Tunahoji tu......!!Watu kwa kujifariji bhana..punde tu mmeshamgeuka wakati nyinyi ndio mlimsifia kwa ile hotuba yake mliyoita ya kihistoria pale Kijitonyama Millenium Tower katika Kongamano la Wanawake wa CHADEMA.. imekuwa sizitaki mbichi hizi..
Hahahahahaaaaa! Njoo na kule kwingine unakojiita mzee
Hahahah. Kwa kiasi fulaniNi ngumu sana kufanya deal na Mtanzania mkafanikiwa
Ni kwenye hafla ya wasanii Dodoma
![]()
sasa huyu anabadilisha wanaume kila kukicha itakuwa chama
Ushaambiwa uwe una shirikisha Ubongo wako!Nikikumbuka alivyo mpelekea Lowasa keki nabaki kucheka tuu.
Swadaktaaaa.......ni wauza nani tuWasanii wengi wa kike bongo wanasukumwa na nguvu ya ukahaba