BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,022
Huo utafiti wa kwamba hakuna mwanachama wa Chadema uliufanya wapi Bwashee? Na yule bidada mgombea ubunge Dodoma alikuwa mwanachama wa Act Wasaliti? Acha KUKURUPUKA!!
Ajabu hakuna mwanachama wa Chadema aliyekufa kwa Corona zaidi tunawaona akina Halima Mdee na wenzake wakipeta tu bungeni!