ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

Binafsi M/KITI aliniangusha pale alipomtetea mfanyabiashara singasinga,kuliko kutetea fedha za UMMA kupitia Tanesco
 
UKAWA wanaalikwa ITV ili kutetea Muhongo ang'olewe ili MENGI awe dalali wa vitalu vya gesi, wanyonge hatutakubali ang'oke

wewe unafikiri kwa akili zako za bangi muhongo atabaki kuwa waziri tena huyu dalali mwenzako lazima aondoke ndani ya huu mwenzi
 
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu bali maslahi ya kudumu.Wewe japo swala la escrow upo upande wa iptl,ni sababu ya maslahi tu,hope moyoni upo upande wa wananchi(tanesco)
 
Looo. Mungu apishe mbali, mbali kabisa. Huko kwa wakosa maadili? Mwenyekiti ndiye, Katibu Mkuu ndiye.

Hao misukule wao ndiyo kabisaaa, usiseme.
ndani ya ccm hakuna mwenye maadili kamwe, mwenyekiti na rais anahangaika kutetea wezi waziwazi, wengine ndani ya chama wahangaika kutoa rushwa kwa wajumbe wa nec na mkutano mkuu ili waweze kuteuliwa kuwa wagombea urais kupitia ccm. Ndani ya ccm rushwa na ufisadi ni watoto mapacha.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Binafsi M/KITI aliniangusha pale alipomtetea mfanyabiashara singasinga,kuliko kutetea fedha za UMMA kupitia Tanesco

alikuwa ana mtetea mwinzi mwenzako unakuta watu wenye akili wanamtetea JK huu umaskini wa mawazo Lipumba amesema JK ni mhujumu uchumi kwa kutetea wezi pesa za umma naye huenda anahusika
 
Looo. Mungu apishe mbali, mbali kabisa. Huko kwa wakosa maadili? Mwenyekiti ndiye, Katibu Mkuu ndiye.

Hao misukule wao ndiyo kabisaaa, usiseme.

ninatamani siku moja nikuone we mwanamke!nahisi nitacheka sana siku hiyo.
 
UKAWA wanaalikwa ITV ili kutetea Muhongo ang'olewe ili MENGI awe dalali wa vitalu vya gesi, wanyonge hatutakubali ang'oke
haa haa we unayejiita mnyonge umepewa mgao kiasi gani pale escrow? Je katika zile 1600 milioni zilizochotwa na chenge wewe kama mnyonge wa nchi hii umepewa kiasi gan? Usikubali kutumika kutetea jambo usilofaidika nalo.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
acheni ccm wamkumbatie muhongo watakumbuka shuka kumekucha
 
Leo magwanda mnamuoa Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.

Acha kuwa na mawazo kama akina laki si pesa, MSALANI na wengine wenye mawazo yasiyo jaa hata kijiko cha chai. Mafarakano na ushirikiano wa kisiasa huwa ni suala la wakati na mnasimamia nini kwa wakati huo.
Ndio maana CCM na CUF ambao kuna wakati walichinjana, waliwekeana vinyesi kwenye visima vya maji na hawakushiriki kwenye mazishi ya wengine leo hii wana SUK na Rais ni Shein na Makamu wake ni Maalim Seif.
Hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu katika siasa. Ndio maana hata Wassira aliyekuwa akiporomosha matusi kwa CCM wakati ule leo ndio mtetezi mtegemewa wa CCM.
 
Last edited by a moderator:
acheni ccm wamkumbatie muhongo watakumbuka shuka kumekucha
sio ccm mkuu, bali jk na genge lake la ccm maslai, ccm imani hawajapendezwa na huu uharamia na utetezi wa wezi unaofanywa na jk waziwazi.
 
Principle ya kufanyia RE-CALCULATION ni ile elfu 50.sasa ukikokotoa hapo utakuta pesa nyingi ya ESCROW ni mali ya TANESCO ndio maana serikali ilikwepa re-calculation ili viongozi wagawane hela na IPTL.lakini pia ile hela ambayo ingeenda IPTL tungechukua kodi.NDOMANA TUNASEMA PESA ILE NI YA UMMA HATA AJE NANI HAPA HATUDANGANYIKI.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
sio ccm mkuu, bali jk na genge lake la ccm maslai, ccm imani hawajapendezwa na huu uharamia na utetezi wa wezi unaofanywa na jk waziwazi.

mnachekesha sana kwa JK ni mwenyekiti wa ACT???
 
Back
Top Bottom