Kwa huu mgao wa umeme unaondelea Hayati Magufuli alikuwa sahihi kuziba masikio na kujenga bwawa la Mwalimu Nyerere

live on

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
792
1,268
Nawasalimu Kwa jina la JMT

Kwa kweli hakuna kitu kinachokera kama mgao wa umeme unaotokana na upungufu wa uzalishaji wa umeme

Mabwa yetu yanayozalisha umeme ni ya kizamani na uwezo wake ni mdogo hivyo hi shida ya upungufu wa umeme Ina mda mrefu hapa Tanzania.

Ilipokuja gasi ya Songosongo na Mtwara tuliambiwa shida ya umeme Sasa itakuwa historia kumbe Ile gasi sio yetu Kwa tabia yetu kuuza rasilimali za nchi Kwa mikataba mibovu.

Magufuli alipoangalia hayo yote akaona hakuna suruhisho zaidi ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere.

Akapigwa vita sana na wanasiasa mafisadi ambo wao shida za watanzania ndio mafanikio Yao.

Hao wanasiasa mafisadi wakapeleka taarifa hadi katika mashirika ya kimataifa Ili bwawa lisijengwe ila Magufuli akaziba masikio akasema lazima lijengwe.

Leo hi bwawa la Nyerere ndio tumaini pekee Kwa watanzania lililobakia kuhusu kutatua changamoto ya umeme.

R I P Jembe langu
 
Ilipokuja gasi ya Songosongo na Mtwara tuliambiwa shida ya umeme Sasa itakuwa historia kumbe Ile gasi sio yetu Kwa tabia yetu kuuza rasilimali za nchi Kwa mikataba mibovu.
Unajuaje kwamba na hilo bwawa halitauzwa?
 
Magufuli atakumbukwa na atatajwa sana ndani na nje ya Tanzania.hata kama upendi roho itakusokota tu kwa chuki lakini kukumbukwa kwake kutabaki palepale.
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT

Kwa kweli hakuna kitu kinachokera kama mgao wa umeme unaotokana na upungufu wa uzalishaji wa umeme

Mabwa yetu yanayozalisha umeme ni ya kizamani na uwezo wake ni mdogo hivyo hi shida ya upungufu wa umeme Ina mda mrefu hapa Tanzania.

Ilipokuja gasi ya Songosongo na Mtwara tuliambiwa shida ya umeme Sasa itakuwa historia kumbe Ile gasi sio yetu Kwa tabia yetu kuuza rasilimali za nchi Kwa mikataba mibovu.

Magufuli alipoangalia hayo yote akaona hakuna suruhisho zaidi ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere.

Akapigwa vita sana na wanasiasa mafisadi ambo wao shida za watanzania ndio mafanikio Yao.

Hao wanasiasa mafisadi wakapeleka taarifa hadi katika mashirika ya kimataifa Ili bwawa lisijengwe ila Magufuli akaziba masikio akasema lazima lijengwe.

Leo hi bwawa la Nyerere ndio tumaini pekee Kwa watanzania lililobakia kuhusu kutatua changamoto ya umeme.

R I P Jembe langu
Bwawa la Mwalimu Nyerere amejenga mama Samia.
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT

Kwa kweli hakuna kitu kinachokera kama mgao wa umeme unaotokana na upungufu wa uzalishaji wa umeme

Mabwa yetu yanayozalisha umeme ni ya kizamani na uwezo wake ni mdogo hivyo hi shida ya upungufu wa umeme Ina mda mrefu hapa Tanzania.

Ilipokuja gasi ya Songosongo na Mtwara tuliambiwa shida ya umeme Sasa itakuwa historia kumbe Ile gasi sio yetu Kwa tabia yetu kuuza rasilimali za nchi Kwa mikataba mibovu.

Magufuli alipoangalia hayo yote akaona hakuna suruhisho zaidi ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere.

Akapigwa vita sana na wanasiasa mafisadi ambo wao shida za watanzania ndio mafanikio Yao.

Hao wanasiasa mafisadi wakapeleka taarifa hadi katika mashirika ya kimataifa Ili bwawa lisijengwe ila Magufuli akaziba masikio akasema lazima lijengwe.

Leo hi bwawa la Nyerere ndio tumaini pekee Kwa watanzania lililobakia kuhusu kutatua changamoto ya umeme.

R I P Jembe langu
Unafanya mradi ambao haujui mwisho wake harafu mda huo huo mahitaji ya umeme yanaongezeka na ukame unakupiga.

Sasa unataka watu wasubirie bwawa miaka yote hiyo?

Mwisho as per Tanesco,mgao utakwisha baada ya bwawa ila katika katika ya umeme haitakwisha Leo Wala kesho unless overhaul ifanyike.
 
Nawasalimu Kwa jina la JMT

Kwa kweli hakuna kitu kinachokera kama mgao wa umeme unaotokana na upungufu wa uzalishaji wa umeme

Mabwa yetu yanayozalisha umeme ni ya kizamani na uwezo wake ni mdogo hivyo hi shida ya upungufu wa umeme Ina mda mrefu hapa Tanzania.

Ilipokuja gasi ya Songosongo na Mtwara tuliambiwa shida ya umeme Sasa itakuwa historia kumbe Ile gasi sio yetu Kwa tabia yetu kuuza rasilimali za nchi Kwa mikataba mibovu.

Magufuli alipoangalia hayo yote akaona hakuna suruhisho zaidi ya kujenga bwawa la kuzalisha umeme la mwalimu Nyerere.

Akapigwa vita sana na wanasiasa mafisadi ambo wao shida za watanzania ndio mafanikio Yao.

Hao wanasiasa mafisadi wakapeleka taarifa hadi katika mashirika ya kimataifa Ili bwawa lisijengwe ila Magufuli akaziba masikio akasema lazima lijengwe.

Leo hi bwawa la Nyerere ndio tumaini pekee Kwa watanzania lililobakia kuhusu kutatua changamoto ya umeme.

R I P Jembe langu
Alikuta mipango ya kujenga mitambo ya kufua umeme wa gas ya kinyerezi,sehemu ndogo ya pesa zilizowekwa rufiji ingewekwa kinyerezi Leo tusingelia kuhusu maji kupunguza mabwawani na kuwa na mgao,south Africa Wana bwawa kubwa na limekauka,la china pia lilikauka,yule mwamba ujuaji mwingi na kutoambilika
 
Kutegemea maji kuwa ndio chanzo cha umeme ni kujidanganya. Ukuna ukame wa mfululizo itakuwaje? Ufumbuzi ulikuwa gesi tu. Lakini tatizo viongozi wanaloona wao kuwa ndilo linafaa basi ni hilo hilo. Hawataki ushauri kutoka kwa wataalamu wa fani hiyo.
 
Alikuta mipango ya kujenga mitambo ya kufua umeme wa gas ya kinyerezi,sehemu ndogo ya pesa zilizowekwa rufiji ingewekwa kinyerezi Leo tusingelia kuhusu maji kupunguza mabwawani na kuwa na mgao,south Africa Wana bwawa kubwa na limekauka,la china pia lilikauka,yule mwamba ujuaji mwingi na kutoambilika

Wengi hawalijui hili kwa kua hawajui ubora wa nishati ya gas, kifupi nchi nyingi Ulaya zinatumia nishati ya gas toka Urusi, na hakuna mgao wala kutegemea mvua. Mwendazake alilazimisha mradi wa Nyerere kwani ni chanzo kipya cha kufyonza kodi zetu bila kelele, ukilinganisha thamani ya mradi wa output capacity ya 2500 megawatts haviendani, mfano,waethiopia walijenga mradi kama huu kwa half of our price bt twice output, 5000 megawatts…
 
Back
Top Bottom