ITV bakizeni akiba ya ushabiki

ITV bakizeni akiba ya ushabiki

Mtakufa nyinyi maana tayari mmeshajiaminisha kuwa mambo yataenda kama kawaida kwa miaka yote 54 ya uhuru, mkimsimamisha mtu basi ndiye huyo anakuwa rais wa nchi,mwaka huu mtaipata fresh

Naona CHADEMA / UKAWA Wote Mmenywea Ghafla Leo Baada Ya CCM Jana Kuweka Hadharani JESHI Lake La UHAKIKA Ambalo Litaangamiza Hadi Sisimizi Ardhini Kudadadeki.
 
Mkuu ITV ni mali ya mchaga na chadema ni chama cha wachaga kwanini wasipendelee?

ITV ni independent television, ccm hamna haki ya kuwalazimisha na kuwapangia nini ni kutangaza kama nyinyi ccm mnavyo wapangia TBC kuandika habari za ccm
 
Serikali ya misingi ya haki na sheria ikiwastaafisha hao watumishi lazima iwalipe stahiki zao zote la sivyo ni vurugu.

Watakipwa haki zao zote na Tbc itaendeshwa kisasa kuliko ilivyo sasa imekuwa ya CCM kama radio Uhuru na gazeti la Uhuru.
 
Wakati Zitto anajiunga na ACT ulijipambanua kama wewe ni miongoni mwao, umerudi lini CCM?:majani7:
 

Naona CHADEMA / UKAWA Wote Mmenywea Ghafla Leo Baada Ya CCM Jana Kuweka Hadharani JESHI Lake La UHAKIKA Ambalo Litaangamiza Hadi Sisimizi Ardhini Kudadadeki.

Ukiambiwa kuwa ni mjinga unakasirika,hivyo kwenye huo uoza wenu mliopanga jana kuna MTU mgani wa kuutetelesha ukawa?sana sana wamejaa watu wa ukawa na kila mtakacho kipanga mchana usiku kinafika ukawa,endelea kujidanganya
 
Na wana hofu kubwa kuondoka madarakani maana wanajua kuwa siri zao na uhovu wao woote ndio utajukikana,wataikimbia nchi mwaka huu

Wataikimbiaje nchi wakati watuhumiwa hao wa ufisadi wote wamehamia chadema?
 
Wakati Zitto anajiunga na ACT ulijipambanua kama wewe ni miongoni mwao, umerudi lini CCM?:majani7:

ACT na CCM ni chama kimoja tu, ni sawa na msukuma na mnyamwezi lao ni moja tu hawana jipya.
 
Wataikimbiaje nchi wakati watuhumiwa hao wa ufisadi wote wamehamia chadema?[/QUOTE Wamehama wajukuu wazazi wa mafisadi na mafisadi wenyewe bado wapo ccm na wanajulikana ulimwenguni kote,hata wanyama wa porini watafurahia wakiingia ukawa madarakani
 
Ukiambiwa kuwa ni mjinga unakasirika,hivyo kwenye huo uoza wenu mliopanga jana kuna MTU mgani wa kuutetelesha ukawa?sana sana wamejaa watu wa ukawa na kila mtakacho kipanga mchana usiku kinafika ukawa,endelea kujidanganya

Ni kweli kabsa ile kamati ya CCM imejaa watu wa Ukawa wengi mmoja wao ni Kinana ambaye amegutuka kuwa chama kinawafia kaamua kuomba suluhu mapema.
 
ITV ni independent television, ccm hamna haki ya kuwalazimisha na kuwapangia nini ni kutangaza kama nyinyi ccm mnavyo wapangia TBC kuandika habari za ccm

Unamkumbuka mtangazaji wa Rwanda aliyepelekwa the heague?
 
Unafuatilia TBC, CLOUDS tv?, vinginevyo uwe mpole sana.
 
ACT na CCM ni chama kimoja tu, ni sawa na msukuma na mnyamwezi lao ni moja tu hawana jipya.

hata ukawa ni tawi la ccm,huoni wanaokatwa wote wanakuja ukawa na wanapewa had urais,ubunge
 
Wataikimbiaje nchi wakati watuhumiwa hao wa ufisadi wote wamehamia chadema?[/QUOTE Wamehama wajukuu wazazi wa mafisadi na mafisadi wenyewe bado wapo ccm na wanajulikana ulimwenguni kote,hata wanyama wa porini watafurahia wakiingia ukawa madarakani

Kiongozi wa kuhama nchi ndio anayepeperusha bendera ya chama chako, ukatae ukubali, huo ndio ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom