Toka nazaliwa anagombania yeye had sasa me nmemchoka hana swagger amuwez JK kipenz cha Africa.....Rais hayupo kumtetea IPTL wala Tanesco Rais yupo kusema ukweli na kuagza sheria ifatwe ndommna watumishi wake wanachunguzwa.....takukuru......tume ya maadili na wengne washasimamishwa na kutolewa mnataka nini nyie mavi ya ng'ombe?
Rais hatetewi kwa kutukana wenye mawazo tofauti na yake.