ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

ITV Live: Lipumba anamshukia Kikwete ESCROW

Kajichanganya sana Prof Lipumba huwezi amini economist mzima hawezi kujua kuwa hizo hela sio za umma ila element ya kodi ambayo haina utata Mh Rais ana kosa gani Lipumba tafuta kete nyingine ya kisiasa sio Escrow
Warioba: Kuna CCM IMANI na CCM MASLAHI. Kwa kweli huitaji Akili kubwa kuwapambanua!
 
Hizi ni blaablaa tunazozijua ambazo wakwapuaji huziongea; mahakama ikisema ulipwe maana yake unakwenda nyumbani kwa mdaiwa akutolee pesa kwenye ATM?
Mkuu ile mahakama ni MAHAKAMA YA USULUHISHI sio mahakama ya kugawanya hela.unajua maana ya kusuluhisha?
Hii ni wizara ya serikali na malipo yote huhitaji viambatisho vya nyaraka kwa ajili ya kuandaa malipo. Nimekuuliza amount ya madai kwenye hizo nyaraka huisemi hata mimi najua recalcullation ilikuwa bado sasa hizo nyaraka za madai zimeebeba amount gani?
Amount ya madai ni elfu 50 nimekwambia,ambayo mkataba unaonyesha kuwa ndio Principle.kama ulijua kuna re calculation sasa unawaza nini mpaka unataka kueleweshwa?hesabu zake zinafundishwa kwenye kitabu cha form 1 na 3 kwenye sequence and series(mathematics)
na hundi ingeandkwa moja? si zingeandikwa mbili moja ya makato ya kodi na nyingine ya balance ya muhusika? na je hiyo hundi ingekwenda kukomba kiasi chote katika akaunt?
Hundi zingeandikwa 3,moja ya pesa inayorudi TANESCO,ya 2 ni hundi ya hela za IPTL,ya 3 ni hundi ya TRA kutoa VAT kwenye hundi namba 2.
jibu mambo ya msingi acha ubabaishaji wa vilaza wa kawaida au hujui utaratibu wa kuandaa malipo ya serikali?
Nilikuelekeza,sio kukujibu.wewe hujui kitu halafu unataka jibu badala ya kuelekezwa?
 
Hayo yako wewe, mmezowea kusema uongo na kupachika maneno yenu kwenye vinywa vya watu, haiwasaaidii hiyo.

Tanzania leo kwa uongozi tulionao ni bora kuliko wakati wowote ule.
wewe ni mpotoshaji mkubwa, hakuna uongozi hovyo kwa taifa letu tangu tupate uhuru kama huu wa jk! Wewe bado ni hatari sana kwa ustawi na umoja wa taifa letu. Mbaguzi mkubwa sana wewe!
 
Hili la kukosa dawa nimeshalijibu huko juu.

Lakini ngoja nikuulize, ungekosa dawa leo hii ungekuwemo humu JF?

Dawa tulizikosa wakati wa Nyerere, wala usitukumbushe mpaka tukaikimbia hii nchi, life expectancy ya Mtanzania ilikuwa ni miaka 43 tu, unajuwa kwanini? kwa kukosa dawa na matibabu.
ubaguzi na chuki at work na si kingine.
 
Kajichanganya sana Prof Lipumba huwezi amini economist mzima hawezi kujua kuwa hizo hela sio za umma ila element ya kodi ambayo haina utata Mh Rais ana kosa gani Lipumba tafuta kete nyingine ya kisiasa sio Escrow

Yani wewe ndo mtz Unaefaa kufanya biashara kuuza juice kama alivyosema muhongo.
 
Ndio hivyo sasa ndugu yangu hao madalali nawatuambie sasa kuwa nyaraka za madai ya IPTL zilizowasilishwa Tanesco zinaonyesha figure yao ni shs ngapi, watupatie pia kumb. namba, vc namba na cheque namba na walioidhinisha nyaraka hizo pamoja na waliosaini hundi hadi ikaenda IPTL, kisha ikaandikiwa hundi nyingine kwenda PAP nk. wasituzuge bhanaaa
Hapa hata rais wao hana majibu
 
wewe ni mpotoshaji mkubwa, hakuna uongozi hovyo kwa taifa letu tangu tupate uhuru kama huu wa jk! Wewe bado ni hatari sana kwa ustawi na umoja wa taifa letu. Mbaguzi mkubwa sana wewe!
Mkuu huyu kaanza maisha wakati wa Jk,si unajua jamaa ni mzee wa toto's-sijui ya baada kutoka huko John hopkins hawa akina FF watakula nini.
 
Mkuu ile mahakama ni MAHAKAMA YA USULUHISHI sio mahakama ya kugawanya hela.unajua maana ya kusuluhisha?

Amount ya madai ni elfu 50 nimekwambia,ambayo mkataba unaonyesha kuwa ndio Principle.kama ulijua kuna re calculation sasa unawaza nini mpaka unataka kueleweshwa?hesabu zake zinafundishwa kwenye kitabu cha form 1 na 3 kwenye sequence and series(mathematics)

Hundi zingeandikwa 3,moja ya pesa inayorudi TANESCO,ya 2 ni hundi ya hela za IPTL,ya 3 ni hundi ya TRA kutoa VAT kwenye hundi namba 2.

Nilikuelekeza,sio kukujibu.wewe hujui kitu halafu unataka jibu badala ya kuelekezwa?

Hizi ni pumba; hizo hundi tatu amount zake umezisema? zinabalance amount iliyokwapuliwa? mahakama itaelekeza recalcullation halafu parties wasifaili majibu ya hiyo recalcullation na kiasi kinachomhusu kila mmoja?you are simply being hysterical kwa kushindwa kuelewa hoja. Kama amount ya madai ni elf 50 hiyo ndiyo escrow? mimi nataka kuona nyaraka zilizotolea pesa toka Tanesco kwenda IPTL au pesa zinakuwaje za IPTL kabla ya hundi husika kuandikwa? na kama pesa ilienda IPTL na ni mali yake hundi ya TRA ilikwenda wapi? unaingia kwenye mtego halafu unajiona mjanja; tukishindana kwa hesabu hapa utaniweza? hakuna hesabu iliyoko chini ya jua inayoweza kunishinda labda Einstein's differential equations of relativity; au kwa kuwa tunajibu mambo humu unatuona waswahili wa kawaida wapiga blaablaa? humu kumejaa great thinkers, take care.
 
Kajichanganya sana Prof Lipumba huwezi amini economist mzima hawezi kujua kuwa hizo hela sio za umma ila element ya kodi ambayo haina utata Mh Rais ana kosa gani Lipumba tafuta kete nyingine ya kisiasa sio Escrow
mkuu wewe ulibeba za kwenye lumbesa ama sandarusi?
 
Naam tangu ang'atuke (hakustaafu) ni miaka mingi sana, alikuwa madarakani kwa miaka 24 na vibaraka wake wawili kwa miaka 20 jumla ni 44.

Nnaowasifia ndiyo wamerekebisha leo hata wewe mkiriguru unajuwa kuendesha na kumiliki GX100, thubutu wakati wa Nyerere, na dhiki ile!

Haakuna kilichouzwa wala kugaiwa. Twiga tutaendelea kuzigawa kwenye ma zoo duniani kwa faida ya walimwengu wote na vizazi vijavyo. Hilo kumbuka.

Mzee yupi anaekuwa insulted? hamtaki historia iongelewe? au mnataka tusifu pasiposifika? kama unaona vibaya ngoja tufe tuliokuwepo wakati wake halafu mbaki mnadanganyana.

Mikosi iko wapi wewe? sasa hivi upo kwenye neema. Unaijuwa mikosi wewe? muulize babu yako jinsi watu walivyoswagwa kama mifugo kupelekwa vijijini, sababu nini? ujamaa. Kikwete juzi kishasema hakuna ujamaa sasa hivi. Kinaga ubaga.

Unatakiwa uwe na akili ya mzoga ndo uweze kutetea ubovu Wa serikali iliyoko madarakani!
 
[[Wangekuwa hawakamatwi ungeona hao wachungaji wanaotumia viungo vya albino wakishikwa? hujasoma? hivi kanisani huwa mnavitumia viungo vya albino kufanyia nini?

Hayo mengine yote porojo na nimeshayajibu, kama ni wizi ujambazi, rushwa, ufisadi, uongo, uvivu, yalikithiri wakati wa Nyerere kuweka misingi mibovu ya nchi.

Chakula hakuna, ufanye nini ukae na njaa? unakwenda RTC unahonga unapewa chakula, hapo ndipo rushwa ilipoanza.

Nguo hamna unafanya nini? unakwenda Kenya unanunuwa unazipitisha kimagendo, ukishkwa unahonga khanga doti moja unaachiwa, hapo ndipo mianya ya rushwa ilipoanzia.

Watu wanakamatwa hovyo wanapelekwa vijiji vya ujamaa, huko shida, porini, wanaoumwa na nyoka haya wanaliwa na simba haya, wanaokufa kwa kukosa matibabu haya. Wengine wanatoroka na kuanza ujambazi.

Huo ndiyo wakati wa Nyerere.

Naona unahamisha mjadala kuupeleka kwenye dini kama lukuvi kupeleka mambo ya dini msikitini
una uhakika naenda kanisani??
Mwambie lukuvi aache udini ili upate akili pumbuwani wewe

am out
 
Hizi ni pumba; hizo hundi tatu amount zake umezisema? zinabalance amount iliyokwapuliwa? mahakama itaelekeza recalcullation halafu parties wasifaili majibu ya hiyo recalcullation na kiasi kinachomhusu kila mmoja?you are simply being hysterical kwa kushindwa kuelewa hoja. Kama amount ya madai ni elf 50 hiyo ndiyo escrow? mimi nataka kuona nyaraka zilizotolea pesa toka Tanesco kwenda IPTL au pesa zinakuwaje za IPTL kabla ya hundi husika kuandikwa? na kama pesa ilienda IPTL na ni mali yake hundi ya TRA ilikwenda wapi? unaingia kwenye mtego halafu unajiona mjanja; tukishindana kwa hesabu hapa utaniweza? hakuna hesabu iliyoko chini ya jua inayoweza kunishinda labda Einstein's differential equations of relativity; au kwa kuwa tunajibu mambo humu unatuona waswahili wa kawaida wapiga blaablaa? humu kumejaa great thinkers, take care.

we jamaa sio mzima.jiangalie unakoelekea sio kuzuri.
 
Leo magwanda mnamuona Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
Yaani hapa umetumia akili ya chini!!!
 
Leo magwanda mnamuona Lipumba mzuri si mlikuwa mnamtukana huyo, mmesahau?

Amma kweli baniani mbaya kiatu chake dawa. Nawashauri chadema muwe mnamuabudu Lipumba mumfanye mungu wenu, ndiyo aliwasaidia mlipokuwa ICU.
Yaonyesha kwamba unamwogopa!
 
Back
Top Bottom