ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

sasa miccm imefanya maisha magumu enzi za mwinyi na mkapa ndio mkaanza kuweka makufuli baada ya watu kukosa kazi na huyu wa ari mpya ndio anataka kuua watu wasio na hatia huko mtwara

wewe ni mwizi

Enzi za Nyerere ndiyo maisha yalipoanza kuwa magumu tena magumu kweli kweli, watu njaa mtindo mmoja. Tukaanza kukabana mchana kweupe, wizi, magendo, rushwa, utapeli, uongo, ukabaji ndipo ulipoanzia. Benki kuu imechomwa moto fedha yote imeibiwa. Wizara ya mambo ya ndani imechomwa moto, rikodi zote zimeteketezwa. Huyo ndiyo Nyerere.

Mwinyi kaingia kakuta nchi tayari hohe hahe, hajuwi hata aanzie wapi, ndipo alipowaita wazee wa Dar na kuongea nao Diamond, itafute hotuba yake ya "mikuki miwili", unichome upi? utalia ukiisikiliza.

Sasa hivi wakati wa Kikwete kuna neema Tanzania hii.
 
Kuna anaeichukia rushwa zaidi ya Kikwete? tunaoona kaiunda TAKUKURU na leo inazagaa wilaya zote, tumeona mpaka mawaziri wakiswekwa jela na Kikwete, nani wa kabla yake alithubutu hayo?

FF nadhani una tatizo tofauti na watu wanavyodhani. Huyu Nyerere alikukosea nini? Hata kwa mtoto mdogo atagundua kuwa una chuki nae binafsi. Tuseme Nyerere aliharibu uchumi kama unavyotaka watu wakuamini. Tangu astaafu ni miaka mingapi sasa? Alikuwa madarakani kwa miaka mingapi? Maana tangu atoke madarakani ni kipindi kirefu kuliko alichokuwa madarakani. Kwa nini wewe na hao unaowasifia msirekebishe makosa yake? Mmeuza na si kuuza kugawa vitu vyote bure mpaka twiga na hatuoni nini mnafanya. Stop insulting this old Man please. Ndiyo maana mikosi haiishi kwa ajili ya dhambi hii. Kila kukicha mmekwapua. Bad.
 
Kakuta watu wako bukheri chini ya unyonyaji wa Wakoloni? Unaongelea bukheri ipi wewe? Sikuelewi.
Enzi za kudhalilishwa utu wa mtu mweusi unaita bukheri?! Unaongelea Historia ipi wewe kabla ya uhuru?
Ova

Sikiliza kijana, kakuta watu wako bukheri si koloni la yoyote yule. Kakuta tuko chini ya UN tunaongozwa na Mwingereza kama protectorate na si koloni. Kama ni mkoloni wetu basi alikuwa Mjerumani, nae si unaona aliyoyafanya? mpaka leo reli ya kati tunaitumia toka Mjerumani, dogo hilo? na mengine mengi.

Kutafuta Uhuru ilikuwa ni haki yetu na tunawashuru wazee wetu, walijitolea kwa hali na mali kutuletea Uhuru lakini walipokosea hatuwalaumu walipomwamini Nyerere na kumpa hii nchi wakiona ni msomi kumbe kasoma lakini hajaelimika, ikawa ni Majanga.

Kwa hilo hatuwalaumu na matokeo tumeyakubali na tunashukuru waliokuja baada yake wamejitahidi sana kutengeneza alipobomowa.
 
Hao wezi ni akina nani? unabwabwaja na kuhororoja bila mpango.

Kikwete kapelekewa maazimio manane na yote kayafanyia kazi, kinachokuuma ni nini?

maazimio nane kumfukuza Tibaijuka ndo amefanya kazi na kumwacha prof.muhongo
 
Enzi za Nyerere ndiyo maisha yalipoanza kuwa magumu tena magumu kweli kweli, watu njaa mtindo mmoja. Tukaanza kukabana mchana kweupe, wizi, magendo, rushwa, utapeli, uongo, ukabaji ndipo ulipoanzia. Benki kuu imechomwa moto fedha yote imeibiwa. Wizara ya mambo ya ndani imechomwa moto, rikodi zote zimeteketezwa. Huyo ndiyo Nyerere.

Mwinyi kaingia kakuta nchi tayari hohe hahe, hajuwi hata aanzie wapi, ndipo alipowaita wazee wa Dar na kuongea nao Diamond, itafute hotuba yake ya "mikuki miwili", unichome upi? utalia ukiisikiliza.

Sasa hivi wakati wa Kikwete kuna neema Tanzania hii.

Kama sio kimada wa mkwere au moja wa countless wife's zake sijui
 
Enzi za Nyerere ndiyo maisha yalipoanza kuwa magumu tena magumu kweli kweli, watu njaa mtindo mmoja. Tukaanza kukabana mchana kweupe, wizi, magendo, rushwa, utapeli, uongo, ukabaji ndipo ulipoanzia. Benki kuu imechomwa moto fedha yote imeibiwa. Wizara ya mambo ya ndani imechomwa moto, rikodi zote zimeteketezwa. Huyo ndiyo Nyerere.

Mwinyi kaingia kakuta nchi tayari hohe hahe, hajuwi hata aanzie wapi, ndipo alipowaita wazee wa Dar na kuongea nao Diamond, itafute hotuba yake ya "mikuki miwili", unichome upi? utalia ukiisikiliza.

Sasa hivi wakati wa Kikwete kuna neema Tanzania hii.

neema gani ??

Neema za mauaji ya albino
neema za kukosa dawa
neema za kuiba bilioni 300
yaani hela wanagawana laki 3 kama posho milioni 10 kama mbunge kisha wanaona zinabaki wanaamua wagawane kwa nguvu halafu unasema ni neema
neema hii imefanya hadi jiji la tanga kushuka hadhi viwanda vyote mmeuza
nbc mmeuza
eti neema????!!! au neema jina la mtu ??

FaizaFoxy wewe ni mwizi maana unatetea wezi
 
Last edited by a moderator:
nashukuru kwa kukiri, na kwa hali hiyo kwa taifa letu wewe ni hatari sana kwa ustawi wa watu wake na hata umoja wa taifa letu.

Hayo yako wewe, mmezowea kusema uongo na kupachika maneno yenu kwenye vinywa vya watu, haiwasaaidii hiyo.

Tanzania leo kwa uongozi tulionao ni bora kuliko wakati wowote ule.
 
neema gani ??

Neema za mauaji ya albino
neema za kukosa dawa
neema za kuiba bilioni 300
yaani hela wanagawana laki 3 kama posho milioni 10 kama mbunge kisha wanaona zinabaki wanaamua wagawane kwa nguvu halafu unasema ni neema
neema hii imefanya hadi jiji la tanga kushuka hadhi viwanda vyote mmeuza
nbc mmeuza
eti neema????!!! au neema jina la mtu ??

FaizaFoxy wewe ni mwizi maana unatetea wezi

Albino huwajui ni nani waliokamatwa na vipande? ni wachungaji, jisomee: Dullonet Tanzania | Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste akamatwa na viungo vya Albino.
 
Albino huwajui ni nani waliokamatwa na vipande? ni wachungaji, jisomee: Dullonet Tanzania | Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste akamatwa na viungo vya Albino.

Naona somo unaelewa kwa nini serikali yako ya ccm inashindwa kuwachukulia hatua hawa wapuuzi wanaojiita wachungaji
ccm ukiwa mtenda maovu ndio unakumbatiwa hawa wachungaji ni wa kupotezwa gerezani serikali yako inayoongozwa na rais dhaifu ndio imeshindwa kudhibiti
-mauaji ya albino
-rushwa
-ufisadi
-wizi
-ujambazi

sasa kwa kuwa upo hapa unawatetea hao majizi na mauaji wewe ni mwizi na muuaji pamoja na wachungaji uchwara wote hamfai
ndio maana mnajaza akina
Lukuvi wanaohubiri udini bungeni bado unashabikia miccm
mafisadi ndio waandishi wa katiba
wewe ni mwizi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mkuu unahitaji kalamu,daftari,penseli,ubao,chaki,dawati,unifom na darasa!ili tusome.upo tayari kuelimishwa au hutaki?

Ninavyo vyote mkononi lete hiyo elimu; usikose tu kuelezea ni kwa nyaraka gani pesa hutoka kwenye akaunti ya serikali kwenda kwenye akaunt ya mzabuni, nani anaziandaa, nani anazisani hadi pesa itinge kwa mtoa huduma na kama akaunti nzima anaimiliki mtoa huduma tangu pale anapokuwa mdai/mdeni
 
Mkuu umemaliza.watanzania si wajinga kihivyo though watawala wanafikiri sisi wote bado ni wajinga,la hasha na wajinga wachache wamebaki tu huko ccm

Ndio hivyo sasa ndugu yangu hao madalali nawatuambie sasa kuwa nyaraka za madai ya IPTL zilizowasilishwa Tanesco zinaonyesha figure yao ni shs ngapi, watupatie pia kumb. namba, vc namba na cheque namba na walioidhinisha nyaraka hizo pamoja na waliosaini hundi hadi ikaenda IPTL, kisha ikaandikiwa hundi nyingine kwenda PAP nk. wasituzuge bhanaaa
 
Leo magwanda mnamuona Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.

ICU gani wewe mama hebu funguka....
 
Huyu lipumba anachesha Sana Kama huh useja unamsumbua basi atafutiwe make kazeeka lakini Hana hats Mtoto wa kusingiziwa.

Skill ya jk sawa na akina lipumba kumi.
 
neema gani ??


neema za kukosa dawa

FaizaFoxy wewe ni mwizi maana unatetea wezi

Hili la kukosa dawa nimeshalijibu huko juu.

Lakini ngoja nikuulize, ungekosa dawa leo hii ungekuwemo humu JF?

Dawa tulizikosa wakati wa Nyerere, wala usitukumbushe mpaka tukaikimbia hii nchi, life expectancy ya Mtanzania ilikuwa ni miaka 43 tu, unajuwa kwanini? kwa kukosa dawa na matibabu.
 
FF nadhani una tatizo tofauti na watu wanavyodhani. Huyu Nyerere alikukosea nini? Hata kwa mtoto mdogo atagundua kuwa una chuki nae binafsi. Tuseme Nyerere aliharibu uchumi kama unavyotaka watu wakuamini. Tangu astaafu ni miaka mingapi sasa? Alikuwa madarakani kwa miaka mingapi? Maana tangu atoke madarakani ni kipindi kirefu kuliko alichokuwa madarakani. Kwa nini wewe na hao unaowasifia msirekebishe makosa yake? Mmeuza na si kuuza kugawa vitu vyote bure mpaka twiga na hatuoni nini mnafanya. Stop insulting this old Man please. Ndiyo maana mikosi haiishi kwa ajili ya dhambi hii. Kila kukicha mmekwapua. Bad.

Naam tangu ang'atuke (hakustaafu) ni miaka mingi sana, alikuwa madarakani kwa miaka 24 na vibaraka wake wawili kwa miaka 20 jumla ni 44.

Nnaowasifia ndiyo wamerekebisha leo hata wewe mkiriguru unajuwa kuendesha na kumiliki GX100, thubutu wakati wa Nyerere, na dhiki ile!

Haakuna kilichouzwa wala kugaiwa. Twiga tutaendelea kuzigawa kwenye ma zoo duniani kwa faida ya walimwengu wote na vizazi vijavyo. Hilo kumbuka.

Mzee yupi anaekuwa insulted? hamtaki historia iongelewe? au mnataka tusifu pasiposifika? kama unaona vibaya ngoja tufe tuliokuwepo wakati wake halafu mbaki mnadanganyana.

Mikosi iko wapi wewe? sasa hivi upo kwenye neema. Unaijuwa mikosi wewe? muulize babu yako jinsi watu walivyoswagwa kama mifugo kupelekwa vijijini, sababu nini? ujamaa. Kikwete juzi kishasema hakuna ujamaa sasa hivi. Kinaga ubaga.
 
Nifunguke nini, waulize bavichaa watakufungulia.

DR FaizaFoxy kazana kabla mwaka huu haujaisha nitakutunuku Uprof. kwa kazi hii hapa chini unastahili heshima iliyotukukaka.
Fani nyingine ya kusomea na zingine wanazaliwa nazo,naona ya kwako niyakuzaliwa
.

#199
Naam tangu ang'atuke (hakustaafu) ni miaka mingi sana, alikuwa madarakani kwa miaka 24 na vibaraka wake wawili kwa miaka 20 jumla ni 44.

Nnaowasifia ndiyo wamerekebisha leo hata wewe mkiriguru unajuwa kuendesha na kumilika GX100, thubutu wakati wa Nyerere, na dhiki ile!

Haakuna kilichouzwa wala kugaiwa. Twiga tutaendelea kuzigawa kwenye ma zoo duniani kwa faida ya walimwengu wote na vizazi vijavyo. Hilo kumbuka.

Mzee yupi anaekuwa insulted? hamtaki historia iongelewe? au mnataka tusifu pasiposifika? kama unaona vibaya ngoja tufe tuliokuwepo wakati wake halafu mbaki mnadanganyana.

Mikosi iko wapi wewe? sasa hivi upo kwenye neema. Unaijuwa mikosi wewe? muulize babu yako jinsi watu walivyoswagwa kama mifugo kupelekwa vijijini, sababu nini? ujamaa. Kikwete juzi kishasema hakuna ujamaa sasa hivi. Kinaga ubaga.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom