Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Jaji Sinde Warioba kanishangaza

ccm ni ile ile .................................tukitaka kujikomboa sisi wapumbavu,malofa....ueni ccm basi....kama wakenya walivyofanya
 
Wallah walioba ni miongoni mwa Wa tz wasaliti.nashangaa nanazid kushangaa hili taiga Mzee kamahuyu nae!!!

Hahahaha Sasa Ulitaka Ahamie Kwenu Ndo Mumwone Sio Msaliti?Poleni Sana Wasaliti Ndo Hao Waliokuja Kwenu Wakina Sumaye,wala Matapishi Wakubwa Nyie...
 
Watu humu ndan wapumbavu sana kwahyo mlitaka aiponde ccm na kuisifia ukawa na makapi yenu?
Najua angefanya hivyo ndio mngekenua meno yote
 
Haya yote yanatukia kusudi tuamshwe kutoka usingizini hasa sisi tunaotenda dhambi ya kumwamini binadamu mwenzetu.
Imeandikwa katika biblia "na alaaniwe amuaminie binadamu mwenzake"

mtakumbuka Samwel Sitta alivyopambana alipokuwa Spika wa Bunge, ile ilikuwa chuki yake dhidi ya watu fulani alipohakikisha amefanikisha Bunge la Katiba alikitumikia chama.

Jaji Warioba vilevile kuna watu aliwachukia lakini baada ya kuona kuondoka kwa CCM ni hasara amerejea kutetea maslahi yake.

Tushirikiane nao kipindi wanatimiza matakwa yetu na tujitenge nao wanavyoenda kinyume, tusiwaamini 100%
 
Ni vzr watu mkijadiliana kwa hoja...hata kuwaita watu wapumbavu c sawa mana hao pia ni watz...kwa maana nyngn hata wa ccm n wapumbavu kuendelea kuipa nafs ccm wakt hkn kilichofanya.. ukimtukana baba yng kisa yupo ukawa umenitukana n mm pia ambaye nipo ccm...kweli ukitaka kujua tabia ya mtu akikasirika...ila mtu anaweza kusoma ktk biblia inasemaje Daniel 5:25
 
Alicho fanya mzee warioba nisahihi kwakuwa hakuna chama cha upinzani ndio maana amepanda ktk jukwa la ccm A kama alivyo sema mzee mwinyi.
Laiti wapinzani wasinge uza vyama vyao kwa maccm B mzee warioba asingeweza kufanya alivyo fanya.
 
Njema kabisa
Hapo ndo utaona watanzania tuko tofauti duniani yule ni mwanasheria yuko vile je sie darasa hakuna tuko vipi ila huo ndo mfumo tuliojengewa watanzania ndo mana kenyatta alimwambia nyerere kuwa unaongoza maiti tanzania

Binafsi nimeona sana uchungu na nchi yang hii inafika mahali unataman kuwa na roho flan hv dah
 
Nimepata jibu kelele za Humphrey Polepole hawa ndo waliokuwa wanamtuma!

Kabisa mkuu nilimsikiliza butiku ile siku nikagundua hakuna cha kigoda wala stuli au meza ya mwalim pale poroja tu
 
Inataka moyo kumuunga mkono Lowassa. Hebu angalia wanaomuunga mkono .... Mpaka Sumaye!
Msitegemee mtu kama Warioba amuunge mkono Lowassa, sipati picha.
 
Njaa sio mzaha Mzee warioba hata wewe unasimama kuipigia kampeni ccm iliyokufungia ofisi ikakunyang' anya gari ukiwa Dodoma haya bwana Na wananchi uliokuwa unawambia ccm imepuuza maoni yao Leo utawambia nini? Watanzania tumeamini kuwa wewe warioba, Butiku Na Polepole njaa inawasumbua
 
Huyu Huyu Mzee Warioba Ndiye Alipigwa Na MaCCM Wenzake Kwa Sababu ya Kushaabikia rasimu yake ya Katiba. Leo Ni

Kimbembele wa Kuishaabikia CCM. Kweli CCM Ni Ile Ile..Do Hata Dr. Magufuli Hawezi Lolote Kwa MiCCM.

Tatizo ukawa hakuna MTU mmejichanganya wenyewe
 
Ikumbukwe kuwa Jaji Warioba alikuwa akizunguka kutoa elimu ya uraia pamoja na kueleza wananchi jinsi maoni yao yalivyotupwa kwenye rasimu ya katiba jambo ambalo lilifanya atukanwe, adhihakiwe, adharauliwe na hata kudaiwa kupigwa.

Kilichonishangaza ni yeye kusimama jana na kupiga kampeni kwa wagombea, wakati kwanza chama hicho ndo kilihusika kusigina maoni ya wananchi, pili mmoja wa wagombea alikuwa makamu mwenyekiti bunge la katiba sasa Mh. Warioba ulikuwa unazunguka kufanya nini kwa wananchi ikiwa leo una wanadi waliosigina maoni ya wananchi?

Sikutegemea kwa kweli, sasa vipi ile rasimu ya wananchi ndo huitetei tena? Nimewaza kwa sauti wajamaeni.
ulichosema ni kweli hata wakati anapigwa na makonda rais alitamka kule mwanza akiwa gold crest kwamba wazee wengine wanajitakia kupigwa. na kule bungeni hata wale wa darasa la saba B walimtukana
 
Mzee Warioba hakuwa mwenyekiti wa tume ya maoni ya wananchama wa CCM kuhusu katiba, ila alikuwa ni mwenyekiti wa tume ya kitaifa, ila kumbuka jana mzee Warioba alisimama kama mwanachama wa CCM, jaribu kuangalia hiyo tofauti
Ikumbukwe kuwa Jaji Warioba alikuwa akizunguka kutoa elimu ya uraia pamoja na kueleza wananchi jinsi maoni yao yalivyotupwa kwenye rasimu ya katiba jambo ambalo lilifanya atukanwe, adhihakiwe, adharauliwe na hata kudaiwa kupigwa.

Kilichonishangaza ni yeye kusimama jana na kupiga kampeni kwa wagombea, wakati kwanza chama hicho ndo kilihusika kusigina maoni ya wananchi, pili mmoja wa wagombea alikuwa makamu mwenyekiti bunge la katiba sasa Mh. Warioba ulikuwa unazunguka kufanya nini kwa wananchi ikiwa leo una wanadi waliosigina maoni ya wananchi?

Sikutegemea kwa kweli, sasa vipi ile rasimu ya wananchi ndo huitetei tena? Nimewaza kwa sauti wajamaeni.
 
Back
Top Bottom