ITV, Mengi to be dealt with soon

Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?!

Max,angalia haya maneno yako mkuu........ hata kama hapo bamaga sio mbali lakini sio kiivo
 
Mzee Kiko.... pamoja na hilo kasema pia watu wasivunje sheria kwa kusingizia kuwataja wahalifu. Uliisikia hii? ilikuwa ikimgusa mzee Mengi moja kwa moja, JK kwa kuchanganya mdomo hatumwezi!


Nadhani Jk ni mswahili na si mwanasiasa ,kwa misingi hiyo ya kuchanganya mdomo unayo msifia wewe ni kweli hatumuwezi...

Yeye kama Rais alitakiwa kuongea mambo direct na si kuchanganya mdomo..Si kila mtanzania anajua mafumbo ya kuchanganya mdomo kaka.

Kiongozi wa jinsi hiyo unadhani atakupeleka wapi ?
 
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!

Umenitoa machozi ndugu yangu poole! Lakini hawa maharamia mwisho wao upo, hata kama sio leo au kesho, hii siyo nchi yao peke yao!
 
...hilo la kumshut down halipo ila mwenyewe akiamua kufanya hivyo well and good as long as ana bide by sheria zinazomruhusu kurusha hayo matangazo


Kuhusu JF...hapo hakuna kitu unless unataka kutuambia Mengi keshainunua ...

...ohhhh kuhusu JF kuwa shut down hilo halipo nyie endeleeni tuuu

in a nutshell nzi leo naona exclusive yako imekuwa haina kiambatanishi cha upupu kama sikuzote unless utauleta baadae as attachment

unaonekana kama una uhakika na unachoongea. wewe ndo mwamuz mwenyewe?
 
haiwezeakani na ITV haiwezi kufungiwa kwa njia yeyote ile!!!!it will water down the credibility of our government internationally...hawawezi hata siku moja
 
Game, route aliyochukua Mengi inaweza kum cost kama asipopata support ya wazalendo, kwasababu uelewa wa wabongo nao una extent yake. Inanikumbushia ile stori ya kelele za mbwa mwitu zilizopuuziwa kwasababu kila mara waliojitolea kuja kumrescue mpiga kelele hawakumwona mbwa mwitu,tusipomwona mbwa mwitu,Mengi will suffer,hope kuna wazalendo tosha wa kuamua kumpa support kwani utumwa umetulemaza na hatuoni ni kwa vipi na sisi na rangi zetu na race zetu kuwa we can!
I like this,ni kweli we need to support him by any means.Lakini hwa jamaa wanatumia nguvu ya hela saaaaaaana saaaaana ni tishio.
 
Kiufundi kabisa...

Bado ninaamini kuwa si si em wanatakiwa au itafika wakati watafanya kosa muhimi kwa ukombozi wa taifa hili.

Hilo haliepukiki. watafanya kosa ambalo litaibua umma wa wa Tanzania kufanya kinachotakiwa kufanya.

Inabidi si si em waendelee na upuuzi wao mpaka kukamilisha threshold ya kulipua nguvu ya waanachi kuchukua hatua.

Ndio!!! Watanzania wamepoa na mameneno kama hayo...but there is a low they can not dare to go...!

wafunge kituo ITV ...sawa Its not ease to tell itaibua nini. Na isipoibua kitu ...Waana sisiem watakuwa adictected kufanya upuuzi...watafanya mwingine...na mwingine na mwingine ...na kila upuuzi ukionekana ni ushindi ...that is how it works..!

but lets be sure ...muda utafika ... They will xpose themselve and explode themselves...!!! Hata waonywe kwa njia gani hawatasikia mpka Point muhimu ifikiwe.
 
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!


You are the hero.

Together 'll survive na jina lako litadumu milele kwani limeishaingia kwenye historia ya ukombozi wa Mtanzania. Utakuwa kati ya wale watakaouona ufalme wa mbinguni (kama unaamini katika ufalme wa mbingu).
 
Nwy mie sisemi kuhusu kufungiwa kwake au kutofungiwa bt nataka kujua kwanini siku hizi mbili ,tatu ITV haijarusha hewani kampeni za Busanda kwenye habari zake wananchi walitegemea ITV itakuwa wakwanza kuweka hali halisi ya kampeni Busanda na kuonyesha kila chama na ndio hivyo walivyoanza lakini baada ya helcopta ya Chadema kuwasili mjini hapa ndipo na hao ITV wakaacha kurusha habari za Busanda..

Kingine ni hichi cha Star Tv yani wao wanachoonyesha ni kampeni za CCM tu yani mimi kama mimi cjawahi kuona wakikielezea chama kingine cha siasa hapa Busanda zaidi ya CCM mmh tuangalie haya mamabo maana ndo yanaiua CCM maana wanainchi wa sasa wanareson mno
 
La ITV kufungiwa halimo, serikali haiwezi kuifungia, ila Mzee Mengi, ana ajenda yake na anaitumia ITV kama moja ya strategies za kuifikia ajenda hiyo. Kitu ninachojua, ITV haitafungiwa bali itakufa natural death baada ya ajenda ya mmiliki kutokamilika.
Ajenda hiyo haitokamilika kwa sababu anatumia mlango wa nyuma kutimiza malengo yake.
Wengi wanamuona Mzee Mengi kama mkombozi fulani kwa mtindo wake wa kuuma na kupulizia, amamuuma adui fisadi papa, huku anampulizia mlezi wa fisadi papa kwa kisingizio cha kutaka kumsaidia.
Tatizo atakalokumbani nalo mzee wetu huyu ni kuwa hawa anaojidai anataka kuweasaidia, ndio hao hao wanaomuona kuwa yeye ni adui na kwa hakika, watammaliza.
Vita dhidi ya ufisadi ni vita kubwa inayohitaji kupigwanwa from within. Mzee Mengi kwa kutumia media yake, anataka kuwashawishi watanzania tukae nyuma yake kuelekea kwenye ukombozi wa kweli dhidi ya ufisadi. Tatizo watu anaotaka kupigana nao, wana nguvu zaidi yake, hivyo he is fighting a loosing battle na ndipo atakapoangamia na ITV yake na familia nzima ya IPP.
Mimi naungana na ile filosofia isemayo 'If you can't beat them, join them', vita hii ndio mwanzo wa mwisho wa Mengi kwa sababu nchi iko mikononi mwa mafisadi Left, Right and Centre.
 
Game, route aliyochukua Mengi inaweza kum cost kama asipopata support ya wazalendo, kwasababu uelewa wa wabongo nao una extent yake. Inanikumbushia ile stori ya kelele za mbwa mwitu zilizopuuziwa kwasababu kila mara waliojitolea kuja kumrescue mpiga kelele hawakumwona mbwa mwitu,tusipomwona mbwa mwitu,Mengi will suffer,hope kuna wazalendo tosha wa kuamua kumpa support kwani utumwa umetulemaza na hatuoni ni kwa vipi na sisi na rangi zetu na race zetu kuwa we can!

Hii rejea yako imenikumbusha mbali kweli, lakini pia imekaa penyewe kabisa Mtu wangu
 
I understand TCRA had summoned Mengi to show cause why ITV should not be suspended for airing racist remarks. He was not cooperative because he maintains that there were no racist remarks in his remarks about 'sharks of corruption'. TCRA is consulting RA on the next move. This Iranian is dictating terms not only in CCM but the entire government machinery. This is what we call STATE CAPTURE! Ndio hatua tuliyofikia ambapo sasa MAFISADI wakiongozwa na RA ndio wanaoamua nini kifanyike nchini kwa manufaa yao binafsi na manufaa ya wale waliowaweka madarakani kwa pesa zao chafu!
Lakini hawa watu waliopo serikali wasidhani kwamba sisi waTz tu wajinga kiasi hicho. Tunafuatilia hatua kwa hatua kila wanachokifanya. Uvumilivu unakaribia kwisha sasa.
Katika hali ya kushangaza mara baada ya Mengi kuwataja mafisadi papa, akiwemo KING MAKER, amekuwa akiandamwa na vyombo vya dola. Mara polisi, PCCB, mawaziri, nk. Kitu kimoja ambacho lazima watambue ni kwamba kauli ya Mengi kuhusu mafisadi ni kauli ya walalahoi wanaozidi milioni 20 wa nchi hii! Wasifanye mchezo.... Ohooo...
 
Mzee Kiko.... pamoja na hilo kasema pia watu wasivunje sheria kwa kusingizia kuwataja wahalifu. Uliisikia hii? ilikuwa ikimgusa mzee Mengi moja kwa moja, JK kwa kuchanganya mdomo hatumwezi!

Kwenye kura ya wauaji wa Zeruzeru na wahalifu wengine tuliambiwa kuwa iwe siri ili kuwalinda wapigakura kutodhuriwa na watakaotajwa, lakini msingi wa tukio lenyewe unabakia pale pale kwamba ni "kuwataja Washukiwa wa uhalifu" ambao ni sawa na ule wa Mengi kuwataja Mafisadi. Iweje upande mmoja uwe unakiuka sheria na mwingine uendane na sheria! Ngumu kumesa ati
 
Nimekusoma vizuri PASCO. Mie binafsi sikubaliani kabisa na philosophy ya ''If you can't beat them, join them'. Sisi Watanzania majority tunaochukia ufisadi tuna nguvu kuliko hao papa wachache wenye fedha nyingi chafu, fedha walizotuibia kwa kutunyonga huku tukiwaangalia. Lakini sasa tumezinduka. Hii sio vita ya Mengi au vyombo vyake bali ni vita yetu sote. Lazima tuungane tuwaangamize hawa mafisadi papa. Hivi tumewahi kujiuliza watoto wetu na wajukuu wetu watafanya nini watakapotambua upunguani wetu hapo baadaye kwa kuiacha nchi yetu ikimalizwa huku tukuiangalia.
 
Nwy mie sisemi kuhusu kufungiwa kwake au kutofungiwa bt nataka kujua kwanini siku hizi mbili ,tatu ITV haijarusha hewani kampeni za Busanda kwenye habari zake wananchi walitegemea ITV itakuwa wakwanza kuweka hali halisi ya kampeni Busanda na kuonyesha kila chama na ndio hivyo walivyoanza lakini baada ya helcopta ya Chadema kuwasili mjini hapa ndipo na hao ITV wakaacha kurusha habari za Busanda..

Kingine ni hichi cha Star Tv yani wao wanachoonyesha ni kampeni za CCM tu yani mimi kama mimi cjawahi kuona wakikielezea chama kingine cha siasa hapa Busanda zaidi ya CCM mmh tuangalie haya mamabo maana ndo yanaiua CCM maana wanainchi wa sasa wanareson mno
Mie inaniboa sana,tangu juzi naangalia taarifa ya habari ITV,sioni tena coverage ya Busanda,au ndio tayari mikwara imeshaanza kuelekea kufungiwa?
 
waifunge ndo wametangaza vita upyaaaa na safari hii vote of no confidence itakuwa dhahiri
 
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!
Mkuu,tupo pamoja, hii Nchi ni yetu sote,hakuna mwenye haki zaidi ya wengine,imefika muda wa miti na mawe kuongea pia.Ni wakati wa kuwa na Vingozi na sio watawala kama wao wanavyotaka iwe.
 
MTM na YeboYebo,
Wakuu zangu kwanza ningewaomba mnisikie..
Unajua siku zote tujaribu kufikiria nje ya sanduku na mapenzi yetu kwa sababu huwezi kunambia hata mtu mmoja ambaye anafaa kuwa rais hasa nchi zetu za kimaskini..Huyo marehemu Mwl JK. Nyerere alipoingia TAA hakuna aliyedhani anaweza kupata Umaarufu huo, Mwinyi na Mkapa wote hawa walikuwa watu wa kawaida kabisa na naweza kusema hawakuwa wanasiasa basi tu zari iliwatokea.

Mkuu tuko pamoja, ila Mengi kuwa mgombea itakuwa sumu!! Sometimes you just need change agents to remain that way... he is the agent we need and actually we need about 100 Mengis to stimulate changes

sina hakika kwa kiasi gani mengi ana mizizi ya kisiasa na anakubalika vipi katika grassroot level. Umetoa mfano mzuri wa nyerere ila ukumbuke nyerere hakuingia siasa akiwa na miaka 65+ alianzia and that what we need, a well grilled person to the core

I hope hukunielewa vibaya
 
Back
Top Bottom