ITV, Mengi to be dealt with soon

ITV, Mengi to be dealt with soon

Kitila;

Umepotea sana ndugu yangu. tutafutane.

I think this is a mere dream.

Anyway ....Labda!

FP
 
Hata wafanyeje, huu si wmisho wa mapambano! Aluta continua...

HUU NI UONGO UONGO UONGO, msitake kuleta habari za kipambe humu ndani, binafsi siamini kama hili lipo au linawezekana. otherwise huyu mleta mada ana lake au katumwa.
 
HUU NI UONGO UONGO UONGO, msitake kuleta habari za kipambe humu ndani, binafsi siamini kama hili lipo au linawezekana. otherwise huyu mleta mada ana lake au katumwa.

Siamini leo kale ka-nzi [ENIGMA] kamekuwa katumwa.... Tatizo humu ndani mtu akitoa habari hasi kwa hisia za mtu then inakuwa ni msaliti, katumwa au something

Hakuna haja ya ku-worry kwani ITV ni zaidi ya Tanzania TV, kuna mikataba na watu wa nje, kuna political and economica negatives if we shut down the channel, lakini its good kuangalia both sides of the coin

 
Siamini leo kale ka-nzi [ENIGMA] kamekuwa katumwa.... Tatizo humu ndani mtu akitoa habari hasi kwa hisia za mtu then inakuwa ni msaliti, katumwa au something

Hakuna haja ya ku-worry kwani ITV ni zaidi ya Tanzania TV, kuna mikataba na watu wa nje, kuna political and economica negatives if we shut down the channel, lakini its good kuangalia both sides of the coin

Wala sio HISIA HASI mimi mwenyewe SIKO UPANDE WOWOTE, nilichokuwa najaribu kuona ni kuwa sidhani kama kitu kama hiki kinawezekana zama hizi, nimetumia sentensi ya kutumwa maana ndio sentensi PENDWA HAPA JF.
 
Kuelekea 2010 Rais Kikwete can not afford to ban ITV, hata kama yeye na wanamtandao wangependa iwe hivyo. Hii ni kwa sababu wanatambua (kwa akili ya kawaida kabisa ya kuvukia barabara) kwamba wananchi wasiofikiri vizuri (ambao ndio majority kwa Tanzania) wanaweza kumhusisha moja kwa moja yeye Kikwete na mafisadi papa waliotajwa na Mengi. Na hii itapelekea yeye kushinda kwa margin ndogo huku madhara makubwa yakienda kwa wabunge wao wa CCM ambao tayari wamepoteza mvuto kwa wananchi. Bila kusahau Chadema watacapitalize kwenye hiyo issue na kuendelea kujizolea wadanganyika wengi zaidi kuelekea 2010.
 
Huo mzozo mkubwa sana ila nawashauri sana wasije wakafanya lolote kuizuia ITV isiruke hewani...watakosea sana sana..hata jumuia ya kimataifa itawashangaa na itaingilia kati......na kumsaidia Mengi
 
Mnajua nini wanabodi!.. Mimi baada ya kufikiria sana haya mambo yote yanayotokea nadhani kuna kila sababu ya Utabiri wa Sheikh Yahya Ukamilike!..
Binafsi naanza kuamini kwamba Mengi anaweza kuwa solution ya matatizo yetu kwa sababu sasa hivi ndiye adui mkubwa wa mafisadi.
Maadam Dr. Slaa amekataa kusimama, ubashiri wangu unanambia kwamba Mengi ni mtu pekee anayeweza kusimama dhidi ya Kikwete na AKASHINDA...
Na haitakuwa raha kama Mengi ataondoka CCM na kujiunga na chama cha Upinzani kwa minajiri hiyo tu..Ajiunge na chama chochote kile maadam asiwepo mgombea wa kiti hicho kutoka chama kingine cha Upinzani (muafaka upitishwe baina ya vyama hivi).. waachie ngoma iwe kati ya Kikwete na Mengi kisha vyama hivyo kama kawaida yao vigombanie ruzuku na posho za majimbo (Ubunge)..

Mkandara,
Siasa si hasa, The Mengi you are thinking about will turn to be just like a toilet paper and guess what...? will be dumped and flushed with sh*t.

Akae aangalie biashara zake hayo awaachie akina Silvio Baluccicon.
 
Wakuu,

Naona wengi mmetoka nje ya thread kabisa. Naelewa ni katika kutetea hoja zenu, lakini posts kibao hapo zinajadili kuhusu Mengi kugombea uraisi. Tusisahau kwamba hoja hapa ni kufungwa kwa kituo cha ITV. Labda kwa wenye uelewa wa sheria za habari wangetuchambulia kuna uwezekano gani wa ITV kufungwa na kwa kosa lipi. Sheria inasemaje juu ya mmiliki kurusha taarifa zake mwenyewe? Je Mengi angerecord ile taarifa na kuitangaza kupitia TBC1, je kituo cha TBC1 kingefungwa? Au Mengi ndio angeshtakiwa kama mtanzania tu? Au TBC1 wangegoma kuirusha? Naomba tujadili thread katika mfumo huo.
 
Wakuu,

Naona wengi mmetoka nje ya thread kabisa. Naelewa ni katika kutetea hoja zenu, lakini posts kibao hapo zinajadili kuhusu Mengi kugombea uraisi. Tusisahau kwamba hoja hapa ni kufungwa kwa kituo cha ITV. Labda kwa wenye uelewa wa sheria za habari wangetuchambulia kuna uwezekano gani wa ITV kufungwa na kwa kosa lipi. Sheria inasemaje juu ya mmiliki kurusha taarifa zake mwenyewe? Je Mengi angerecord ile taarifa na kuitangaza kupitia TBC1, je kituo cha TBC1 kingefungwa? Au Mengi ndio angeshtakiwa kama mtanzania tu? Au TBC1 wangegoma kuirusha? Naomba tujadili thread katika mfumo huo.

Mkuu
Thread ina kwenda na wakati, baadhi ya wachangiaji wameshaona kuwa hiyo topic ya kufungiwa haina nguvu sana na katikati ya thread imezuka hoja ya nyongeza na ndiyo inayojadiliwa. Sasa basi unaweza kustick kwenye hoja ya msingi na kuongezea nguvu lakini hizi hoja za nyongeza zitaendelea kujitokeza.
 
Daily News leo inaheadline "JK reaffirms free expression".
 
Angesimama mbunge na kuyaongea aliyoyaongea Mengi kupitia ITV wangetaka kuifunga? Mwananchi reported the samething, kwanini halizungumziwi?
There is the end to all this. Mafisadi are getting powerfull na sijui wanazitoa wapi.
 
So, together with him there are number of news outlets that have been marked as well the most prominent of them is this esteemed forum. JF will face a clear threat either to tone down its criticism or required in some way to abide by certain standards that are being drawn especially after the "zeutamu" saga.

Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!
 
Daily News leo inaheadline "JK reaffirms free expression".


Mzee Kiko.... pamoja na hilo kasema pia watu wasivunje sheria kwa kusingizia kuwataja wahalifu. Uliisikia hii? ilikuwa ikimgusa mzee Mengi moja kwa moja, JK kwa kuchanganya mdomo hatumwezi!
 
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!

Punguza woga, the information haina uzito wowote kwa hiyo can not be trusted. Isipokuwa ni muhimu JF ika-maintain standards zake, hili ni muhimu kuliko yote.
 
Muulizeni Spika SAMUEL SITTA kwa nini alikataa ile kamati ya ADAM MALIMA vs MENGI haikuwa public

from there ndipo utaona picha kamili jinsi Mengi anavyotumia vyombo vyake vya habari...hilo la kumshut down halipo ila mwenyewe akiamua kufanya hivyo well and good as long as ana bide by sheria zinazomruhusu kurusha hayo matangazo


Kuhusu JF...hapo hakuna kitu unless unataka kutuambia Mengi keshainunua lakini kama hajauziwa then it wont be a bad idea kuuziwa akifika bei...ohhhh kuhusu JF kuwa shut down hilo halipo nyie endeleeni tuuu

in a nutshell nzi leo naona exclusive yako imekuwa haina kiambatanishi cha upupu kama sikuzote unless utauleta baadae as attachment

Hakuweka public kwasababu bunge lilikuwa limechemka kuingilia chombo cha habari kuwa kinatangaza habari za mmiliki kuliko rais. Sioni sababu ya vitu vidogo kama vile kupelekwa bungeni kwani bunge ni kitu cha juu mno. Hivyo spika kwa the so called busara za spika akaamua kuiua kichinichini.

Kuhusu hizi habari zinaweza kuwa za kweli au zikawa siyo. Mengi hawezi kufunga kituo ili ionekane kuwa mafisadi wametumia nguvu ya serikali kukifunga. Nafikiri hii inawezekana kwani jamaa wanafull support ya serikali.

Lakini pia tunajua serikali yetu inavyofanya kazi, kama mengi jinsi ambavyo amekuwa akiwasumbua wangekuwa wameshamshugulikia kwani yuko peke yake. Tumesikia jinsi alivyopambana na mawaziri baada ya kuibua kashfa zao.

Tujiulize kwanini tender ya kilimajnaro kama kweli mengi alikosea kulalamika kwanini waziri alinyamaza? Vitambulisho na vithibitisho vipo bado mengi anaonekana yeye ndiye mkosaji? Mbona hiyo kampuni haikupewa basi kama walivyoazimisha bulyankuru au Tanesco?

Tuache ushabiki tuweke mbele utaifa wetu kwani watu fulani wanapenda kuwekewa attachment mbona hizo attachment za mengi hatuzioni jinsi alivyoiba? Au ufisadi wake ni kuwa na vyombo vya habari?
 
Haya niliyajua mapema. Natambua kuwa nilishaubeba msalaba huu, nitaendelea kuubeba kwa niaba yenu. Mbona mara ya kwanza walinikamata harakaharaka? Mbona Utamu wanamwacha? Au kwakuwa ana udugu na kiongozi wa juu ndani ya Chama tawala?

Wana JF, nitabeba msalaba huu kwa niaba yenu. Nipo tayari! I will never disclose anyone and after all, I know none. I know your JF nicks and do not know who exactly are you! You can't compare JF with Utamu. Muhimu ni watu kuwa makini, wenye dhamira ya kuchafua ndo wameongezeka kadiri siku za uchaguzi zinavyokaribia.

Thanks to God, ndo nimeacha kazi rasmi nilikokuwa nimeajiriwa na kuwa dedicated kwa ajili ya maendeleo ya JF. Once they need me, they know where to find me and how to reach me. I'm not Invisible, am not Mwanakijiji and am not Rev. Kishoka etc, am Maxence.

Sijui ni wapi tunaelekea Tanzania!

Pole mapambano huwa kuna watu lazima waumie lakini wale waliowazunguka hawatakiwi kurudi nyuma wanapoona mwenzao kaguswa. Hivyo mimi kwa upande wangu tuko pamoja as hii forum ina mambo ambayo kama ingekuwa ni uwezi kila mtanzania alitakiwa kuijua na kuipitia ili naye apambanue mambo kwa jinsi yake baada ya kupata pa kuanzia. Mapambano daima kwa kwende mbele...
 
Chuma,
Mkuu mimi nimejilipua kama mzee mwenzangu nasubiri paper, sasa unasemaje!..wee vipi unakanyagwa nini?

samahani bro.... nilikuwa najua najibizana na mtu wa JF kumbe member wa zeutamu...!!!
 
Back
Top Bottom