JAJI MKUU atua Arusha kwa Lema

Mkuu Mungi usiogope CCM watafurahi wenyewe na hukumu itavyotoka!!!! Ni imani yangu majaji hao hawawezi kuchezea kitumbua chooni waonekane hawafai kwa sababu ya upofu wa rangi ya kijani!!!
 
ili kumkomoa lowassa kwa kuipinga kilimo kwanza,batilda hana chake hii kesi
 
Kuna taarifa kuwa kesi imeahirishwa ila itapangwa kwenye session hii ya mwezi wa tisa mwenye tarehe kamili atuwekee hapa
 
Mhe.Jaji Kimario alikuwa mmoja wa majaji watatu walioamua rufaa yangu pia. Hili ni jopo lisiloyumbishwa. Huwa linapenda kufanya kazi kwa standard ya kuweka Case study nzuri kwa ajili ya mifano siku zijazo.. Nawaamini.
Mkuu,
utakubaliana nami kuwa kamanda Lisu ametusaidia sana maana wangepanga majaji wa hovyo ila kwa kujua uzito wa hukumu naona wameamua kukaa vichwa wote! tusubiri tuone haki ikitendeka!
 
kuna maneno chinichini hapa Arusha kuwa hii kesi ya lema imeshaamriwa na mkulu manyota,hukumu yake iko tayari kuwa lema si mbunge wa Arusha na tutaenda kwa uchaguzi.kama kuna mtu anataarifa atushirikishe
 
Tunachoomba watumie weledi wao kutoa uamuzi wasisukumwe na matakwa ya watu
 
Heri ya Lema nimwehu kuliko wewe mfuu maana mfuu alie kitu ataufanya, je, wewe mfuu kaa na wafuu wenzio
 
Mkuu,
utakubaliana nami kuwa kamanda Lisu ametusaidia sana maana wangepanga majaji wa hovyo ila kwa kujua uzito wa hukumu naona wameamua kukaa vichwa wote! tusubiri tuone haki ikitendeka!

Mhe.Lissu anatumiwa sana na Mungu ama kwa kujua au kwa kutokujua. Hotuba yake imesaidia sana kutuondolea yule Jamaa (Sitaki kumuita Jaji Kilaza)
 
Lema anasumbua mahakama tu, hana tofauti na kuku aliyechinjwa na kuachwa kutapatapa.
 
Massati ni jaji makini vibaya sana...we subiri utasikia nini kitaamuliwa ....i have a lot of trust on massati kuliko Chande.

majaji wote nawakubali. hata kama kamanda lisu ripoti yake imei-shake judiciary, bado hawa majaji wako bold toka zamani.

halafu nataka kuwaasa hawa majaji. jk hawezi kuwaondoa kibwegebwege. mpaka muondolewe ktk nafasi zenu lzm majaji wengine kutoka nchi jirani(naongea km layman ili nieleweke, ila wanasheria wamenielewa) wawepo ktk jopo la kumvua mtu ujaji. tekelezeni wajibu wenu kama wenzetu wa nchi nyingine wafanyavyo. mtakuwa na heshima kubwa sana kama mkisimamia misingi ya sheria vizuri hata nchi nyingine waifanye tz kama precedence.
 
Mkuu Deus F Mallya heshima sana.

Umezungumza maneno mazito sana pengine wanajamvi wenzangu wanaweza wasielewe uzito wa sentensi yenye mistari isiyozidi miwili.Sijui kama wanajamvi mnafahamu hukumu ya Lema haikuwa na precedent [Stare decisis].


Mhe.Jaji Kimario alikuwa mmoja wa majaji watatu walioamua rufaa yangu pia. Hili ni jopo lisiloyumbishwa. Huwa linapenda kufanya kazi kwa standard ya kuweka Case study nzuri kwa ajili ya mifano siku zijazo.. Nawaamini.
 
Last edited by a moderator:
Kama JK ndio kawatuma hao majaji tuhesabu maumivu tu... uzuri ni kwamba arusha ni yetu no matter what
 
Vipi kuhusu Tundu Lisu kufiwa na baba yake? Ataweza kweli kuwepo kwenye shauri hiyo siku?

Next to Impossible, tarehe 20 mwili wa baba yake ndio unaagwa Tegeta Dar kuelekea Singida na kuzika ni Jumamosi, kama Rufaa itasikilizwa mfulululizo Lisu ni wa kumtegemea kuanzia Jumatatu. ila Wanasheria wenyewe wanajuwa namna ya kuendesha mambo yao. Lisu he know how to handle those matters.

Swali zuri toka kwa calculator, jawabu sahihi toka kwa Matola, Mtiririko mzuri namna hii unaipandisha chati jf.
 
Last edited by a moderator:
sasa we na yeye nani mwehu?
Amani ya Arusha itarudi Jembe letu litakaporejeshwa bungeni!



sana sana arusha, watu wa arusha ni wa kuhurumia sana, shughuli za kiuchumi arusha zimepungua mno kiasi cha kwamba mji ukifika saa 10 jioni ni mweupeee hauna watu tofauti na zamani. Watu wa arusha wameathirika sana sana na vurugu za lema za kisiasa.
 

sana sana arusha, watu wa arusha ni wa kuhurumia sana, shughuli za kiuchumi arusha zimepungua mno kiasi cha kwamba mji ukifika saa 10 jioni ni mweupeee hauna watu tofauti na zamani. Watu wa arusha wameathirika sana sana na vurugu za lema za kisiasa.

Akili yako imeshaliwa na mchwa,
 
Back
Top Bottom