Jacqueline Wolper arudi CCM

Jacqueline Wolper arudi CCM

Hakuna shida ameenda kwa wasanii wenzake, ndege wa bawa moja huruka pamoja, hata hivyo alikuwa na mchango gani Chadema? Wacha afuate wafu wenzake
 
Nadhani CCM inaupungufu wa wanachama ndio maana hata waliokisaliti chama wanawapokea Kwa nbwembwe sana kidumu chama chabmapinduzi
 
CHADEMA haijawahi kumfukuza slaa...akiomba kurudi tutatafakari
Uwezekano wa Uwezekano wa Slaa kurudi Chadema ni pale tu atapoondoka Lowasa ndani ya Chadema, La sivyo endeleeni kucheza Na ndoano yenu iliyokwama kooni.
 
Uwezekano wa Uwezekano wa Slaa kurudi Chadema ni pale tu atapoondoka Lowasa ndani ya Chadema, La sivyo endeleeni kucheza Na ndoano yenu iliyokwama kooni.
and who wants him by the way...let him perish wherever he is
 
Nilikuwa naamini ccm ilitakiwa kujiamini kwa kuwa ni chama dola ila nimegundua kiukweli kabisa ccm imefikia mahali inaogopa hadi kivuli chake! Iweje mtu kama jackline Wolper kurudi ccm iwe habari inayovumishwa kuliko Magufuli kuteuliwa kuwa mwenyekiti? CCM chama changu naona kimepoteza mwelekeo, mpendazoe anarudi inakuwa habari, tena wanaipa uzito, sasa chama dola badala ya kuhangaika na kutekeleza sera zake kimebaki na mipasho na kuhangaika na habari za kurudi kwa watu ambao hata kadi za chama haijulikani kama wanazo.
 
Wao waondokee bora kubaki na watu wachache kuliko wengi halaf wanafiki,alidhan atapewa vitimaalum?hello
we binti unashindwa kufikiri, hivi unadhani hao wanaoondoka si kura zinaondoka?
Hebu mbaki wachache laki 1 kama mtashinda G.E 2020.
Au chadema ni kampuni mnapunguza wafanyakazi mtengeneze faida kubwa?
 
Akili za kitoto HIZO! Jackline Wolper ni nani katika siasa za nchi hii? Unakidhalilisha chama changu!! Wewe mtu wa maigizo au?
Hana tofauti na kingunge, Lowassa, Sumaye na Mgeja.
 
Hahahaha Lowasa atazimia kabisa....
Duu akili za kuambiwa changanya na zako yaani Lowasa azimie kwa hao walengaji, wakiona sehemu watashiba wanaelekea huko,mtu kama huyo ni nini kwa hadhi ya CDM, ameondoka Slaa mwenye upeo no msomi sembuse huyo.
 
Hela bana steps wamejitoa kutoa mapesa na wauza unga nao hamna deal iliobaki ndii kurudi kundini
 
Jac ana nguvu nyie kwenye social media kipindi kile ilitakiwa apewe hata ubunge wa vitu maalumu yeye na Joyce kiria kwa Kupigania chama kwa nguvu zao zote!!! Mwisho wa siku mnawaweka watu wengineee tofautiiiiiiii
 
siku hizi bila kadi ya kijani haupati cheo. Ila ukifanya siasa au ukiwa mshabiki wa siasa halafu unatanguliza tumbo mbele lazima ufeli tu na kutanga tanga km bendera
 
Wolper kila siku anavishwa lete na kuolewa haolewi ni msanii hadi kwenye mapenzi na huyo hermonize atachunwa mpaka akijakufungua macho mama yake atakuwa anabonyeza nokia obama na vijoti

mimi huwa nacheka kweli kuna siku hata LOWASA atarudi CCM, hata mbowe kashaaona jamaa ni liability kwa sasa na kila mmoja ana mkimbia
 
Back
Top Bottom