Jaji Mutungi: Mkutano wa leo Sio mkutano wa Rais na Vyama vya Siasa ni mkutano wa Wadau wa Siasa, Rais anakuja kuufungua tu.

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,272
Baada ya Chadema kuususia na kuonyesha msimamo Msajili kabadili gia angani, kwa hiyo Chadema walikuwa sahihi kwa vile wao waliandika barua ya kuonana na kuzungumza na Rais sio kuhutubiwa na rais.
======================

“Mkutano wa kesho ulioitishwa na Baraza la vyama vya siasa sio mkutano wa Rais na vyama vya siasa, naomba ieleweke hivi mkutano wa Rais na vyama vya siasa utaitishwa muda ukifika, huu ni mkutano wa wadau wa siasa, tumemuomba @SuluhuSamia aje kufungua tu" Jaji Mtungi, Msajili wa vyama.
===================
 
Huu ni ujinga mtupu. Tija ya huu mkutano ni nini? Wadau wa siasa ni watu gani?

Hii inadhihirisha ile report ya TWAWEZA:

CCM inaungwa mkono na watu wajinga, CHADEMA inaungwa mkono zaidi na watu wenye uelewa. CCM kwa sababu imejaa wajinga, waliona wamepanga mbinu ya akili sana ili kuwapata CHADEMA, lakini kwa sababu mbinu ya mjinga ni rahisi kutambulika na mwenye akili, CHADEMA waligundua mapema dhamira ya kusanyiko hilo.

CCM wamebakia bila namna nyingine yoyote, zaidi ya kuueleza umma ukweli kuwa mkutano huo hauna chochote kwa vyama vya siasa zaidi ya kupiga picha na Rais.
 
Huu ni ujinga mtupu. Tija ya huu mkutano ni nini? Wadau wa siasa ni watu gani?

Hii inadhihirisha ile report ya TWAWEZA:

CCM inaungwa mkono na watu wajinga, CHADEMA inaungwa mkono zaidi na watu wenye uelewa. CCM kwa sababu imejaa wajinga, waliona wamepanga mbinu ya akili sana ili kuwapata CHADEMA, lakini kwa sababu mbinu ya mjinga ni rahisi kutambulika na mwenye akili, CHADEMA waligundua mapema dhamira ya kusanyiko hilo.

CCM wamebakia bila namna nyingine yoyote, zaidi ya kuueleza umma ukweli kuwa mkutano huo hauna chochote kwa vyama vya siasa zaidi ya kupiga picha na Rais.
Wadau wa siasa siyo vyama vya siasa peke yake. Wanazungusha maneno kuficha aibu .....!!

Waliaanza na mkutano wa vyama na Masajilli uwakashindwa. Wakaja na ule wa vyama, Msajili na polisi ukanshindikana. Wakajaribu kumchomeka Waziri Mkuu wakashindwa ..... sasa wamemchomekea Rais ...... Rais akiendelea kufuatilia hawa washauri wake basi mwelekeo waki wa kisiasa hautakuwa mzuri .... !!
 
IMG_4687.jpg
 
Baada ya Chadema kuususia na kuonyesha msimamo Msajili kabadili gia angani, kwa hiyo Chadema walikuwa sahihi kwa vile wao waliandika barua ya kuonana na kuzungumza na Rais sio kuhutubiwa na rais.
======================

“Mkutano wa kesho ulioitishwa na Baraza la vyama vya siasa sio mkutano wa Rais na vyama vya siasa, naomba ieleweke hivi mkutano wa Rais na vyama vya siasa utaitishwa muda ukifika, huu ni mkutano wa wadau wa siasa, tumemuomba @SuluhuSamia aje kufungua tu" Jaji Mtungi, Msajili wa vyama.
===================
Msajili wa mchongo, akae na kina Cheyo wanamtosha
 
Back
Top Bottom