Hivi kwanini malope na na ya Mbeya wasinyongwe aise Kwa uhujumu uchumi aise.
Yani kila mtu anafanya analotaka, wengi wanasema yawezekana, hiyo kampuni ya majenereta itakuwa ni kigogo huko serikalini.Hivi kwanini malope na na ya Mbeya wasinyongwe aise Kwa uhujumu uchumi aise.
Hii kaya kwakweli hamna. Nikikumbuka huyu Afisa kilimo anayesota jera miaka 20 kisa tsh.500000/= za POSI machine. Halafu malope na ya Mbeya wanaendelea kula mema ya kaya. Pamoja na haya yanayoendelea. Hii Nchi tumerogwa vibaya mno. Ni maiti zinazoishi!