Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,129
Habari!
Hali ni mbaya sana.
Kama mtumishi wa umma unafika ofisi nyingine ya umma unakutana na urasimu (mizunguko isiyo na ulazima au ucheleweshwaji wa huduma)je, wananchi wanakutana na vizingiti vingapi wanapohitaji huduma kwenye ofisi za umma?
Serikali iunde tume ya kuchunguza urasimu na vitendo vya rushwa miongoni mwa watumishi wa umma.
Serikali itaokoa bilioni nyingi za fedha, wananchi wataipenda serikali yao.
Maana mwananchi akikutana na mtumishi wa umma mpumbavu basi huichukia serikali yote.
Hali ni mbaya sana.
Kama mtumishi wa umma unafika ofisi nyingine ya umma unakutana na urasimu (mizunguko isiyo na ulazima au ucheleweshwaji wa huduma)je, wananchi wanakutana na vizingiti vingapi wanapohitaji huduma kwenye ofisi za umma?
Serikali iunde tume ya kuchunguza urasimu na vitendo vya rushwa miongoni mwa watumishi wa umma.
Serikali itaokoa bilioni nyingi za fedha, wananchi wataipenda serikali yao.
Maana mwananchi akikutana na mtumishi wa umma mpumbavu basi huichukia serikali yote.