Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,415
- 12,622
Tutashangaa sana mwaka huu!
Mwisho wa siku tutakuja kujua kwamba wanasiasa asilimia kubwa wako kimaslahi!
Leo UKAWA wanawakaribisha watu waliosababisha wao watoke Bungeni, tena kugombeaa urais!
Jaji Warioba, Mzee Butiku, Polepole na wanaitetea CCM kama siyo iliyowatukana kwenye Bunge La Katiba!
Mwisho wa siku tutakuja kujua kwamba wanasiasa asilimia kubwa wako kimaslahi!
Leo UKAWA wanawakaribisha watu waliosababisha wao watoke Bungeni, tena kugombeaa urais!
Jaji Warioba, Mzee Butiku, Polepole na wanaitetea CCM kama siyo iliyowatukana kwenye Bunge La Katiba!