FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Naona somo unaelewa kwa nini serikali yako ya ccm inashindwa kuwachukulia hatua hawa wapuuzi wanaojiita wachungaji
ccm ukiwa mtenda maovu ndio unakumbatiwa hawa wachungaji ni wa kupotezwa gerezani serikali yako inayoongozwa na rais dhaifu ndio imeshindwa kudhibiti
-mauaji ya albino
-rushwa
-ufisadi
-wizi
-ujambazi
sasa kwa kuwa upo hapa unawatetea hao majizi na mauaji wewe ni mwizi na muuaji pamoja na wachungaji uchwara wote hamfai
ndio maana mnajaza akina
Lukuvi wanaohubiri udini bungeni bado unashabikia miccm
mafisadi ndio waandishi wa katiba
wewe ni mwizi
Wangekuwa hawakamatwi ungeona hao wachungaji wanaotumia viungo vya albino wakishikwa? hujasoma? hivi kanisani huwa mnavitumia viungo vya albino kufanyia nini?
Hayo mengine yote porojo na nimeshayajibu, kama ni wizi ujambazi, rushwa, ufisadi, uongo, uvivu, yalikithiri wakati wa Nyerere kuweka misingi mibovu ya nchi.
Chakula hakuna, ufanye nini ukae na njaa? unakwenda RTC unahonga unapewa chakula, hapo ndipo rushwa ilipoanza.
Nguo hamna unafanya nini? unakwenda Kenya unanunuwa unazipitisha kimagendo, ukishkwa unahonga khanga doti moja unaachiwa, hapo ndipo mianya ya rushwa ilipoanzia.
Watu wanakamatwa hovyo wanapelekwa vijiji vya ujamaa, huko shida, porini, wanaoumwa na nyoka haya wanaliwa na simba haya, wanaokufa kwa kukosa matibabu haya. Wengine wanatoroka na kuanza ujambazi.
Huo ndiyo wakati wa Nyerere.