J. Samwel Malecela ni mgonjwa

J. Samwel Malecela ni mgonjwa

O.k kama yeye amekopa basi wewe utakopwa!!
Afadhali nikopwe kuliko kukopa kwa vile nitategemea kurudishiwa na riba juu, jua ukikopa umri unatumia miaka ya mtu mwingine au mtoto anayekufa kwa sulua atakudai siku ya hukumu.
 
[TABLE="class: style1058"]
[TR]
[TD="class: style1051"]julius kambarage nyerere


[/TD]
[TD="class: style1059, width: 152"]2/9/1960
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1962
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1054, width: 175"]rashid kawawa




[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]22/1/1962
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]9/12/1962
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, colspan: 3"]carica abolita 1962/1972
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]rashid kawawa


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]17/2/1972
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1977
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]edgard moringe sokoine
Edward_Moringe_Sokoine[1]_small.jpg



[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]13/2/1977
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1980
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]cleopa david msuya
msuya-kleopa[1].jpg



[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]7/11/1980
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1983
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]edgard moringe sokoine



[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]24/2/1983
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1984
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]salim ahmed salim

salim[1].jpg


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]24/4/1984
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1985
[/TD]
[/TR]
[TR="class: style586"]
[TD="class: style1053, width: 175"]joseph warioba
WARIOBA.jpg




warioba[1].jpg


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]5/11/1985
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1990
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]john malecela

Malecela[1].jpg


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]9/11/1990
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1994
[/TD]
[/TR]
[TR="class: style586"]
[TD="class: style1053, width: 175"]cleopa david msuya
msuya-kleopa[1].jpg

msuya_small.jpg

[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]7/12/1994
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]1995
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]frederick tulway sumaye

sumaye[1].jpg


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]28/11/1995
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"]2005
[/TD]
[/TR]
[TR="class: style36"]
[TD="class: style1053, width: 175"]Edward Lowassa

lowassa00[1].jpg


[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]30/12/2005
[/TD]
[TD="class: style1054, width: 145"]9/2/2008
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: style1053, width: 175"]Mizengo Kayanza Peter Pinda

pinda[1].jpg



[/TD]
[TD="class: style1051, width: 152"]9/2/2008
[/TD]
[TD="class: style1051, width: 145"].
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]




Mkuu nashukuru sana mimi nilikuwa sijui kama carica abolita alishawahi kuwa waziri mkuuwa nchi hii!!
 
Mzee Malecela ana miaka 77. Tukumbuke mwaka 2005 wakati anagombea kupitishwa na CCM ili agombee urais alikuwa na miaka 71

Ngoja mwanawe atufafanuliwe....yeye ndio mmiliki wetu wa JF
 
kwa wanaomfahamu, he is the wise old man. ni vizuri tukamwelewa huyu si mwanamagamba. upone haraka mzee wetu Cigwiyemisi Malecela.
 
Neema bado ingalipo angekuwa mjanja angeokoka tu hapo angepiga bonge la bingo! mosi angewa kula za Ezekia, pili uzima wa milele.
 
umri aliofikisha unamtosha sana hata akifa hakuna hasara kwa taifa coz ni mzigo toka zamani

Tunajua kua ulimi hauna mfupa kama wahenga walivyosema! Kwa kauli yako hapo kwenye Red sio kauli nzuri na tunajua kila kiumbe kitaonja mauti lakini mkuu hapo umechemsha tafadhali kua Great Thinker!
 
kwa kweli watu wanatofautiana


mungu akupe afya ilio njema uweze karibu na wapendwa wako
 
Pale lilipoondolewa tulikuwa tunaishi wapi?
Maisha yalikuwa yaendelea kuwa vizuri siku hadi siku hadi leo nadhani tungekuwa mbali sana ........kwa mawazo yangu kasome Azimio la Arusha sehemu ya 5 A nadhani hapa ndipo mwanzo wa wa kila kitu kibaya.....rushwa, ufisadi,......
 
Maisha yalikuwa yaendelea kuwa vizuri siku hadi siku hadi leo nadhani tungekuwa mbali sana ........kwa mawazo yangu kasome Azimio la Arusha sehemu ya 5 A nadhani hapa ndipo mwanzo wa wa kila kitu kibaya.....rushwa, ufisadi,......

Ilibidi liende zake kwa kuwa likikuwa ni sera ya CCM na nchi ilishamua kuachana na chama kimoja hapa Cigwiyemisi si wa kumalumu peke yake
 
Back
Top Bottom