Acha kuwa na mawazo kama akina
laki si pesa,
MSALANI na wengine wenye mawazo yasiyo jaa hata kijiko cha chai. Mafarakano na ushirikiano wa kisiasa huwa ni suala la wakati na mnasimamia nini kwa wakati huo.
Ndio maana CCM na CUF ambao kuna wakati walichinjana, waliwekeana vinyesi kwenye visima vya maji na hawakushiriki kwenye mazishi ya wengine leo hii wana SUK na Rais ni Shein na Makamu wake ni Maalim Seif.
Hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu katika siasa. Ndio maana hata Wassira aliyekuwa akiporomosha matusi kwa CCM wakati ule leo ndio mtetezi mtegemewa wa CCM.