Kwa uzoefu wangu mimi, kama adhabu inatoa range ya muda kama inavyosemwa hiyo ya Macau, Jaji au Hakimu anaweza kuangalia mambo kama; hiyo ni mara yako ya ngapi wewe kukamatwa kwa kosa hilo, kukiri kwako kutenda kosa na kuonyesha majuto ya kosa lako na kuomba msamaha, kutaja wahusika - waliokutuma na unaowapelekea, afya ya akili yako, na kadhalika.
Kwa hiyo, kama utapewa fursa ya kujitetea na kuwasilisha mitigating circumstances/ factors, unaweza kutaja mambo kama hayo kwa matumaini ya kwamba bwana au bibi jaji au hakimu atakuhurumia na hivyo kupunguza ukali wa adhabu dhidi yako.
Hivyo ndivyo nidhaniavyo mimi. But what do I know.....mi mbeba mabox tu.
EMT atanisahihisha kama nimekosea.
Kwa uzoefu wangu mimi, kama adhabu inatoa range ya muda kama inavyosemwa hiyo ya Macau, Jaji au Hakimu anaweza kuangalia mambo kama; hiyo ni mara yako ya ngapi wewe kukamatwa kwa kosa hilo, kukiri kwako kutenda kosa na kuonyesha majuto ya kosa lako na kuomba msamaha, kutaja wahusika - waliokutuma na unaowapelekea, afya ya akili yako, na kadhalika.
Kwa hiyo, kama utapewa fursa ya kujitetea na kuwasilisha mitigating circumstances/ factors, unaweza kutaja mambo kama hayo kwa matumaini ya kwamba bwana au bibi jaji au hakimu atakuhurumia na hivyo kupunguza ukali wa adhabu dhidi yako.
Hivyo ndivyo nidhaniavyo mimi. But what do I know.....mi mbeba mabox tu.
EMT atanisahihisha kama nimekosea.
Pia wanaangalia aina ya madawa uliyoshikwa nayo ikiwa ni pamoja na kiasi..
Kwa uzoefu wangu mimi, kama adhabu inatoa range ya muda kama inavyosemwa hiyo ya Macau, Jaji au Hakimu anaweza kuangalia mambo kama; hiyo ni mara yako ya ngapi wewe kukamatwa kwa kosa hilo, kukiri kwako kutenda kosa na kuonyesha majuto ya kosa lako na kuomba msamaha, kutaja wahusika - waliokutuma na unaowapelekea, afya ya akili yako, na kadhalika.
Kwa hiyo, kama utapewa fursa ya kujitetea na kuwasilisha mitigating circumstances/ factors, unaweza kutaja mambo kama hayo kwa matumaini ya kwamba bwana au bibi jaji au hakimu atakuhurumia na hivyo kupunguza ukali wa adhabu dhidi yako.
Hivyo ndivyo nidhaniavyo mimi. But what do I know.....mi mbeba mabox tu.
EMT atanisahihisha kama nimekosea.
Komredi umeona mbebi huyo punda wa ukwee alafu Le Mutuz kanialika uzinduzi wa Blog yake nichague mabebies.
Kwa uzoefu wangu mimi, kama adhabu inatoa range ya muda kama inavyosemwa hiyo ya Macau, Jaji au Hakimu anaweza kuangalia mambo kama; hiyo ni mara yako ya ngapi wewe kukamatwa kwa kosa hilo, kukiri kwako kutenda kosa na kuonyesha majuto ya kosa lako na kuomba msamaha, kutaja wahusika - waliokutuma na unaowapelekea, afya ya akili yako, na kadhalika.
Kwa hiyo, kama utapewa fursa ya kujitetea na kuwasilisha mitigating circumstances/ factors, unaweza kutaja mambo kama hayo kwa matumaini ya kwamba bwana au bibi jaji au hakimu atakuhurumia na hivyo kupunguza ukali wa adhabu dhidi yako.
Hivyo ndivyo nidhaniavyo mimi. But what do I know.....mi mbeba mabox tu.
EMT atanisahihisha kama nimekosea.
You're right. Pia kuna jamaa ali-jump bail akaja kukamatwa few years later akajitetea apunguziwe adhabu kwa sababu tokea aingie mitini ameshakuwa na familia na kama akipewa maximum sentence, familia yake itateseka sana kwa kuwa inamtegemea.
Hakimu alimkatalia kwa kigezo kuwa atampa adhabu kali ili iwe fundisho kwa wengine kuto-jump bail.
Hahahaaaa Komredi usikose hiyo shughuli bana. Ni imani yangu kwangu huo uzinduzi utakuwa na mkusanyiko wa wabebs wa ukwee kupata kutokea katika historia ya taifa.
![]()
Komredi umeona mbebi huyo punda wa ukwee alafu Le Mutuz kanialika uzinduzi wa Blog yake nichague mabebies.
Naomba msaada kidogo. Wanaposema kifungo cha kati ya miaka mitatu hadi 15 hakimu huwa anatumia kigezo gani kukuchagulia miaka ya kifungo? Thamani ya madawa, kujitetea kwa mtuhumiwa, huruma ya hakimu au kígezo gani hasa?
Nimeshashuhudia kesi za aina moja lakini vifungo vikatofautiana....
Chifu, ngoja nivamie swali......
Kuna kipindi kinaitwa banged up abroad urushwa na National Geographic-Adventure, kikionyesha real stories za raia waliokamatwa, kufungwa na kuteswa katika jela nje ya nchi zao.......
Sasa kuna mdada mmoja wa kimarekani alikamatwa kama sio Thailand ni nchi mojawapo ya Asia ya Kusini Mashariki......dada huyo alikuwa akishirikiana na mpopo mmoja kusafirisha kilo 2 za coca kwenda Marekani....Xray mashine ikamdaka airport katika nchi hiyo niliyoisahau.......
Coca ikapimwa ikakutwa ni 99.9% pure.......adhabu iliyotolewa na jaji ikabase kwenye percentage ya purity....yaani kwa kila asilimia 1 ya purity, basi mdada anapata kifungo cha mwaka 1 jela.....sasa kwa purity ya 99.9% mdada akala mvua ya miaka 99.........
Hivyo hapo mdada akahukumiwa kutokana na purity percentage ya coca aliyokamatwa nayo.......ingawa badae alikuja kuachiwa baada ya hukumu yake kupitiwa upya......ndio akapata wasaa wa kusimulia kisa chake........
Hahahaaaa Komredi usikose hiyo shughuli bana. Ni imani yangu kwangu huo uzinduzi utakuwa na mkusanyiko wa wabebs wa ukwee kupata kutokea katika historia ya taifa.
![]()
Tatizo mademu wa bongo wanapenda sana kula kwale bila jasho,na watakoma sana hii ni trail tu picha bado.
Mkuu it's too hush!!! She's a human being!!!!
Ahlaan!!!!!
Sana tu mkuu ila hapa sample yetu kwenye punda ambao ni positive itasumbua! !!!!!
Any clue??!!!