faizafoxy anawagonga kwelikweli, yaani huyu mdada peke yake anawakalisha.kama vile wewe unavyo muabudu kikwete kuliko hata Mungu wako wa kiislam!
Mkuu, kosa mhudumu ni lipi, LIPUMBA siyo mseja?
anajifariji kwenye majukwaa na kwenye media si hana mke.kwani kaanza leo?
Lipumba ana stress, uchaguzi unakaribia na anajua hawezi kushika hata nafasi ya tatu
kama vile wewe unavyo muabudu kikwete kuliko hata Mungu wako wa kiislam!
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?
Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
Acha kutuzuga wewe, miaka zaidi ya 20 kwenye siasa, haujawahi kumtambuliisha mke wako, unasema una mke anafanyakazi msalaba mwekundu, hata kama angekuwa anafanyakazi msalaba wa zambarau. Au aliolea wanaume wengine?Kama hujuwi maana ya ndoa unaona ndowa ni kama asie owa hana haki ya kufanya lolote, iv hujuwi km huwezi kimtimizia mwanamke mahitaji yake ni haram kuowa ? nå wala kuwa huwezi kumuingilia mwanamke (yaani uwe umeumbwa hivo) basi c aibu ni ugonjwa au ulemavu km ulemavu wa viungo vyengine tu. Mwisho acha siasa zako za maji taka lipumba ana mke mke wake anafanya kazi msalsba mwekundu, nå kashasema yeye hana mke wa chama km nilazma kila mtu anamjuwa. acha ukanjanja wewe kilaza.
Hata wewe ukibadilika utakuwa mama mzuri sana upande huu
hana chochote, zaidi ya matusi na kauli zake za kibaguzi.faizafoxy anawagonga kwelikweli, yaani huyu mdada peke yake anawakalisha.
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?
Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
mkuu naona TataMadiba amegusa pabaya?Kama hujuwi maana ya ndoa unaona ndowa ni kama asie owa hana haki ya kufanya lolote, iv hujuwi km huwezi kimtimizia mwanamke mahitaji yake ni haram kuowa ? nå wala kuwa huwezi kumuingilia mwanamke (yaani uwe umeumbwa hivo) basi c aibu ni ugonjwa au ulemavu km ulemavu wa viungo vyengine tu. Mwisho acha siasa zako za maji taka lipumba ana mke mke wake anafanya kazi msalsba mwekundu, nå kashasema yeye hana mke wa chama km nilazma kila mtu anamjuwa. acha ukanjanja wewe kilaza.
kwenye siasa hakuna adui wa kudumu,wala rafiki wa kudumu.CCM mmedhulumiana mgao ndo wengine wamekua marafiki wa ukawa kiasi cha kuwapa taarifa kina kafulila.huoni ajabu urafiki wa wana ccm na ukawa?
sijawahi kuona faizafoxy ametukana, mnyonge mnyongeni haki yake mpenihana chochote, zaidi ya matusi na kauli zake za kibaguzi.
haya maneno yamekuwa ya kawaida sana siku hizie, kwenye siasa hakuna adui au rafiki wa kudumu.na kweli hili litadhihirika tu wakati wa kumpata mgombea wa UKAWA,watu msije mkayasuta maneno yenu.
Hata biblia inasema muwaheshimu viongozi.
Nyinyi mkamfanye mungu Lipumba na mungu mdogo Jussa, wamewapa uhai saa hizi mnapumuwa.
viongozi wa UKAWA wana busara sana ndo maana ITV inawaalika kila siku studio kikwete kutetea wezi wa pesa za umma huenda naye ni muhusika mkubwa kwenye mgao wa pesa za escrow watanzania tusifanye makosa tena 2015 kuchagua viongozi wezi wa pesa za umma ccm tena .