ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

http://m.youtube.com/results?q=lipumba+msikitini&sm=3QUOTE=FaizaFoxy;11517210]Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau.

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.[/QUOTE]
Dada Lipumba mwenyewe ni wa ajabu sana, kuna video inamuonesha akiwa msikitini akiwaponda CHADEMA, leo anajifanya kuungana nao, ngoja wwmtumie kama karai la zege, mwisho wake atatupwa tu.
Angalia hii video:
 
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.

We binti, wacha kuhororoja!
 
Mwezi ujao prof Muhongo anatarajia kufanya ziara nchini China itakayomchukua mpaka Singapore.....so stay tuned Mengi na kundi lake habari iwafikie.
 
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
kikwete ni zaidi ya msanii, hakufaa kukaa magogoni kamwe. Akiwa kwenye kundi lake la mtandao alimchongea tuhuma dr. Salim eti alishiriki kumuua rais wa zanzibar, abeid karume, eti kisa apate nafasi ya kugombea urais kupitia ccm! Jk haaminiki kamwe.
 
kikwete ni zaidi ya msanii, hakufaa kukaa magogoni kamwe. Akiwa kwenye kundi lake la mtandao alimchongea tuhuma dr. Salim eti alishiriki kumuua rais wa zanzibar, abeid karume, eti kisa apate nafasi ya kugombea urais kupitia ccm! Jk haaminiki kamwe.

ushahidi mkuu, haya maneno ya vijiweni mtaachana nayo lini?
 
Mwezi ujao prof Muhongo anatarajia kufanya ziara nchini China itakayomchukua mpaka Singapore.....so stay tuned Mengi na kundi lake habari iwafikie.

mimi naamini hata Muhongo ataondolewa kwenye nafasi yake, MENGI hatapata vitalu vya gesi, huo msimamo wa Muhongo unatosha watu kuona aibu ya kumpa hivyo vitalu
 
kikwete ni zaidi ya msanii, hakufaa kukaa magogoni kamwe. Akiwa kwenye kundi lake la mtandao alimchongea tuhuma dr. Salim eti alishiriki kumuua rais wa zanzibar, abeid karume, eti kisa apate nafasi ya kugombea urais kupitia ccm! Jk haaminiki kamwe.

Hahahahaha, hizo ni porojo zako, Kikwete na Salim ni damdam.

 
Kikwete hajalitendea haki taifa kwenye kadhia hii ya escrow, ametetea makampuni binafsi badala ya shirika letu la umma la tanesco. Mtanzania yeyote mzalendo bila kujali itikadi, atakubaliana na maamuzi yale ya jk kamwe. Otherwise awe ni mshirika wa mgao huo. Urais ni taasis, kama umakini ungechukuliwa washauri wa rais walipaswa kuwajibika mara moja kwa kumpotosha rais na umma wa watanzania kiujumla. Hongera prof. Lipumba kwa uzalendo wako!
 
Ujui kama nikampeni za Itv ili Muhongo aondolewe.nshasema nikamaliza muhongo aondoki ng'oooo!
 
ushahidi mkuu, haya maneno ya vijiweni mtaachana nayo lini?
ushahidi kamuulize tezi dume na kundi lake la kina salva na wenzake ambao leo wamezawadiwa vyeo huko magogoni. Wana ccm imani wanalijua hili fika, wewe ccm maslahi utalijulia wapi hilo?
 
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
kama vile wewe unavyo muabudu kikwete kuliko hata Mungu wako wa kiislam!
 
Back
Top Bottom