Wewe ni Mpuuzi kabisa. Hata kama mtu ni adui yako, anaposema ukweli ni lazima aungwe mkono. Tunajua kazi yenu CCM ni kujaribu kutugawa ili tusiwe na nguvu yakuwaelimisha wananchi ili wawabwage. Safari hii mtakoma, Hamuwezi kutugawanya. Tumeshawashtukia. Jaribuni kuwa na akili. Nchi hii ni ya watoto wetu wote na siyo ya Mafisadi tu. Lipumba ni mtu makini kuliko yeyote ndani ya CCM. Mtakoma Waka huu, mapka kieleweke.