mwembemdogo
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 2,282
- 1,253
Ccm bwana hata wolper? IPO Kazi kweli kweli

Unataka kusema huyu ndie yule mwanasiasa kijana machachari wa CDM uliyesema atarudi CCM?Nikikumbuka alivyo mpelekea Lowasa keki nabaki kucheka tuu.
Hahahaha Lowasa atazimia kabisa....
Mimi sioni ajabu kwa Wolper kurudi CCM, kama aliweza kubadili dini mara mbili itakuwa ChamaWasanii gani hawa njaa tu kama huyo Wolper ndio nani mtu mpaka kuitwa nguli. Nguli wa nini hiyo fani yake tu haitendei haki. Yaani hawa wasanii wanaoleta siasa mimi sitaki hata kuwaona ndio maana walipigwa chini wote. Kwa JPM wataisoma number yule mzee hana upuuzi na hivi vitoto.
CDM chama kwanza mtu baadayeHawa watu lowassa aliokuja nao watapukutika wote!
Hayo yalikua maneno ya kumtia moyo lakini in reality tulikua tunaona hamna kitu pale alikua anautafuta kiti maalum.Ni yule msanii mliyekuwa mnasema anajitambua kuliko wasanii wote kipindi kilee....!
Majizi Chadema, mtanyooka mwaka huu na bado.Hivi niwaulize maswali kuhusu huyo wolper !
1.Hivi hii nchi inamtegemea wolper katika nini hasa kwamba bila yeye nchi haipo?
2.Siasa gani wolper anayo anaweza kumezesha watu na kuingia katika akili zao?
3.Wolper na kuhama kwake Chadema na kujiunga na CCM mnadhani kahama na nani mwingine kama sio yule toto wake?
4.Katika Ulimwengu wa kisiasa tunaweza sema CHADEMA imetikisika kisa kuhama kwake chama?
Ukijijibu hayo maswali kimya kimya utaona hii nchi ina zilaza wengi na tena ****** wote nimewashuhudia katika ardhi ya dodoma achana na wale ****** 7000 ila huyu nae ni miongoni mwa wale ******.
Hana hata punje ya ushawishi kwenye siasa ya TANZANIA kwanza sidhani hata kama anaweza toa tafasri kamili ya neno SIASA
Akiwa UKAWA mlimpongeza. Kuja CCM mnamponda. Hakika UKAWA ni kama mataahira vile