Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,355
- 1,984
Hope this is simply a mere dream!
Hata wafanyeje, huu si wmisho wa mapambano! Aluta continua...
HUU NI UONGO UONGO UONGO, msitake kuleta habari za kipambe humu ndani, binafsi siamini kama hili lipo au linawezekana. otherwise huyu mleta mada ana lake au katumwa.
Siamini leo kale ka-nzi [ENIGMA] kamekuwa katumwa.... Tatizo humu ndani mtu akitoa habari hasi kwa hisia za mtu then inakuwa ni msaliti, katumwa au something
Hakuna haja ya ku-worry kwani ITV ni zaidi ya Tanzania TV, kuna mikataba na watu wa nje, kuna political and economica negatives if we shut down the channel, lakini its good kuangalia both sides of the coin
Mnajua nini wanabodi!.. Mimi baada ya kufikiria sana haya mambo yote yanayotokea nadhani kuna kila sababu ya Utabiri wa Sheikh Yahya Ukamilike!..
Binafsi naanza kuamini kwamba Mengi anaweza kuwa solution ya matatizo yetu kwa sababu sasa hivi ndiye adui mkubwa wa mafisadi.
Maadam Dr. Slaa amekataa kusimama, ubashiri wangu unanambia kwamba Mengi ni mtu pekee anayeweza kusimama dhidi ya Kikwete na AKASHINDA...
Na haitakuwa raha kama Mengi ataondoka CCM na kujiunga na chama cha Upinzani kwa minajiri hiyo tu..Ajiunge na chama chochote kile maadam asiwepo mgombea wa kiti hicho kutoka chama kingine cha Upinzani (muafaka upitishwe baina ya vyama hivi).. waachie ngoma iwe kati ya Kikwete na Mengi kisha vyama hivyo kama kawaida yao vigombanie ruzuku na posho za majimbo (Ubunge)..
Wakuu,
Naona wengi mmetoka nje ya thread kabisa. Naelewa ni katika kutetea hoja zenu, lakini posts kibao hapo zinajadili kuhusu Mengi kugombea uraisi. Tusisahau kwamba hoja hapa ni kufungwa kwa kituo cha ITV. Labda kwa wenye uelewa wa sheria za habari wangetuchambulia kuna uwezekano gani wa ITV kufungwa na kwa kosa lipi. Sheria inasemaje juu ya mmiliki kurusha taarifa zake mwenyewe? Je Mengi angerecord ile taarifa na kuitangaza kupitia TBC1, je kituo cha TBC1 kingefungwa? Au Mengi ndio angeshtakiwa kama mtanzania tu? Au TBC1 wangegoma kuirusha? Naomba tujadili thread katika mfumo huo.
So, together with him there are number of news outlets that have been marked as well the most prominent of them is this esteemed forum. JF will face a clear threat either to tone down its criticism or required in some way to abide by certain standards that are being drawn especially after the "zeutamu" saga.
Daily News leo inaheadline "JK reaffirms free expression".
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?
Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.
Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.
Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!
Muulizeni Spika SAMUEL SITTA kwa nini alikataa ile kamati ya ADAM MALIMA vs MENGI haikuwa public
from there ndipo utaona picha kamili jinsi Mengi anavyotumia vyombo vyake vya habari...hilo la kumshut down halipo ila mwenyewe akiamua kufanya hivyo well and good as long as ana bide by sheria zinazomruhusu kurusha hayo matangazo
Kuhusu JF...hapo hakuna kitu unless unataka kutuambia Mengi keshainunua lakini kama hajauziwa then it wont be a bad idea kuuziwa akifika bei...ohhhh kuhusu JF kuwa shut down hilo halipo nyie endeleeni tuuu
in a nutshell nzi leo naona exclusive yako imekuwa haina kiambatanishi cha upupu kama sikuzote unless utauleta baadae as attachment
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?
Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.
Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.
Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!
Chuma,
Mkuu mimi nimejilipua kama mzee mwenzangu nasubiri paper, sasa unasemaje!..wee vipi unakanyagwa nini?