Jacqueline Wolper arudi CCM

Jacqueline Wolper arudi CCM

Msanii nguli wa filamu nchini muda huu katika hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mh. Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kurejea CCM.

"Nilipotea kwenda kule, nimeamua kurudi nyumbani".

Karibu nyumbani uungane na wenye akili, maisha na maendeleo yapo huku, kule kuna chuki, fitina, uzandiki, majungu na kundi la majobless wenye roho mbaya.

Karibu nyumbani uonje raha ya utu.
noma sana
 
Hawa watu lowassa aliokuja nao watapukutika wote!
 
Msanii nguli wa filamu nchini muda huu katika hafla ya wasanii ya kumuaga Mwenyekiti Mstaafu Mh. Jakaya Kikwete ametangaza rasmi kurejea CCM.

"Nilipotea kwenda kule, nimeamua kurudi nyumbani".

Karibu nyumbani uungane na wenye akili, maisha na maendeleo yapo huku, kule kuna chuki, fitina, uzandiki, majungu na kundi la majobless wenye roho mbaya.

Karibu nyumbani uonje raha ya utu.
ndio nani huyo?
 
Akili za kitoto HIZO! Jackline Wolper ni nani katika siasa za nchi hii? Unakidhalilisha chama changu!! Wewe mtu wa maigizo au?
Anatosha sana.. Km s ktu mbona mlkua mnamtumia? Nny tushawazoea ata dr slaa alvotoka mlsema et n nan kwa ukawa. Sasa subr huyu anaegombea uenyekt wa pwan arud useme tena et n nan
 
Wolper kila siku anavishwa lete na kuolewa haolewi ni msanii hadi kwenye mapenzi na huyo hermonize atachunwa mpaka akijakufungua macho mama yake atakuwa anabonyeza nokia obama na vijoti
 
Akirudi msaliti mtampokea?
tutampokea tu kwasababu chadema hatubagui hata Yesu bado anampenda Yuda na alikuja kuwakomboa wenye dhambi. Tukishika madaraka hata wewe hatutakuwa na kinyongo na hatutalipiza kisas. Nia kuu ya Chadema chini ya Rais wa mioyo ya watanzania wote mzee Ngoyai ni kuleta mabadiliko ya kweli na ya dhat katika kujenga mustakabal thabit na nguzo imara katika taifa letu kwa kuleta wigo mpana katika nyanja tofaut za maendeleo kwa maslahi mapana ya taifa letu. ONE DAY YES!
 
Back
Top Bottom