Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Jaji Sinde Warioba kanishangaza

Warioba kama angekuwa na motivation ya kufaidika binafsi, angegombea urais kwa tiketi ya UKAWA na watu tungempigia kuta kwa wingi bila matatizo wala maswali anayoyapata Lowassa sasa ambaye wengine hatuna imani naye.

Sio kila mtu ni president material.

Kuna wanaofaidia na serikali wakiwa nje ya urais.

Warioba mmoja wao.
 
Warioba kama angekuwa na motivation ya kufaidika binafsi, angegombea urais kwa tiketi ya UKAWA na watu tungempigia kuta kwa wingi bila matatizo wala maswali anayoyapata Lowassa sasa ambaye wengine hatuna imani naye.

Kwa mazingira ya sasa, hata kama huyo Warioba angekuwa ndo mpeperusha bendera wa UKAWA, kwa namna yoyote ile, asingetangazwa kuwa ndiye mshindi wa urais na mwenyekiti wa tume isiyo huru ya uchaguzi ambayo imeundwa na mwenyekiti wa CCM.
 
Kwa mazingira ya sasa, hata kama huyo Warioba angekuwa ndo mpeperusha bendera wa UKAWA, kwa namna yoyote ile, asingetangazwa kuwa ndiye mshindi wa urais na mwenyekiti wa tume isiyo huru ya uchaguzi ambayo imeundwa na mwenyekiti wa CCM.

Regardless, kama mtu wa kuongoza movement mimi ningemkubali zaidi ya Lowassa ambaye ana kashfa kubwa sana za ufisadi.

Plus, nasikia Jaji Lubuva is a bit more than CCM bargained for.

Kwa mfano anataka matokeo yachapishwe vituoni, less room for uchakachuaji.
 
Good loooking out son.

Kuna mambo fulani kayasema Ulimwengu nilikuwa nayasema all along humu. Labda kwa kuwa kayasema Ulimwengu sasa watu wanaweza kukubali zaidi.

Warioba is a bonafide old school gentleman.

Ndiyo maana mimi nasikitika sana nikiona watu wanamkosea heshima hiyu mzee kwa sababu tu kaamua kubaki CCM.

..nilitegemea Mzee Warioba angekwenda ACT-Wazalendo, au at least kuwapa baraka zake kwa kulifufua Azimio la Arusha.
 
Ndio maana tunasema usimuamini MWACCM yoyote kwa sasa hata akiwa NYERERERE
 
wallah walioba ni miongoni mwa wa tz wasaliti.nashangaa nanazid kushangaa hili taiga mzee kamahuyu nae!!!
mzee warioba kautangazia umma ni nani waliokuwa na sauti ya kushinikiza rasimu ichakachuliwe na ushahidi wa sauti na maandishi wanao- watu hao ndio wamekuwa vinara wa kupeperusha bendera ya ukawa-bado mnam-beza na kumdhihaki kama alivyobezwa na kudhihakiwa mwanzo. Yeye kabaki na msimamo wake na nyie endeleeni na ushabiki wenu, dr. Slaa kwa kuthamini dhamiri yake na kuusimamia ukweli kawaachia chama na profesa baada ya kusutwa na dhamiri yake na kuiona kweli kawaachieni jukwaa, tushindane kwa hoja na kuheshimu uhuru wa maoni na maamuzi hata kama hayatufurahishi
 
Ndio maana tunasema usimuamini MWACCM yoyote kwa sasa hata akiwa NYERERERE

mimi sina chama ila kwa viwango vidogo vya kufikiri vya wafuasi wa ukawa bora tuendelee na CCM. Nasikia kuna unabii kuwa Lowassa ndiye raisi ajaye. Mimi nakuhakikishia Mungu wa kweli hayuko upande wa Lowassa. Mungu yuko upande wa Mafufuli. Mungu siku zote chaguo lake linatizamwa kama dhaifu mwisho wa siku linathibitika. Mungu ambaye mwenye tuhuma za ufisadi akishatubu mbele ya Mbowe na Mbowe anamsamehe badala ya kutubu kwa watanzania wote ndipo arudi kutubi kwa Mungu porojo hizo nimezisikia kwa mbowe. Mungu haangalii sura wala fedha aliyonayo mgombea. Mungu akitaka jambo lake linakuwa bila kujali uko Ukawa au Ccm. msimu wa mabadiliko umefika lazima yafanywe na mgombea sahihi.
 
Regardless, kama mtu wa kuongoza movement mimi ningemkubali zaidi ya Lowassa ambaye ana kashfa kubwa sana za ufisadi.

Plus, nasikia Jaji Lubuva is a bit more than CCM bargained for.

Kwa mfano anataka matokeo yachapishwe vituoni, less room for uchakachuaji.

Awe hivyo unavyosikia au la, suala la mwenyekiti wa CCM kuteua tume ya taifa ya uchaguzi ni kichekesho kinachoidhihaki dhana nzima ya demokrasia!

Kwangu mimi tume nzima (or at least ile top brass) kuchaguliwa/ kuteuliwa na rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM tayari kunajenga mazingira ya uchakachuzi.

Kumbuka, matokeo ya urais hayana recourse ingine yoyote ile endapo mtu hatakubalia nayo.

Majuzi tu hapa mwenyekiti wa CCM kateua makamishna wapya kwa nini?

Yaani zimebaki sijui siku 40 au 30 na kitu mtu anateua tu makamishna wapya na kuwaapisha na hakuna ambalo tunaweza kufanya!

CCM itaendelea kutawala nchi hi milele kwa mtaji huu.
 
Awe hivyo unavyosikia au la, suala la mwenyekiti wa CCM kuteua tume ya taifa ya uchaguzi ni kichekesho kinachoidhihaki dhana nzima ya demokrasia!

Kwangu mimi tume nzima (or at least ile top brass) kuchaguliwa/ kuteuliwa na rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM tayari kunajenga mazingira ya uchakachuzi.

Kumbuka, matokeo ya urais hayana recourse ingine yoyote ile endapo mtu hatakubalia nayo.

Majuzi tu hapa mwenyekiti wa CCM kateua makamishna wapya kwa nini?

Yaani zimebaki sijui siku 40 au 30 na kitu mtu anateua tu makamishna wapya na kuwaapisha na hakuna ambalo tunaweza kufanya!

CCM itaendelea kutawala nchi hi milele kwa mtaji huu.

Mi nashangaa kuna watu wanafikiri Lowassa atashinda.
 
Mi nashangaa kuna watu wanafikiri Lowassa atashinda.

CCM hata wangemteua yule Amina Salum Ali, Mwigulu Nchemba au hata huyo huyo Lowassa, wangeshinda tu.

Kwa sasa hakuna anayeweza kushinda urais nje ya CCM hususan ukizingatia mazingira yaliyopo.

Na hapo simaanishi kwamba CCM huwa wanashinda kihalali na/ au wapinzani huwa wanashindwa kihalali.

Mazingira ya sasa hayaruhusu chaguzi zilizo za huru, haki, na wazi.
 
CCM hata wangemteua yule Amina Salum Ali, Mwigulu Nchemba au hata huyo huyo Lowassa, wangeshinda tu.

Kwa sasa hakuna anayeweza kushinda urais nje ya CCM hususan ukizingatia mazingira yaliyopo.

Na hapo simaanishi kwamba CCM huwa wanashinda kihalali na/ au wapinzani huwa wanashindwa kihalali.

Mazingira ya sasa hayaruhusu chaguzi zilizo za huru, haki, na wazi.

Mimi nikiwaambia hawa wapinzani kwamba kabla ya yote wangehakikisha tuna tume huru ya uchaguzi.

Ama sivyo kila mwaka wa uchaguzi wataishia kulalamika kuibiwa kura.

UKAWA played into CCMs hands when they boycotted bunge la katiba. Pale ndio palikuwa pa kukomalia mambo kama haya.

Waswahili wanasema hasira za mkizi, furaha ya mvuvi.
 
Mimi nikiwaambia hawa wapinzani kwamba kabla ya yote wangehakikisha tuna tume huru ya uchaguzi.

Ama sivyo kila mwaka wa uchaguzi wataishia kulalamika kuibiwa kura.

UKAWA played into CCMs hands when they boycotted bunge la katiba. Pale ndio palikuwa pa kukomalia mambo kama haya.

Waswahili wanasema hasira za mkizi, furaha ya mvuvi.

Ni kweli Tanzania upinzani bado una safari ndefu na ishtoshe upinzani wenyewe umekuwa hauna ajenda ya kudumu,wamekuwa watu wa matukio tu na wafanyabiashara ya siasa.Hawana misimamo na wanaopenda "short-cuts" .Kama tutaendelea kuwa na aina ya wapinzani kama kina Mbowe,CCM itatawala miaka 500!
 
Ikumbukwe kuwa Jaji Warioba alikuwa akizunguka kutoa elimu ya uraia pamoja na kueleza wananchi jinsi maoni yao yalivyotupwa kwenye rasimu ya katiba jambo ambalo lilifanya atukanwe, adhihakiwe, adharauliwe na hata kudaiwa kupigwa.

Kilichonishangaza ni yeye kusimama jana na kupiga kampeni kwa wagombea, wakati kwanza chama hicho ndo kilihusika kusigina maoni ya wananchi, pili mmoja wa wagombea alikuwa makamu mwenyekiti bunge la katiba sasa Mh. Warioba ulikuwa unazunguka kufanya nini kwa wananchi ikiwa leo una wanadi waliosigina maoni ya wananchi?

Sikutegemea kwa kweli, sasa vipi ile rasimu ya wananchi ndo huitetei tena? Nimewaza kwa sauti wajamaeni.


Matokeo yakitangazwa October utashangaa zaidi na zaidi.
 
Ni kweli Tanzania upinzani bado una safari ndefu na ishtoshe upinzani wenyewe umekuwa hauna ajenda ya kudumu,wamekuwa watu wa matukio tu na wafanyabiashara ya siasa.Hawana misimamo na wanaopenda "short-cuts" .Kama tutaendelea kuwa na aina ya wapinzani kama kina Mbowe,CCM itatawala miaka 500!

Unapotaja utawala wa miaka 500 unanikumbusha Mreno aliwahi kusema atatawala Msumbiji kwa miaka 500 pia, akaondolewa si muda mrefu sana baada ya kusema hivyo.

Upinzani unaweza usichukue madaraka uchaguzi huu, lakini una nafasi inayozidi kuongezeka, if only due to the illusion afforded by the curse of incumbency.
 
Ni kweli Tanzania upinzani bado una safari ndefu na ishtoshe upinzani wenyewe umekuwa hauna ajenda ya kudumu,wamekuwa watu wa matukio tu na wafanyabiashara ya siasa.Hawana misimamo na wanaopenda "short-cuts" .Kama tutaendelea kuwa na aina ya wapinzani kama kina Mbowe,CCM itatawala miaka 500!

Mimi nionavyo, tatizo kubwa si wapinzani (ingawa nao wana kasoro zao lakini hata CCM wanazo, tena nyingi tu).

Tatizo kubwa ni kuingia katika mpambano na mtu ambaye mazingira ambayo mtapambania yanampendelea yeye zaidi kuliko wewe.

Sasa bila kuyarekebisha hayo mazingira ili yasiweze kupendelea upande mmoja zaidi basi sioni kwa nini haitatawala kwa miaka hata 1000 ijayo.

Watu wanapenda kutoa hoja ya kwamba mbona Kaunda aliangushwa na Chiluba au mbona sijui KANU ilishindwa.

Kwangu hiyo ni sawa na kuilalia bahati ya mwenzio mlango wazi.

kutegemea tegemea bahati bila kufanya mambo ni ujinga mtupu.

CCM itaendelea kutawala kwa muda mrefu sana endapo suala la tume huru ya uchaguzi halitapatiwa ufumbuzi wa kudumu.
 
Yeye na Polepole walewale tu. Mtu unashindwa kusimamia mabadiliko uliyoyataka kwa mbwembwe! Ni wachumia tumbo hatari kabisa kwa usalama wa nchi.

Mkuu mbona sikuelewi, tufafanulia kidogo tafadhali - wewe ulitaka Mh.Warioba afanye nini cha ziada baada ya kukabidhi rasimu ya katiba kwa aliye mtuma?
 
mtoto wake atapewa viti maalumu ni ahadi ... kazi zimekuwa issue now days

Hata wazanzibari walikuwa wakilalamika wenzeo wa CCM huwa wanapewa nini wakifika dodoma maana wakitoka kwao Lao huwa moja wakifika dodoma wanabadilika
 
Mkuu mbona sikuelewi, tufafanulia kidogo tafadhali - wewe ulitaka Mh.Warioba afanye nini cha ziada baada ya kukabidhi rasimu ya katiba kwa aliye mtuma?


Akili yako nyembamba haijajua methali.
 
Back
Top Bottom