SoC03 Tukiondoa urasimu katika utoaji wa huduma za umma tutapata utawala bora

Stories of Change - 2023 Competition

jemsic

Member
Jul 1, 2020
21
51
DIBAJI
Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu ambao umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani huweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Utawala bora na utawala wenye tija kwa wananchi utapatikana pale serikali ikiwa wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake bila milolongo mirefu. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI
Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni yake. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujilundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma". Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbuzi wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa.

Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je! kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwaje? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora. Basi tukiondoa urasimu Tanzania itakuwa na huduma bora sana.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU
Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa huduma wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupona.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa au mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuyapata, kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA
Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafifishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO
Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza ni kwa kuondoa urasimu.

Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfano katika wawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO
Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezekana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
 
DIBAJI

Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu amabo umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani unaweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu wa uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Uwajibikaji unamaanisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa matendo yao. Utawala bora maana yake ni kuwa serikali iko wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI

Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni hayo. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujulundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma. Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbiz wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwa? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU

Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa hudumua wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupoma.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuipata. kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA

Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika na kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO

Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza kutaondoa urasimu na kuleta utwala bora. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfan katika Mawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO

Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezeana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
Hakika
 
DIBAJI

Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu amabo umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani unaweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu wa uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Uwajibikaji unamaanisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa matendo yao. Utawala bora maana yake ni kuwa serikali iko wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI

Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni hayo. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujulundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma. Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbiz wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwa? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU

Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa hudumua wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupoma.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuipata. kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA

Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika na kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO

Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza kutaondoa urasimu na kuleta utwala bora. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfan katika Mawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO

Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezeana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​

DIBAJI

Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu amabo umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani unaweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu wa uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Uwajibikaji unamaanisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa matendo yao. Utawala bora maana yake ni kuwa serikali iko wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI

Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni hayo. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujulundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma. Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbiz wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwa? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU

Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa hudumua wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupoma.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuipata. kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA

Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika na kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO

Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza kutaondoa urasimu na kuleta utwala bora. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfan katika Mawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO

Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezeana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
Andiko limekata poa
 
DIBAJI

Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu amabo umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani unaweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu wa uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Uwajibikaji unamaanisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa matendo yao. Utawala bora maana yake ni kuwa serikali iko wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI

Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni hayo. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujulundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma. Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbiz wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwa? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU

Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa hudumua wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupoma.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuipata. kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA

Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika na kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO

Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza kutaondoa urasimu na kuleta utwala bora. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfan katika Mawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO

Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezeana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
Kazi nzuri hongera sana Kisiwa cha maarifa
 
DIBAJI

Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu amabo umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani unaweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu wa uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Uwajibikaji unamaanisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa matendo yao. Utawala bora maana yake ni kuwa serikali iko wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI

Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni hayo. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujulundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.

Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma. Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.

Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbiz wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwa? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU

Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:

Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa hudumua wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupoma.

Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuipata. kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA

Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika na kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO

Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza kutaondoa urasimu na kuleta utwala bora. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfan katika Mawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO

Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezeana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je, ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
Vizuri sana
 
DIBAJI
Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu ambao umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani huweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Utawala bora na utawala wenye tija kwa wananchi utapatikana pale serikali ikiwa wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake bila milolongo mirefu. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI
Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni yake. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujilundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.
Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma". Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.
Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbuzi wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je! kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwaje? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora. Basi tukiondoa urasimu Tanzania itakuwa na huduma bora sana.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU
Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:
Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa huduma wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupona.
Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa au mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuyapata, kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA
Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafifishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO
Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza ni kwa kuondoa urasimu. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfano katika wawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO
Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezekana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je! ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma​

DIBAJI
Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu ambao umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani huweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Utawala bora na utawala wenye tija kwa wananchi utapatikana pale serikali ikiwa wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake bila milolongo mirefu. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI
Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni yake. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujilundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.
Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma". Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.
Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbuzi wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je! kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwaje? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora. Basi tukiondoa urasimu Tanzania itakuwa na huduma bora sana.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU
Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:
Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa huduma wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupona.
Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa au mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuyapata, kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA
Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafifishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO
Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza ni kwa kuondoa urasimu. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfano katika wawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO
Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezekana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je! ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa​

DIBAJI
Tanzania ni nchi yenye historia kubwa na ya muda mrefu ya urasimu ambao umeanza toka kipindi cha ukoloni. Ukiangalia urasimu huu ulipandikizwa na wakoloni ili iwe rahisi kuitawala na kuendesha nchi na kuchukua wanavyovitaka kwa kipindi hicho. Urasimu umedumu toka kipindi hicho na kurithiwa kwa hata kizazi cha leo. Urasimu huu mara nyingi umekuwa ukionekana kuwa kikwazo cha maendeleo, kwani huweza kusababisha ucheleweshaji wa utoaji wa huduma, rushwa na ukosefu wa uwazi. Katika miaka ya hivi karibuni, serikali imefanya jitihada za kupunguza urasimu, lakini bado kuna kazi kubwa ya kufanywa. Andiko hili limelenga zaidi kuonesha namna gani ambavyo utawala unaweza kuisaidia Tanzania kuondoa urasimu uliokithiri katika utoaji wa huduma za umma. Utawala bora na utawala wenye tija kwa wananchi utapatikana pale serikali ikiwa wazi na inakidhi mahitaji ya wananchi wake bila milolongo mirefu. Makala inaonesha na kujadili matatizo yanayosababishwa na urasimu nchini Tanzania. Kisha inatoa hoja mtambuka za namna gani ukiondolewa utavyoleta utawala bora. Makala inahitimisha kwa kutoa mapendekezo ya jinsi Tanzania inavyoweza kuboresha utoaji wa hudumu na kuleta utawala bora.

UTANGULIZI
Tanzania ni nchi yenye historia ndefu ya urasimu iliyorithiwa kutoka kipindi cha ukoloni wa Uingereza. Serikali ya Uingereza kipindi cha ukoloni ilianzisha urasimu mkubwa na mgumu katika makoloni yake mbalimbali ikiwa ni pamoja na Nigeria, Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Malawi pasina kuisahau Tanzania kama moja ya makoloni yake. Dhumuni kubwa la urasimu huo ilikuwa ni kudhibiti idadi ya watu wenye nyadhifa katika utawala huo na pia kurahisha zoezi la kujilundikia mali kwa kutumia njia rahisi tu ya mifumo ya kiutawala. Baada ya uhuru, serikali ya Tanzania iliendelea kutegemea mfumo wa urasimu wa kusimamia uchumi na kutoa huduma za umma tangu enzi za ukoloni mpaka sasa.
Katika miaka ya hivi karibuni, serikali ya Tanzania imefanya jitihada za kupunguza urasimu ambapo mnamo mwaka 2003, serikali ilizindua mpango unaoitwa “Mpango wa Kitaifa wa Marekebisho ya Utoaji wa Huduma za Umma". Mpango huu ulilenga kupunguza urasimu kwa kurahisisha taratibu, na kuboresha ubora wa huduma za umma kwa wananchi.
Pamoja na jitihada hizo, urasimu bado ni tatizo nchini Tanzania na linahitaji ufumbuzi wa haraka sana kwa sababu ya madhara yake. Utafiti uliofanywa na Benki ya Dunia mwaka 2016 ulibaini kuwa Tanzania ilishika nafasi ya 137 kati ya nchi 190 kwa urahisi katika kufanya biashara ni hii inamaanisha ya kwamba Tanzania ina ugumu sana na vikwazo vingi katika kufanya nayo biashara kimataifa. Utafiti huo ulibaini kuwa urasimu ndio kikwazo kikubwa katika kufanya biashara nchini Tanzania. Na pia tugeweza kufikiria je! kama ingekuwa nchi ya nafasi 1 au 2 kati ya 190 ufanyaji wa biashara ungekuwaje? Jibu linabaki ni dhahiri kwamba biashara ingekuwa na uwanda mpana na hivyo kuingiza mapato yakutosha kuendesha nchi na kuleta utawala bora. Basi tukiondoa urasimu Tanzania itakuwa na huduma bora sana.

MATATIZO YANAYOTOKANA NA URASIMU
Urasimu unaweza kusababisha matatizo kadhaa wa kadha katika utoaji wa huduma za umma yanayofanya ukosefu wa utawala bora nayo ni pamoja na:
Moja, ucheleweshaji wa utoaji huduma kwa umma kwani viongozi au watoa huduma wa umma wanapaswa kufuata kanuni na taratibu nyingi sana ambazo zinaleta utata na kusababisha kuchelewa kwa watu kupata huduma wanazo stahili. Hili linaweza kuwakatisha tamaa wananchi wanaohitaji kupata huduma za umma. Vilevile urasimu unapotokea katika huduma dharurua kama yanapotokea majanga mfano mafuriko au tetemeko au wagonjwa wa dharura na wenye hali mbaya hospitalini, watu wengi sana hupoteza maisha ambapo kulikuwa na uwezekano wa kupona.
Mbili, ufisadi ambao hutokea hasa pale urasimu unaweza kutengeneza fursa au mianya ya ubadhilifu wa fedha za umma kwa vitendo kama rushwa ili watu kukwepa kupitia milolongo na njia ndefu katika kupata waliokusudia kuyapata, kwani maafisa wa umma wana uwezo wa kuidhinisha au kukataa maombi ya huduma. Hii inaweza kusababisha rushwa kulipwa kwa viongozi au watoa hudumu wa umma ili kupata huduma.

URASIMU NA UTAWALA BORA
Utawala bora maana yake ni kuwa serikali inafanya kila jitaihada katika kuhakikisha inakidhi mahitaji yote ya wananchi wake. Utawala bora umekuwa ukihafifishwa na urasimu katika utoji wa huduma za umma. Hivi mfano tunaweza kuwaza kuwa mwananchi akikosa huduma za muhimu kama huduma za afya anaweza kusema kuwa utawala ni bora? Ukweli ni kwamba ni hapana na badala yake atadumu kuilaumu serikali kwa ugumu alioupata katika kupewa hudumu uliompelekea kuchoka, kukata tamaa na pengine kama ni mgonjwa kupoteza maisha.

MAPENDEKEZO
Kuna mambo kadhaa ambayo serikali ya Tanzania inaweza kufanya ili kuondoa urasimu na kuleta utawala bora. Kwanza, kuimarisha uwezo wa taasisi za usimamizi, kama vile ofisi ya mkaguzi mkuu wa hesabu na tume ya kupambana na rushwa. Urasimu utapungua sana kwa sababu kuondoa rushwa katika huduma za umma kutafanya kuwepo na usawa katika kumpatia kila mtu haki yake. Waswahili husema “Rushwa ni adui wa haki” na hivyo kuitokomeza ni kwa kuondoa urasimu. Pili, kurahisisha kanuni na taratibu katika utoaji wa huduma kwa kuzingatia kwamba moja ya vyanzo vikubwa vya urasimu ni kanuni ngumu na zilizopitwa na wakati. Kwa kurahisisha kanuni, serikali zinaweza kupunguza baadhi ya hatua zisizo za lazima ambazo wafanyabiashara na raia wanazipata katika kupata huduma. Tatu, matumizi mazuri ya teknolojia kama chombo chenye nguvu katika kupunguza urasimu. Kwa kutumia teknolojia mfano katika wawasiliano watu wanaweza kupata huduma kwa haraka na ufanisi unaohitajika.

HITIMISHO
Mwisho, kupunguza urasimu katika sekta ya umma si rahisi lakini inawezekana ili kuuondoa urasimu ni vyema kubainisha sababu kuu za urasimu. Je! ni taratibu gani zinazosababisha ucheleweshaji usio wa lazima? Pia, wadau wote washirikishwe katika mchakato wa kupunguza na kuondoa urasimu. Na wadau hao pamoja na wafanya kazi wa mstari wa mbele, mameneja, na raia. Kwa kupata maoni ya kila mtu, unaweza kuhakikisha kuwa masuluhisho yana ufanisi na endelevu. Kwa kufuata madokezo haya, serikali zinaweza kuleta mabadiliko ya kweli katika utoaji huduma kwa umma. Uondoshwaji wa urasimu katika huduma ya afya utazaa matunda mema ya utawala bora kwani kila mmoja atafurahia na kuridhika na huduma anayopewa.​
Umefanya vema katika Andiko lako Kuna Mambo mengi Sana katika utoaji wa huduma Ambayo. Katika Nchi yetu ni rahisi kupata huduma katika makampuni binafsi ukilinganisha na taasisi za kiswrikali Kwa huduma hio hio.
 
Back
Top Bottom