Jacqueline Wolper arudi CCM

Jacqueline Wolper arudi CCM

Wasanii gani hawa njaa tu kama huyo Wolper ndio nani mtu mpaka kuitwa nguli. Nguli wa nini hiyo fani yake tu haitendei haki. Yaani hawa wasanii wanaoleta siasa mimi sitaki hata kuwaona ndio maana walipigwa chini wote. Kwa JPM wataisoma number yule mzee hana upuuzi na hivi vitoto.
 
Akili za kitoto HIZO! Jackline Wolper ni nani katika siasa za nchi hii? Unakidhalilisha chama changu!! Wewe mtu wa maigizo au?
Ni yule msanii mliyekuwa mnasema anajitambua kuliko wasanii wote kipindi kilee....!
 
Anazimiaje wakati huenda wala alikuwa haangalii wala hajui kilichokuwa kinaendelea dodoma? Mambo mengine shirikisha ubongo

Kama alikuwa haangalii au kufuatilia kwa njia yoyote ile basi atakuwa mwanasiasa wa ajabu sana kupata kutokea duniani. Wapo watakaonielewa kuwa namaanisha nini..
 
Mwigizaji wa filamu nchini Tanzania Jackline Wolper aliyekuwa aki muunga mkono Edward Lowassa katika uchaguzi Mkuu 2015, alitangaza kujiunga na CCM rasmi jana.

Wolper alikaribishwa na mwenyekiti aliyemaliza muda wake Dkt Jakaya Kikwete baada ya kutangaza kujiunga na CCM.

Kitendo hicho kilifanyika katika Mkutano Mkuu Maalum wa CCM uliofanyika jana Julai 23, mkoani Dodoma.

Je Wolper kujiunga na CCM ni kwa mapenzi ya dhati au ni kafata ulaji?

Kwanini akajitangaze kwenye mkutano mkuu wa CCM??

Sipati mantiki ya yeye kujitangaza kwa mkutano ambao lengo kuu halikua lile..

Nawasilisha mada..
 
Kwa maoni yangu kisiasa na hasa tunapoelekea 2020 naona swali lako halina tija kwa vyama vya upinzani. Halisaidii upinzani kujitathmini na kujiwekea mikakati mipya ili 2020 iwe na mafanikio zaidi. Afterall, mtu kuondoka chama ni haki yake ya kidemokrasia.

Lamsingi ni kuwa more objective na kujiuliza maswali magumu ya kwanini watu au mtu anaondoka kwenye chama...demotivation ni nini?? etc etc
 
Nikikumbuka alivyo mpelekea Lowasa keki nabaki kucheka tuu.
Kwa hiyo hawa watu ndio waliokufanya uandike kabisa uzi hapa jf kuwa upinzani utasambaratika Na ndio itakuwa mwisho wake yaani hawa wanachama hakuna hata mmoja aliyokuwa safu ya uongozi Wa chama mgana msindai akuwa Na cheo chochote mpendazoe huyu alikataliwa Na wanachadema huyo Jack yeye akuwa Na cheo chochote ndani ya chama sawa Na wanachama wenu wengi Wa ccm wanavyokuja upinzani VIP mbona sijasikia mkizungumzia ya ushindi Wa Zanzibar au Zanzibar hamkushinda
 
Back
Top Bottom