Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?!
Max,angalia haya maneno yako mkuu........ hata kama hapo bamaga sio mbali lakini sio kiivo