Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Jiheshimu weweSijui jana alipiga kete ngapi
Jiheshimu weweSijui jana alipiga kete ngapi
Ni kwenye hafla ya wasanii Dodoma
nilitarajia mtaanzisha uzi wa kupinga chama chenu kuchukua "makapi" ambayo yataharibu mchele wenu! mliposema Chadema wanasafisha mafisadi,je nanyi mmegundua mtambo wa kusafisha makapiHahahaha Lowasa atazimia kabisa....
Kama alivyofanya usanii alipokua alikotokaKumbe Msanii huenda pia kafanya Usanii kurudi hawaaminiki hao.
Hata yule aliutwa fisadi aliposajiliwa kwao akaitwa msafiUKAWA walimwita kamanda
!
!
Nimeitafuta speech yake ya kukaribishwa youtube... Daah uwezo wake wa kufikiri ni chini kidogo ya uwezo wa kuku... Anachekacheka tu mara hivi mara kile. Anyway, nasikia ni mchaga

Lini na wapi kah.ba limekuwa limekuwa kamanda!!UKAWA walimwita kamanda
fikra hizi ndizo zinazotakiwa siasa si uadui akiwa kwetu sawa akihama pia sawa na si kuponda na kutoa maneno ya kashfa.Siasa ni kama soka. Usajili hauishi kufanyika kila mwezi,mwaka na msimu
Wanakimbiza mirungi na bangi wanawachia unga mkuu teja hafugiki ni sawa na kunguru wabaki na kunguru lao!Ndio huyu? Basi CCM ndio kunamfaa!
View attachment 370081