GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,027
- 126,468
Mtakufa nyinyi maana tayari mmeshajiaminisha kuwa mambo yataenda kama kawaida kwa miaka yote 54 ya uhuru, mkimsimamisha mtu basi ndiye huyo anakuwa rais wa nchi,mwaka huu mtaipata fresh
Naona CHADEMA / UKAWA Wote Mmenywea Ghafla Leo Baada Ya CCM Jana Kuweka Hadharani JESHI Lake La UHAKIKA Ambalo Litaangamiza Hadi Sisimizi Ardhini Kudadadeki.