangu?

Niishi kwa matumaini kwani mimi muathirika wa virusi vya UKIMWI?

Inaonekana hata argument yangu hujaielewa.

Siwezi kushangaa ukishindwa kumuelewa Warioba.

Hizo ndoto zako zina tofauti gani na Mgonjwa wa Ukimwi?
Unageuzi mamtazamo wako kuwa swali wakati muda wote ulikuwa ujadili na kuona Warioba yuko njia sahihi au unadhani njia sahihi sasa kwake ni pengine kudhani Magufuli anaweza kuibadili chama Chake?


 
Mzigo wa ESCROW ulikuwa mkubwa sana wakuu .. Warioba, Slaa, Lipumba wote wamemegewa kiasi wakaishia kukimbia vita vya kuing'oa CCM ... Uzuri MALOFA tumeamua ..
 
Hizo ndoto zako zina tofauti gani na Mgonjwa wa Ukimwi?
Unageuzi mamtazamo wako kuwa swali wakati muda wote ulikuwa ujadili na kuona Warioba yuko njia sahihi au unadhani njia sahihi sasa kwake ni pengine kudhani Magufuli anaweza kuibadili chama Chake?



Hiyo delusion yako iko worse kuliko UKIMWI.

Tatizo huwezi au hujataka kuelewa.

Nimemtetea Warioba kwamba yuko sahihi in so far as anatumia uhuru wake wa kikatiba kujihusisha na chama anachokitaka.

Nimemtetea Warioba in so far as being logically consistent.

Kumtetea hivyo hakuna maana kwamba mimi ninashiriki katika imani zake hizo specifically kuhusu uwezo wake kuibadili CCM kwa mfano. Sina habari kuhusu influence yake kama ajuavyo yeye. Kwa hiyo inawezekana yeye anajua habari hizo kuliko ninavyoziua mimi na hilo ndilo likasababisha mimi kutoshiriki imani hizo.

Licha ya mimi kutoshiriki imani zake hizo, nitamtetea Warioba kama mtu wa UKAWA akimuita msaliti au kigeugeu kwa sababu tu ya ujinga wa kutoelewa Warioba alisimamia nini in the first place.

Tatizo mnaendekeza ushabiki sana kiasi kwamba mtu yeyote anayei criticize CCM mnamuhesabu kama UKAWA, na mtu yeyote anayei criticize UKAWA mnamuhesabu CCM. Hamuwezi kuwa na sophistication kama aliyoionyesha Warioba ya kutofautiana na CCM katina baadhi ya mambo, kui criticize CCM katika mambo hayo, halafu kubaki kuwa CCM. Hiyo concept hamuwezi kuielewa.

Wengi wenu mmejaa jazba na tongotongo za fikra.
 
Hiyo delusion yako iko worse kuliko UKIMWI.

Licha ya mimi kutoshiriki imani zake hizo, nitamtetea Warioba kama mtu wa UKAWA akimuita msaliti au kigeugeu kwa sababu tu ya ujinga wa kutoelewa Warioba alisimamia nini in the first place.

Shida ndiyo inaanzia hapo-na naona ni marudio ya tuliyoyajadili !
Kama huamini kwenye ndoto zake na umeshindwa kutathimini hali na mwendao wa Chama chake unawezaje kutuita wengine wajinga?

Mimi siwezi kumuita Msaliti ila neno sahihi pengine mwanachama masilahi Binafsi!.Kwa maana hiyo uhalali wa kutusemea sisi wengine wa upande wapili kuhusiana na KATIBA MPYA kwake umeisha.


Tatizo mnaendekeza ushabiki sana kiasi kwamba mtu yeyote anayei criticize CCM mnamuhesabu kama UKAWA, na mtu yeyote anayei criticize UKAWA mnamuhesabu CCM. Hamuwezi kuwa na sophistication kama aliyoionyesha Warioba ya kutofautiana na CCM katina baadhi ya mambo, kui criticize CCM katika mambo hayo, halafu kubaki kuwa CCM. Hiyo concept hamuwezi kuielewa.

Wengi wenu mmejaa jazba na tongotongo za fikra.

Nyekundu ni haki yako ya mawazo.
Kubaki kwa Warioba ndani ya CCM na kutaraji sijui huo ulaini ni sawa na Mgonjwa wa Ukimwi na Dozi ya kurefusha Maisha.


 
Hiyo delusion yako iko worse kuliko UKIMWI.



Shida ndiyo inaanzia hapo-na naona ni marudio ya tuliyoyajadili !
Kama huamini kwenye ndoto zake na umeshindwa kutathimini hali na mwendao wa Chama chake unawezaje kutuita wengine wajinga?

Mimi siwezi kumuita Msaliti ila neno sahihi pengine mwanachama masilahi Binafsi!.Kwa maana hiyo uhalali wa kutusemea sisi wengine wa upande wapili kuhusiana na KATIBA MPYA kwake umeisha.




Nyekundu ni haki yako ya mawazo.
Kubaki kwa Warioba ndani ya CCM na kutaraji sijui huo ulaini ni sawa na Mgonjwa wa Ukimwi na Dozi ya kurefusha Maisha.



Kimsingi, huwezi kumnyima mtu haki yake ya kikatiba kukubali chama anachotaka.

Utabaki kuwa kama fisi anayetamani mkono wa mtu anayetembea udondoke aule kwa sababu tu unatingishika kadiri mtu anavyozidi kutembea.

UKAWA wamemfuata Warioba awe mgombea wao wa urais, kakataa kwa sababu zake.

Kubalini matokeo tu kwamba kakataa.

Kama Warioba ni mtu bogus kwa nini UKAWA walimfuata kumtaka awe mgombea wao wa urais?
 
Kimsingi, huwezi kimnyima mtu haki yake ya kikatiba kukubali chama anachotaka.

Utabaki kuwa kama fisi anayetamani mkono wa mtu anayetembea udondoke aule kwa sababu tu unatingishika kadiri mtu anavyozidi kutembea.

UKAWA wamemfuata Warioba awe mgombea wao wa urais, kakataa kwa sababu zake.

Kubalini matokeo tu kwamba kakataa.

Kama Warioba ni mtu bogus kwa nini UKAWA walimfuata kumtaka awe mgombea wao wa urais?

Usipindishe na kutengeneza maneno na kuwalisha watu hapo kwenye nyekundu!
Unaona mihemko ya siasa hiyo.Mtu anayejiheshimu anagebaki na heshima yake yakufuatwa kama mtanzania ,lakini kwa umri ule kuja jukwaani na kuleta mipasho ni kujishusha heshima.

Muhimu wewe na wa aina ya Warioba ni haki yenu kuamini CCM itabadilika lakini msiwe na chuki kwa pande hii nyingine yenye kuwa rushia madongo!
 
Usipindishe na kutengeneza maneno na kuwalisha watu hapo kwenye nyekundu!
Unaona mihemko ya siasa hiyo.Mtu anayejiheshimu anagebaki na heshima yake yakufuatwa kama mtanzania ,lakini kwa umri ule kuja jukwaani na kuleta mipasho ni kujishusha heshima.

Muhimu wewe na wa aina ya Warioba ni haki yenu kuamini CCM itabadilika lakini msiwe na chuki kwa pande hii nyingine yenye kuwa rushia madongo!

Nani ana chuki? Unaweza kuthibitisha hiyo chuki?

Mtu kujiheshimu maana yake aogope kupigia kampeni chama anachokiamini?

Wapi nimesema naamini CCM itabadilika?

Haya mambo unayatoa wapi? Kati yangu ninayeandika kitu kilicho documented kwenye ushahidi wa video na wewe unayetunga vitu ambavyo havina source, nani ana mihemko?
 
Back
Top Bottom