Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,589
Kwahiyo wewe unayempenda JK ni bwana wako siyo!!Ampende kwani ni demu wake, we acha hizo.
Kwahiyo wewe unayempenda JK ni bwana wako siyo!!Ampende kwani ni demu wake, we acha hizo.
Ipi unaiita kadhia? Vp umewasiliana na Uswisi?
Jaji kachaguliwa na Rais na huyo Rais katokea Chama Cha Majangiri a.k.a CCM, na huyo aliekata rufaa ni mpinzani...Je! haki itapatikanwa hapo?......mna Bosi wa jaji ni Kikwete sasa atatetea Chama Cha Majangiri au atafanya vile haki inavyotakiwa??? ukweli hapa Tanzania hakuna haki kwa mpinzani wala masikini.....CCM OYeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kuna taarifa kuwa kesi imeahirishwa ila itapangwa kwenye session hii ya mwezi wa tisa mwenye tarehe kamili atuwekee hapa
Arusha ilikuwa shwari baada ya huyu mwehu kupigwa chini,sala zetu zote ni kuhakikisha hoja zake zote zinatupiliwa mbali ili amani ya bwana iendelee kudumu.. Ameeeeeeeeen!!!
Mkuu wangu Ngongo,
Nimekusoma kwa miwani ya 3D nakubaliana na wewe Chadema wakijipanga vizuri kwenye jopo lao la wanasheria wanaweza kumrudisha Lema bungeni. Bahati nzuri Tundu Lissu yupo na kwa mujibu wa kauli yake majaji wengi wa Tanzania ni vodafasta anakwenda kupambana nao kwenye uwanja wa sheria yetu macho matokeo yoyote ya mahakama hatuna budi kuyakubali.
Ipo wazi rufaa ya Mh. Lema hata hakimu aliyetoka shule anaamua na kutoa haki, wakipindisha uma utawahukumu.
Mbele na nyuma ipi? mbona unapenda kukuza mambo wewe binadamu.MWEHU ni wewe usiyejua mbele wala nyuma.